Uchawi niliowahi kuushuhudia!

Hivi hakuna mchawi humu anirushie hilo zongo nione linakuwaje? Hizi hbr za uchawi kila siku naishia kuziskia tu.

Dah mimi ningekurushia zongo lakini niko mbali nitajaribu ku-pm pengine litafika,nyway nachangamsha baraza.
Kuamini na kutoamini zongo na mambo kama haya inategemea mtu na mtu,mimi binafsi nimekulia maaeneo hayo ya zigua na sambaani,hiki kitu ni common hasa zigua unaweza kumuona mtoto ana homa na akipewa chakula anatapika lakini akipelekwa kwa wataalam 'kuna kitu wanaita kutabana" anapitishiwa fagio na wakati mwengine wanatumia povu la sabuni mtoto akitoka hapo mzima wa afya...na zamani hospital ya mkoa Tanga-Bombo kulikuwa na mama mmoja wa kizungu daktari wa watoto alikuwa akishauri wakati mwingine kumtabana zongo mtoto.
 
Signs of Black magic done on you

Black Magic is a disease that is on the rise and many people dont know that they have it because it comes in many different forms such as diseases. The following are some of the things that can be done with black magic. (note, for the medical illness, it could be black magic or just a disease, so do both, go to doctor and do ruqya as well)

1. seperation between husband and wife. with this he can break a home and destroy somebody's married happy life.
2. Wife hating her husband upon seeing his face. in this type of magic, when a wife looks at her husband she feels angry and thus they both live a miserable life.
3. having a headache all the time. this too is a sign of magic and the victim feels pain in the head all the time.
4. having throat infection all the time. one feels pain and cant speak, the voice seems to have stopped in the throat.
5. difficulty in breathing. it is a type of sifly magic. one cant breath easily. he feels suffocation.
6. making someone deaf. he cant hear things. and he feels pain in his ears.
7. women get periods before the proper time and she cant get close to her husband. this too is done through magic.
8. pain in the entire body. there is pain in the whole body and sometimes its too much in both the legs or in the backbone. one feels its weakness but its magic.
9. making someone blind. a magician can make one blind with magic and his sight is lost.
10. pain in the teeth and decay in the teeth and blood from the teeth. this too is done with magic.
11. making the heart beat faster than it should be. the heart beat is made faster with magic. one feels its some disease but its not.
12. one remains sick all the time. having fever. and remains weak.
13. head spinning. it too is done through magic. one is made dizzy.
14. one loses his memory. he cant remember anything for long.
15. the brain does not work properly. one wants to do one thing and something else is done. his brain does not work properly.
16. one does not feel like doing anything. his heart wants to run away from things. he does not take interest in his work.
17. making astray. someone is made astray and derailed.
18. making one habitual of smoking cigerette and hash.
19. making one habitual of drinking.
20. making one long for having sex. or making one enter into prostitution.
21. making one hate religion, and the holy book and the creator.
22. making one dreamless.
23. making a woman a prostitute.
24. giving stomach aches.
25. giving acidity and pain in the chest.
26. creating problem in the liver. Liver is an important organ in the human body, so some people when they want to destroy someone will cast spells on that victim to harm his liver.
27. The wife sees the husband’s face as swine or a dog, he appears to her as a swine or a dog. This too is done with the help of magic to create problems in someone’s life.
28. Making a man gay. A man cannot get physically involved with anyone when this spell is cast upon him because he becomes useless.
29. Magic using voodoo dolls. This too is a very harmful form of magic. And the victims doll is made and pins are stick into it and the spell is cast upon it.
30. Children weaken and die. In this type of magic, the child becomes severly weak and then his condition deteriorates day by day and then eventually dies.
31. A woman loses her child during pregnancy. The child is killed inside the womb befor he is born. This too can be done using black magic.
32. Making the cattle sick using magic. Magic on animals.
33. The animals don’t give milk and remain sick. This too is done using black magic.
34. Men start hating women. A husband is made to hate his wife.
35. Girls don’t get proposals anymore. In this type of magic, the girl that this magic is cast upon, does not get any proposals for marriage.
36. Pain in the bones and joints. Arthritis.
37. a woman is made to hate men and she does not feel like getting close to them, as in sex with her husband, she does not like it.
38. Making the face look ugly. A woman is made to look ugly and people think she looks like a whitch.
39. Making a woman infertile. In this magic a woman is made infertile and she cant have any children.
40. Making the rizq/earnings less. A person is financially made weak.
41. Destroying someone’s home. Disturbing the peace of somebody’s home and leaving it all destroyed and messed up.
42. making someone suffer from an incurable disease.
43. disgracing a woman in her husband’s eyes.
44. Making a husband suspect his wife. This creates problems in their life.
45. Snatching someone’s job or disgracing him and lowering his position.
46. Getting a woman divorced.
47. Making the rich into poor. A rich person’s riches are taken away with black magic.
48. making someone live in exile.
49. Making someone full of anger. With this magic a person remains angry all the time.
50. women feel pain in ribs and chest.
51. OKDAM zikar, it is that type of magic which when going to someone’s home for a proposal, it is cast upon them and the girl’s family then keep talking about the boy’s family for months.
52. making someone fall in love.
53. putting fear of the unknown in someone’s heart.
54.Khamol magic. Making someone weak and lazy. That he doesn’t feel like doing anything.
55. MIRGI fits. Epilepsy. A person is made to suffer Epilepsy.
56. magic with which a person is made to suffer LAQWA. Bell’s palsy.
57. Seher AL MAFLOJ, paralysis. A person is made paralyzed, either in some parts of the body or all over.
58. Seher Kabos. One feels sleepy all the time.
59. head spinning and feeling dizzy and blackout in front of the eyes.
60. Stopping nikkah for someone. Bandish of nikkah. It is cast right at the time of nikkah.
61. Surat anzal. A man is faced with this problem and he does not get cured.
62. Periods are stopped, menopause even before its time.
63. Magic of insanity. A person is made completely insane. He does not remain in his senses.
64. masan is that type of magic which is cast upon kids. In this type of magic, the ash left from the burnt hindu dead bodies is put in some food for kids to eat.

