Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Kuna **** mmoja hapa jirani anapiga muziki utadhani ameazima radio,anakera mpaka basi.
"
Nikija kwenye mada,kiukweli uliposema uchawi wa Zongo umenikumbusha wakati nasoma kitabu cha Uchawi namna unavyokupata na kujikinga,kilichoandikwa na marehemu Munga Tehenan,najua Mtambuzi anakijua hiki kitabu.
"
Kwa mujibu wa marehemu Munga huo ulioutaja sio uchawi hasa bali ni nguvu ambazo mtu anazaliwa nazo na kuna wengine wanajua namna ya kuepuka kuwadhuru watu na nguvu hiyo kwa kuwa wanajua wanazo.Japokuwa wapo wanaozitumia kudhuru kwa kujua au kutokujua.
"
Lakini kumbuka kuwa ili ulogwe ni lazima uwe na wewe ni mchawi.Usishangae kwani wengi wetu ni wachawi either kwa kujua au kutokujua!
"
Nikija kwenye mada,kiukweli uliposema uchawi wa Zongo umenikumbusha wakati nasoma kitabu cha Uchawi namna unavyokupata na kujikinga,kilichoandikwa na marehemu Munga Tehenan,najua Mtambuzi anakijua hiki kitabu.
"
Kwa mujibu wa marehemu Munga huo ulioutaja sio uchawi hasa bali ni nguvu ambazo mtu anazaliwa nazo na kuna wengine wanajua namna ya kuepuka kuwadhuru watu na nguvu hiyo kwa kuwa wanajua wanazo.Japokuwa wapo wanaozitumia kudhuru kwa kujua au kutokujua.
"
Lakini kumbuka kuwa ili ulogwe ni lazima uwe na wewe ni mchawi.Usishangae kwani wengi wetu ni wachawi either kwa kujua au kutokujua!
Last edited by a moderator: