elias henerco
Member
- Dec 8, 2014
- 17
- 1
leta mawazo yenye tija mkuu naona hata bibilia ilikupita kushoto hata yesu kwao alidharaulika
Na huyo ulimnyima wewe huduma:
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Kijiji cha Nyansurura Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara, kimechukua maamuzi magumu ya kuiadabisha CCM na vibaraka wao kupitia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka huu. Katika Uchaguzi huo uliogubikwa na mizengwe mingi toka kwa Viongozi waandamizi wa Serikali hasa wale waliokuwa na dhamana ya usimamizi wa Uchaguzi huo baada ya kusoma upepo wa kuangukia pua kwa CCM, hata ikapelekea kuahirishwa zoezi la Uchaguzi Tarehe 14/12/2014 hadi 16/12/2014. Siku ya Uchaguzi Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo: Mwenyekiti wa Kijiji:Francis Garatwa Muhingira (CHADEMA), Kitongoji cha Mto Mara:Mseti Mwikwabe Mseti (CHADEMA), Kitongoji cha Nyabichine:Werema Ngocho Ndera (CHADEMA), Kitongoji cha Matanka (CCM bila kupingwa). Wajumbe wote wa 12 Halmashauri ya Kijiji (CHADEMA), mmoja wa NCCR-Mageuzi na Wajumbe wote 8 wa Viti Maalum (CHADEMA). Maeneo mengine yaliyofanya vizuri ni:Kebancha, Sogoti, Machochwe, Gesarya, Rung'abure, Nyamerama, Nyamoko, Mugumu mjini n.k Piiiiipoooozz...
Kujichimbia? hivi hujuwi kulikuwa kuna uchaguzi na tumeshinda kwa kishindo? zaidi ya 80%.
Hiyo ni sawa na Kikwete alivyomshinda Mbowe mwaka 2005. Unakumbuka? Landslide victory.
Aaaaa wapi ccm hamjui hata hesabu za percentage, nani atakaa awaamini na data zenu za kupika. Ukawa imeshinda kwa kishindo kwakuipokonya ccm vijiji vingi, kata n.k sasa iv tunasubiri kucheza densi uwanja wa taifa, naomba siku hyo uje nicheze na wewe mtani hadi mornie kusherehekea mafanikio ya ukawa
Kutakuwa na mziki mnene, vinywaji na misosi yakufa mtu
ntakuramba kunako tope, ili umsahau, andelee na watoto
Akiyataja maeneo ya Miji midogo ambayo CHADEMA imeshinda, Dr. Slaa amesema " 9. Kyela - Kyela."
Hata huku Magu ni nyumbani kwa wachaga? Ccm inapumua kwa msaada wa mashine hapa magu
Mara nyingi nimekuwea nikiangalia meza za magazeti na kuangalia gazeti gani linabaki kwa muda mrefu naona mawio ni mojawapo ya gazeti ambalo haliuziki. Jana nimegundua sababu kuu ya kwa nini haliuziki..Kwa sababu linaandika uongo mtupu..Limeandika CCM aibu tupu ati wapinzani wameata asilimia 38. lakini wasimamizi wa uchaguzi kila wilaya wanasema ccm imeshinda kwa zaidi ya asilimia 70 sasa ukifanya wastani tu utaona bado ccm imepata ushindi mnono lakini kwa kuwa mawio wanataka kuwalisha watu uongo wameamua kufanya propaganda hizo ambazo kwa kiwango kikubwa zinaua soko la gazeti lao
Wewe leta zako ambazo mbichi. Kinakushinda nini?
Umebaki kubwabwaja na kuhororoja, bila mpango.
Krismasi unakula wapi?
mkuu sijui unaishi wapi hapa dodoma ukilikosa ijumaa ujue gazeti la wiki hiyo hulipati tenaNi kweli mkuu umesema ukweli kabisa kwasababu Hakuna gazeti linalouza Kama gazeti la uhuru
Mara nyingi nimekuwea nikiangalia meza za magazeti na kuangalia gazeti gani linabaki kwa muda mrefu naona mawio ni mojawapo ya gazeti ambalo haliuziki. Jana nimegundua sababu kuu ya kwa nini haliuziki..Kwa sababu linaandika uongo mtupu..Limeandika CCM aibu tupu ati wapinzani wameata asilimia 38. lakini wasimamizi wa uchaguzi kila wilaya wanasema ccm imeshinda kwa zaidi ya asilimia 70 sasa ukifanya wastani tu utaona bado ccm imepata ushindi mnono lakini kwa kuwa mawio wanataka kuwalisha watu uongo wameamua kufanya propaganda hizo ambazo kwa kiwango kikubwa zinaua soko la gazeti lao
Ni kweli mkuu umesema ukweli kabisa kwasababu Hakuna gazeti linalouza Kama gazeti la uhuru