There are Millions of Satanic Magicians/witches around the world, exposed by Former FBI agent:
 
Last edited by a moderator:

Umetukana bibi zetu na umesema uongo,kwanza Coastal kulikuwa na Rubern Mgaza na Sio Juma Mgaza...Jambo la pili Pama hakuwa mwizi bali mtemi na miaka hiyo ya 80/90 Tanga ku-pump na mchezo wa ngumi ilikuwa ndio fashion na huyu Pama ambaye ni marehemu 'alifariki Italy mwaka jana nadhani' Mwenyezi Mungu alimbariki ubavu na ngumi alikuwa anazijua.
 
Kuna mwenzio alibebeshwa mimba miezi tisa alipopelekwa hospitali kujifungua akatoa ushuzi na tumbo likanywea, kumbe haikuwa mimba bali alipigwa Zongo

Hii nachukua kama zawadi ya X-mass na mwaka mpya.
 

Hii wanaita 'KOPERA' nikipata muda nitaweka kisa cha kweli kilichonikuta na hawa chuma ulete...Dah hatari.
 

wacha kujishaua wewe kwani tanga yuko bibi yako peke yako??hata kama ni ukweli tusiseme??kuhusu mgaza n kweli nilikosea kweli ni Reuben Mgaza ni muda mrefu bwana tangu miaka hi hadi leo umri wa mtu mwenye miaka 26 usisahhau mchezo?kuhusu Pama wewe ndio umekosea alikuwa mwizi mashuhuri wa baiskeli hata ukafungia na kufuli lake linalokuja na baiskeli anafungua ni mbaka ufunge kwa roki ile ya waya ya kununua kwa pamoja ndo utamsumbua,kwa wizi wewe ndo ulikuwa hujui nishakuambia alinusuru kuiba baiskeli yangu kwa kunipora sasa unabisha nini,alikuwa wa kawaida tu sema inasemekana alikuwa anatumia sana uchawi na ule wizi wake alikuwa akikuibia baiskeli hata kama ni sahani ndogo mnamfukuza na sahani kubwa au kwa gia hamumpati kimiujiza tu au ulikuwa hujui??mwshoni sijui uchawi ulimwishia mana alikuwa anabondwa tu ovo ovyo.
 
