Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,648
Huku Kimara police wanapiga risasi hewani kuwatawanya wananchi wanaopinga kuchwkachuliwa kwa matokeo
Mkuu kimara gani hyo?
Huku Kimara police wanapiga risasi hewani kuwatawanya wananchi wanaopinga kuchwkachuliwa kwa matokeo
ukawa yafanya kufuru shinyanga mpaka sasa matokeo ya mitaa iliokwisha hesabiwa 19
chadema imeshinda mitaa 10
cuf imeshinda mitaa 9
ccm imeshimda mitaa 0
Mmmh haya matokeo ni ya kweli??
Nyela napo tugwe kidulisanga?
Labda kitongojini kwako. Sehemu nyingi chadema wamechukua. Kilakala chadema, bigwa chadema Bong`ola chadema ccm imeshinda wapi?Wadau kwa matokeo yanayoendelea kutangazwa ya serikali za mitaa,vijiji,na vitongoji inanipa picha kwamba suala la upinzani kwa Watanzania bado halijawaingia kabisa.kwani Pamoja na mazonge yoote yaliyoikumba serikali ya CCM hivi karibuni hasa hili suala la ESCROW nilitegemea kwa uchaguzi huu mdogo tu, Wananchi wangekuwa nahasira na CCM na Serikali yake, lakini kwa matokeo haya inaonekana wapinzani Hasa Chadema kuna mahali wanakosea, na wasipoangalia kuingia madarakani itakuwa ni sawa na jua kuchomoza Magharibi na kuzama Mashariki. na naimani 2015 Hali kwa upinzani itakuwa ngumu sana kama hawatabadilika toka walipo sasa kwani kuna vitu muhimu wanakosa.Niko mkoani Morogoro Mitaa,vijiji na Vitongoji vyote Wamechukua chama Tawala CCM.nahitimisha kwa kusema wapinzani Badirikenikama mnatakamfike mnakotakana sasa muende kwa raia na Hoja zenye Mashiko.
Mleta mada Magazetini hebu weka updates hapo juu...
CCM 8, ACT 8, CHADEMA 2 and ADC 1 ndio matokeo ya Mji Mdogo wa Mwandiga. Ili kupata Meya inabidi CHADEMA na ADC waunge mkono ACT. Je CHADEMA watapiga kura na ACT?
Labda kitongojini kwako. Sehemu nyingi chadema wamechukua. Kilakala chadema, bigwa chadema Bong`ola chadema ccm imeshinda wapi?
Arusha mitaa yote ccm wanaongoza, bado kura zinahesabiwa.
Hivyo viwili waliopata escrow ni vya kijiji gani?Kati ya vitongoji 35 vya
mamlaka ya mji mdogo wa Ifakara, CCM
imeshinda vitongoji 2 na CHADEMA
vitongoji 33
Mzee huu ni uchaguzi wa serikali za mitaa, swala la umeya wa mji ni mwakani wakati wa uchaguzi mkuu ambapo madiwani pia watachaguliwa!
Sent from my iPad using JamiiForums
cc tunaendelea kushangilia baada ya matokeo kutangazwa huo ni zaidi hya uhakikaUna uhakika na hayo matokeo??