Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

JOHN MNYIKA: Mitaa tuliyoshinda: Tarime kitongoji Forodhani boda, Segerea mtaa Bonyokwa na mtaa Msigwa, Kinondoni mtaa Mwenge .
 
Je, gharama za marudio ya uchaguzi wa serikali za mitaa zitalipwa na nani? Wazembe waliosababisha uchaguzi katika baadhi ya maeneo usifanyike leo watawajibishwa?
 
Hapa Morogoro kata ya Kihonda Maghorofani kwa mara kwanza Chadema mpaka sasa imezoa mitaa 3, CCM wasifikiri hizi ni enzi za mwalimu. Vijana sasa hivi hawataki mchezo. Viongozi wa CCM walikuwa na kauli za kejeli sana sasa leo wamevuna walichopanda na hii imewapa hamasa watu hasa vijana na akina mama kuwa uchaguzi ujao utakuwa mgumu kwa CCM.
engmtolera unaweza kudhibitisha hii kitu...!?
 
Last edited by a moderator:
vipi mtaa wa magogoni.....rais najua hakupiga kura maana hakujiandikisha kutokana na tezi tu

umenochekeshaje. Leo nimejua kumbe tezi dume ni korodani?? Sikulijua ilo. Nadhani mwenye matokeo zaid aendelee kutupa
 

Monduli; Kitongoji Kambi ya Mkaa

CHADEMA 27
CCM 13

Mwanga Mtaa wa Lwami;

CHADEMA 55
CCM 35

Arumeru Magh. Kitongoji Endulele

CHADEMA 170

CCM 130

Ushirombo mjini;

CHADEMA inaongoza vitongoji 10
CCM inaongoza vitongoji 4

Moshi Manispaa; Kitongoji Longuo A

CHADEMA 206
CCM 66

Mbozi Mtaa wa Mbugani

CHADEMA 227
CCM 160

Mbozi; Mtaa Masaki

CHADEMA 99
CCM 44

Kigoma Mjini; Mtaa wa Gezaulole

CHADEMA 240
CCM 198

Ukonga- Mtaa wa Kivule Majohe

CHADEMA 231
CCM 77

Musoma Vijijini- Kijiji cha Muhoji

CHADEMA 197
CCM 464

Ubungo- Mtaa wa Msewe

CHADEMA 683
CCM 356

Kinondoni- Mwenge Nzasa

CHADEMA 344
CCM 318

Tarime Forodhani boda (kitongoji)

CHADEMA 289
CCM 90

Tarime Forodhani Kijiji

CHADEMA 312
CCM 99

Monduli Mto wa Mbu Kijiji Jangwani

CHADEMA 147
CCM 124

Mwanga Kitongoji Mgagao

CHADEMA 56
CCM 32

Rorya- Mtaa Ngasaro

CHADEMA 480
CCM 360



Arumeru Mash. Mtaa wa Manyata

CHADEMA 168
CCM 91

Ubungo- Mbezi Yusuph
CHADEMA 190
CCM 163

Mwanga- Mtaa Mtahang’a
CHADEMA 116
CCM 73

Ilemela- Mtaa wa Pasiansi
CHADEMA 689
CCM 247

Karatu- Mtaa Mazingira
CHADEMA 290
CCM 130

Karatu Mtaa wa Maliasili
CHADEMA 240
CCM 77

Karatu- Mtaa wa Manyara
CHADEMA 220
CCM 170

Tarime Mtaa wa Bugosi
CHADEMA 438
CCM 138

Tarime Mtaa wa Regoryo
CHADEMA 191
CCM 75

Segerea Mtaa wa Migombani
CHADEMA 547
CCM 225

Mamlaka ya Mji mdogo Shirati-Rorya ina mitaa 9
CHADEMA mitaa 7
CCM mitaa 2

Mererani mitaa 8
CHADEMA mitaa 7
CCM mtaa 1

siyo mchezo.
 
Labda kitongojini kwako. Sehemu nyingi chadema wamechukua. Kilakala chadema, bigwa chadema Bong`ola chadema ccm imeshinda wapi?

Achana nae huyo hayupi Moro:- Kihonda kwa Mkomola- Chadema, Maghorofani- Chadema, Mtaa wa Kitata - Chadema bado kule magari ya viongozi wa CCM yanakouza maji Kihonda kwa Chambo na Lukobe na sidhani kama ccm watapata hata mtaa kwa kipindi hiki ambacho biashara ya maji ndio imeshamiri.
 
Kutoka mbinga mkoani ruvuma, kitongoji cha mkinga juu ccm kidedea kwa kuzoa kura 61, huku cdm wakipata kura 10 tu, kura zilizopigwa 84, zilizoharibika 13!

Duh hicho kitongoji kina wakazi wachache sana! Lakini inawezekana zikawa ni hujuma za magamba
 
Mtaa wa Msewe matokeo hayatoki zaidi ya saa 4 sasa, vijana wamepiga kamba hapa shuleni. Kuna habari kwamba mgombea wa CCM kakataa kusaini matokeo.
 
Back
Top Bottom