Nyani Ngabu ,uchawi ni nguvu kama nguvu zingine tu,na pia tambua kuwa kushindwa kuthibitishwa kisayansi haina maana kuwa jambo halipo.
"
Unaposhindwa kuthibitisha jambo tatizo linaweza kuwa sio jambo lenyewe bali wewe unaetaka kulithibisha ndo unaweza kuwa tatizo,au njia unayotaka jambo hilo lithibitishishwe inaweza kuwa na matatizo.
"
Mfano,umemuona mtu anamuua mtu mwingine.Unapoenda mahakamani na ukashindwa kuthibitisha kwa mujibu wa sheria kuwa yule mtu ameua,yule muuaji atakua hana hatia,lakini haiondoi ukweli kwamb hajaua.
"
Nadhani tatizo tulilonalo ni namna tunavyotaka tuuthibitishe uchawi nalo ni tatizo.Watu wangekua wazi na wangeacha mitazamo ya ajabu na kuwa na mtazamo chanya tungekua tunajua hii kitu.
"
Tatizo tunalitazama jambo hili la Kiafrika zaidi,na likishakua hivyo tunaliona la hovyo kwakuwa tunaamini kila cha kiafrika ni cha hovyo.Lakini pia tunashindwa kujua kuwa hata huko Ulaya wanalogana hata leo,tofauti ni namna wanavyologana na sababu.Ndo maana unaona ni kichekesho nilipokuambia Obama na Hillary ni wachawi.
"
Niliwahi kuzungumza na raia mmoja wa Ufaransa akaniambia namna uchawi ulivyo huko kwao na wanavyo utumia.
"
Kama hujaona uchawi ukifanya kazi utaendelea kubisha uwepo wake,lakini kwa tuliowahi kushuhudia tunajua ukweli!
 
Last edited by a moderator:
Kama hujaona uchawi ukifanya kazi utaendelea kubisha uwepo wake,lakini kwa tuliowahi kushuhudia tunajua ukweli!

Kwa hiyo wewe umewahi kuushuhudia uchawi? Hebu tumegee basi uliyoyashuhudia? Yalihusu nini? Na ikawaje hadi ukawa shuhuda?
 
Nyani Ngabu nimesema nimeona uchawi ukifanya kazi maana yake nimeona matokeo yake
"
Uchawi ni nguvu kama vile umeme,huwezi kuuona bali unaona matokeo yake kwakuwa hauna mwili.
"
Unachoweza kukiona ni kile chenye mwili tu nje ya hapo huwezi.
"
Sina haja kukuambia kwa kuwa binadamu wengi tunaamini kwa kuona au kugusa,hivi nikikuambia nimeshuhudia mtu anaruka na ungo itakusaidiaje?Si utaniambi muongo?Au utataka ushuhudie?
"
Tunadhani kuwa hakuna maisha nje ya kugusa na kuona.Sayansi isingesema na kuleta ushahidi wa sayari halafu ukaambiwa kuna sayari angani ungemuona kama amechanganyikiwa,sababu tu hauzioni.
"
Vile ambavyo hatuvioni au kuvithibitisha haimanishi havipo,inatakiwa tuendelee kuvifanyia utafiti ili tuvijue!
 
Last edited by a moderator:
Nyani Ngabu nimesema nimeona uchawi ukifanya kazi maana yake nimeona matokeo yake

Umeona matokeo gani na ulijuaje kama hayo matokeo ni kweli yanatokana na uchawi na siyo kitu kingine?

Uchawi ni nguvu kama vile umeme,huwezi kuuona bali unaona matokeo yake kwakuwa hauna mwili.

Umeme una kanuni na vipimo vyake ambavyo vinajulikana na viko wazi kwa yeyote yule mwenye kutaka kujua ama kujifunza. Na matokeo yake yanaonekana pia. Uchawi je?

Unachoweza kukiona ni kile chenye mwili tu nje ya hapo huwezi.

