Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
- Thread starter
- #21
Hiyo dua hata mie naikumbuka, hebu subiri nimuulize binamu yangu hapa maana yeye ni bingwa wa haya mambo.ngoja kwanza nikupe stori ya kweli kwenye shughuli za watu.
mie naish uswaz nusu sasa huku shughuli ni almost kila wiki. kuna katabia kale ka watu kusoma dua kwenye menu ya sherehe like wengi wanaopenda mambo ya ushirikina wanatafuta mganga wa vitabu anasoma dua kwenye vyakula kabla havija pikwa na kuandika dua nyingine kwenye maji.
sasa bana hata kama ni watu mia mbili ukapika kg 20 zinaenea kabisa manake mtu akipewa upawa mmoja tu hawez kula tena yaani vinakinaisha usipime halafu unaviona vitam mno. kumbe vimesomewa ma dua ya kiganga nyie mnakinai mnapokula.
binafsi huwa kula kwenye shughuli ni kitu cha mwisho kwangu.