USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Wakati Rais Samia ampe majukumu ya kusimamia TAMISEMI Waziri Mchengerwa alimtaka akafanye jambo kwenye uchaguzi ujao wa Serkali za mitaa ili uwe huru na wa haki mbele ya kamera ila nyuma ya kamera mchengerwa amepewa kazi ya ziada nayo ni kuhakikisha CCM inashinda vijiji vyote .
Akilewa sifa mbele ya wapiga kura wake mkewe Jana waziri Mchengerwa akalipuka na kilichopo moyoni mwake kuwa "UPINZANI HAUTASHINDA HATA KIJIJI KIMOJA WALA MTAA MMOJA "katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
Hii kauli ni kauli ya KIHAINI Kwa mtu anayepaswa kusimamia uchaguzi huo kama Waziri wa TAMISEMI (he supposed to be neutral) .
Hapa wapinzani lazima wakemee hili hata sisi wanaccm tunaona mchengerwa hakutumia busara
USSR
Akilewa sifa mbele ya wapiga kura wake mkewe Jana waziri Mchengerwa akalipuka na kilichopo moyoni mwake kuwa "UPINZANI HAUTASHINDA HATA KIJIJI KIMOJA WALA MTAA MMOJA "katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
Hii kauli ni kauli ya KIHAINI Kwa mtu anayepaswa kusimamia uchaguzi huo kama Waziri wa TAMISEMI (he supposed to be neutral) .
Hapa wapinzani lazima wakemee hili hata sisi wanaccm tunaona mchengerwa hakutumia busara
USSR