Unachoweza kukiona kwenye nini? Uchawi?

Sina haja kukuambia kwa kuwa binadamu wengi tunaamini kwa kuona au kugusa,hivi nikikuambia nimeshuhudia mtu anaruka na ungo itakusaidiaje?Si utaniambi muongo?Au utataka ushuhudie?

Itanisaidia kwa kutaka kujifunza zaidi juu ya vipi mtu anaweza kuruka na ungo. Hivyo, nitapenda sana kama siku ingine ukimwona huyo mtu anaruka tena na ungo, ukinistua nami nije niwe shuhuda.

Tunadhani kuwa hakuna maisha nje ya kugusa na kuona.Sayansi isingesema na kuleta ushahidi wa sayari halafu ukaambiwa kuna sayari angani ungemuona kama amechanganyikiwa,sababu tu hauzioni.

Angalau kuhusu sayari kuna watu ambao washaenda huko kwenye hizo zingine. Lakini pia ujue hata sayansi ina mambo mengi tu ambayo ni questionable vilevile.

Vile ambavyo hatuvioni au kuvithibitisha haimanishi havipo,inatakiwa tuendelee kuvifanyia utafiti ili tuvijue

Hapo nakubaliana na wewe kabisa.
 
Nyani Ngabu ,umeme una vipimo kwa kuwa tayari una vipimo vyetu ambavyo vimesaidia kuuthibitisha,lakini kabla hatujaugundua na kuuthibitisha ulikuwepo.
"
Ngabu,kuna jamaa alimdhulumu mwenzake shamba la hekari 15 mwaka 1997,walipelekana mahakamani lakini jamaa mwenye shamba alishindwa.
"
Mwenye shamba alimuambia mbele yangu na watu wengine kuwa bado hawajamalizana na watakutana sehemu nyingine na atamrudishia shamba atake asitake.
"
Baada ya miezi miwili yule aliedhulumu shamba aliuanza kuumwa kichwa mfululizo.Alitibiwa sana lakini haikufua dafu.Alikwenda Nairobi hadi South Africa lakini hakupona.
"
Walikuja kugundua tatizo baada ya kupigwa picha ya X-ray iliyoonesha kipande cha bati kikiwa ndani kichwani sehemu ya paji la uso.
"
Picha zile niliziona pia kwa kuwa mhanga wa tatizo alikua kaka wa rafiki yangu niliekua nafanya nae kazi.
"
Madaktari walishagaa sana,lakini jamaa alikumbuka tatizo lake na aliemdhulumu,alimtafuta sana kwa kuwa wakati huo hakukua na simu za mkononi.Lakini alimpata baada ya wiki na kumuomba sana,jamaa alitaka shamba lake na jamaa aliedhulumu alikubali kumrudishia.
"
Baada ya makabidhiano jamaa alienda kufanyiwa upasuaji kipande kile cha bati kilitolewa.Yule mdhulumaji aliambiwa kama angefanyiwa upasuaji bila kurudisha shamba leo angekua historia.
"
Ukija Mwanza niambie nikupeleke alipo huyu jamaa ukamuone na akuoneshe kovu la upasuaji pamoja na kipande cha bati kwani amekihifadhi hadi leo!
 
Last edited by a moderator:
Hivi hakuna mchawi humu anirushie hilo zongo nione linakuwaje? Hizi hbr za uchawi kila siku naishia kuziskia tu.

Njoo nikupeleke kijiji kinaitwa Mnyuzi, hapo Korogwe kwa akina maji Marefu. Wao wame advance katika taalum ya "zongo" hivyo zongo hapigwi mtu ili kuepuka lawama. Zongo linapigwa kitanda, shuka, au nguo uliyoianika katika kamba. Ukilalia kitanda tu, una malaria kali sana ya kuwekewa drip za quinine ! Ila ukinyanyuka tu kitandani umepona. Ukitokea zongo limepigwa kwenye shati, basi utashinda na homa mpaka ulivue ! Kabla hujaenda Hospital au Zahanati hakikisha umehakikiwa na vipimo vyote vya zongo !
 

