meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Picha zimeonesha na pia matokeo yanaonesha kuwa vijana wamedhamiria kuiondoa ccm madarakani.
Sixtus mapunda wa ccm alitangaza kuizika chadema igunga poor thing kumbe walikiwa wanamchora
Niko huku Kijenge CCM inaongoza ikifuatiwa na CHADEMA kwa mbaaali!
Msikimbie tu yakishatoka matokeo rasmi
Hii ni kali sana,yaelekea Kinana na Nape walifanya zero function hii ni WRITING ON THE WALL
Iyanangike mwagito CCM vafwe kibudu. Milau Kivembo