haa haa, hao watendaji wanamfurahisha mfalme huku amekaa uchi. Nimeamini ccm inaangushwa na watendaji kama hao!kama hata jimboni kwa lissu au kilombero wasimamizi wamesema ccm imepata asilimia 70 basi wanaogopa kufukuzwa kama wenzao
haa haa mkuu nimegundua Tamisemi wanapika data. Usishangae wakasema kwamba kule kwa lissu ccm imeshinda kwa kishindo.Hakuna gazeti linalouza kama Mawio kwa sasa. Wanatoa copy nyingi na zinaisha kabla ya mzungiko. Ni gazeti la week nzima Kumbuka. Serikali za mitaa tukija kupiga Mahesabu vizuri utakuta CHADEMA wana 60% vs 40% za CCM. Ila kwa sababu wao ndo wasemaji wanatulisha matango. Ukweli tunao vichwani na CCM wamebaki na propaganda tu hawana lingine la kushawishi wananchi. Sasa huu ni mwanzo. Mtadanganya sana. Mara tunaongea na wazee, mara Jumatatu. Kwishne. Rudisheni na hela zetu kwanza.
CCM mwaka huu lazima watafute mchawi wakati mchawi wao yuko magogoni anakula bata.
Mangamba pole yao sana. Mimi naamini kitu kimija tu kama maisha ya kiumbe hai yanamwisho iweje chama tu na tena CCM kisiwe na mwisho Tz???
Tatizo la hawa wa Tz wenzetu wa mangamba ni wanakiburi sana na hiyo yote ni kwa sababu ya wao kujiaminisha kuwa hakuna akiye juu yao. Hope for this watakuwa wamejifunza kitu