uko sahihi mkuu...jamaa alikuwa anaongeza chumvi kwenye maelezo yake! Niwasahihishe tu kidogo Pama hakuwa mwembamba, alikuwa ana mwili mkubwa wa mazoezi ila alikuwa na mdogo wake anaitwa MKUSA ndio alikuwa mwembamba! Jamaa walikuwa wababe sana enzi hizo...nyumba yao ya familia ilikuwa pale barabara ya 11. Ni kweli jamaa alifia Italy last yr
 

Pale mjini Tanga kuna Wajaluo walipanga nyumba ya mzee mmoja, kisha wakaifanya yao. Hawalipi kodi wala kuhama hawataki. Si unajua wakati wa Nyerere wangaji walivyokuwa wanalindwa na sheria, basi Yule mzee alitafuta mtaalam, wakawa wajaluo kila wakiamka baadhi yao wamelazwa chooni au chini ya kitanda. Aaaaah ! Wakajipa moyo labda ni pombe, basi siku moja woooote nyumba nzima wakajikuta wamelala chooni ! Maana siku hiyo alijulikana aliyetahiriwa na mwenye mzunga, kilichofuata ni kufungasha kabla usiku haujawakuta tena hapo !
 

Hili tukio la mpira kupasuka ni true story na nilikuwepo pale mkwakwani siku ile japo nilikuwa bwana mdogo sana. Goalkeeper wa African sports alikuwa SALIM WAZIRI na inasemekana kwamba angeudaka ule mpira ndio ungekuwa mwisho wa maisha yake! Nadhani lilikuwa tukio la kawaida mpira kupasuka ingawa kutokana na vimbwanga vya wale watani wanapokutana (A. Sport Vs C. Union) watu wakalikuza lile tukio! Kuna waliodiriki kusema kulikuwa na mbuzi alipasuka tumbo nje ya uwanja baada ya ule mpira kupasuka....dah!
 

Nini Mnyuzi wewe, maneno iko MSAMBIAZI bwana!
Kuna vizee vnapiga zongo mpaka vifaranga, Korogwe inatisha nyie acheni tu
 
Tangan kwa uchawi bwana kunatisha nakumbuka ilikuwa ikifika jioni enzi hizo tulikuwa hatupiti ile njia a makaburini nyuma ya shule ya msingi bombo jinsi kulivyokuwa noma ila nimekaa miji mingi sana ila hakuna hata mmoja nnaoupenda zaidi ya Tanga,
 
Tangan kwa uchawi bwana kunatisha nakumbuka ilikuwa ikifika jioni enzi hizo tulikuwa hatupiti ile njia a makaburini nyuma ya shule ya msingi bombo jinsi kulivyokuwa noma ila nimekaa miji mingi sana ila hakuna hata mmoja nnaoupenda zaidi ya Tanga,

nyingi ni simulizi tu ambazo hazina uthibitisho. Tanga ni moja ya mikoa mbayo mungu ameibariki vitu vingi vzr... Panafaa kuishi kwani maisha ni rahisi, plan nzuri ya mji nk
 
Enzi hizo bwana kila kitu mzee ilikuwa ni Coastal Union tu kila siku lazima niende mazoezini kwao huko mzee wakali kama kina Mwameja,Carreca,Yasin Napili,Mgaza,Muhani,joseph razaro na kingslay marwilo walikuwa wanatisha ukja huku African Sports ndio unawakuta kina Juma Mgunda dah Tanga bwana ilikuwa inavutia sana enzi hizo.
 
Enzi hzo ilikuwa killa week end lazima tuende Gym Khana pale nyuma ya shule ya msingi bombo si unajua mi nlikuwa nakaa mtaa huo huo dah! basi wahindi walikuwa kibao wanakuja na mapikipiki miaka hiyo ya 80s,nafikiri kuanzia mwaka 94 kurudi nyuma Tanga ilikuwa na wahindi wengi kushinda hata Dar mana kila kona ni wahindi na tulikuwa tunaubishani kipindi hicho kati ya tanga na dar wapi kuna wahindi wengi tukagundua tanga wako wengi nafikiri weng wao walhama kuanzia 96 baada ya kufa viwanda.pathetic!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…