sasa kumekucha nnazani list inakaribia kukamilika
Posted Date::8/3/2007
Majina zaidi ya wagombea CCM yatolewa
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
source:
http://www.mwananchi.co.tz/newsre.asp?id=852
BAADHI ya majina ya vigogo waliogombea nafasi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) yamekatwa katika mchujo uliofanywa na vikao vya Halmashauri Kuu (NEC) na
Kamati Kuu (CC) wiki hii huku majina ya baadhi ya wapinzani waliorejea CCM hivi karibuni kupitishwa.
Baadhi ya wagombea ambao majina yao yamekatwa ni Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Daniel Nsanzugwanko, ambaye aligombea ujumbe wa NEC kupitia Mkoa wa Kigoma.
Mwingine ambaye jina lake halimo katika orodha iliyotolewa na CCM juzi ni Mbunge wa Afrika Mashariki, Dk Didas Masaburi, ambaye aliomba ujumbe wa NEC
kupitia Jumuiya ya Wazazi.
Wanasiasa wawili waliohamia CCM kutokea upinzani, ambao ni Thomas Ngawaiya na Richard Hiza Tambwe, majina yao yamepitishwa na CCM kugombea ujumbe wa NEC Taifa. Wote wamepitishwa kugombea kupitia Jumuiya ya Wazazi.
Waandishi wa habari tisa walioomba kugombea viti vya NEC majina yao yamechujwa. Waandishi hao ni Manyerere Jackton, Mayage Mayage na Nuru Shija wakati waandishi
sita wamepita. Waliopita ni Dareck Murusuri ambaye anagombea kupitia Mkoa wa Mara, Jane Mihanji (UWT), Jacqueline Liana (UWT), Violet Mzindakaya (Vijana), Lucy Mayenga (Vijana) Lukas Kisasa (Mkoa wa Iringa), Shy-Rose Bhanj (Viti 20), Novatus Makunga (Viti 20 Bara) na Zainabu Vulu (UWT).
Walioteuliwa kugombea nafazi za wenyekiti wa wilaya kwa Mkoa wa Arusha ni Lucas Lobulu, Gabriel Nnko na Salome Nyitti (Arumeru); Ali Jumbe, Belina Kabuje na Jubilate Shileitiwa Kileo (Arusha); Jerald Gwaha, Peter Msengi na John Tippe (Karatu); Francis Ikayo, Lemoyan Ole Mitasheye na Parteye Syokino (Longido); Reuben Ole Kuney na Joseph Ole Mollel (Monduli); Elias Lyang?ira, Metui Ole Shaudo na Francis Syapa (Ngorongoro).
Kwa upande wa Mkoa wa Dar es Salaam waliopitishwa ni Selemani Ditopile, Selemani Karanje na Mikidadi Mruma (Ilala); Kassim Mrisho Athumani, Aaron Mwaikambo na Aluna Mwambiki (Kinondoni); Shuwari Nahenge, Shaban Mchumira na Ayoub Shamshama (Temeke).
Waliopitishwa kwa Mkoa wa Dodoma ni John Lesangwa, Philemon Mdate na Dotto Mwantengule (Bahi); Amos Kusaja na Charles Ulanga (Chamwino); Danisi Bendera na William Mlagulwa (Dodoma Mjini); Richard Kevela na Mussa Matari (Kongwa); Othma Gorra, Issa Kichuri na George Msongo (Kondoa); Dotto Luseko na Honorali Pima (Mpwapwa).
Kwa Mkoa wa Iringa ni Abeid Kiponza, Aldo Lutego na Bupe Mazengo (Iringa Mjini); Magnus Kibasa, Charles Mbuta na Delfina Mtavilalo (Iringa Vijijini); Joseph Mhumba, Seth Moto na Valentino Msuva (Kilolo); Thobias Lingalangala na Leonard Mkechi (Ludewa); Abraham Kyando, Samwel Mbilingi na Jassel Mwamwala (Makete); Johanes Kaguo, Raphael Makombe na Sikauka Mwachang?a (Mufindi); Andrew Mangula, Adam Msigwa na Rodrick Nyagawa (Njombe).
Kagera ni Anatory Choya, Gordian Kaijage na Josephat Kamugunya (Biharamulo),; Robert Temarirwa Bahati (Bukoba Mjini); Emmanuel Mwenyemzi Baruti, Sadru Nyangasha na Venance Rwelengera (Bukoba Vijijini); Ibrahim Bagura, Suleiman Buhili na Paul Jacobo (Chato); Ruth Chamani, Salvatory Kalabamu na Justinian Kazunguru (Karagwe); Kokulamuka Daniel, Paulina Kajura na Dinnah Rwehumbiza (Misenyi); Katarama Babia na Peter Shubi (Muleba); Methusela Ghachocha, Hellen
Ghozi na George Minani (Ngara).
Kigoma ni Kinyota Kateko, Clement Ndayeza na Juma Ulimwengu (Kasulu); Edwin Kapori, Abadan Ntawe na Majaliwa Rusizi (Kibondo); Nakhon Bidyanguze, Kassim
Kasambwe na Ally Kitemo (Kigoma Mjini); Sezari Makandi, Alh Kassim Nyamkunga na Issa Nyamtema (Kigoma Vijijini).
Kilimanjaro ni Shadrack Meena, Obadiah Manase Ndosi na Amino Uronu (Hai); Califa Kiwango, Godfrey Mwangamilo na Willy Munisi (Moshi Mjini); (Wilaya ya Moshi Vijijini nafasi itatangazwa upya); Rebecca Magwisha, Mathewa Msofe na Faraji Msuya (Mwanga); Justine Masika (Rombo); August Kessy, Nisagurwe Mngujini na Jackson Mshana (Same); Erestine Kombe, William Mollel na Oscar Temi (Siha).
Lindi ni Mikidadi Kinogeandanga, Abdallah Mahiki na Nailoni Funduguru Ng?oge (Kilwa); Ismail Jihatu, Amina Mtunduni na Manyanya Nassibu (Lindi Mjini); Ali Gwaja
(Lindi Vijijini); Ngomambo Chande na Mohamed Kitura (Liwale); Jerome Chihowachi, Mohamed Kamlo na Fadhil Mkuti (Nachingwea); Ali Lyuba, Kaspar Mmuya na Issa
Njinjo (Ruangwa).
Manyara ni Mchungaji Wilson Ihucha, Moses Mbesere na Charles Mwanga (Babati Mjini); Joseph Diyami na Andrew Mayi (Babati Vijijini); Musa Awtu, Goma Gwaltu na Mark Maffa (Hanan?g); Abubakari Said na Shabani Sapar (Kiteto); Ladislaus Baha, Noah Genda na Zakaria Issaay (Mbulu); Lamayani Ranga, Lenganasa Soipey na Brown Suya (Simanjiro).
Mara ni Chacha Gimanwa, Erasto Majura na Alfred Malagila (Bunda); Mwajuma Kiboya, Mukono Mukono na Joseph Obeto (Musota Mjini); Nyaruba Maguge, Magesa
Masine na Nyabukika Nyabukika (Musoma Vijijini); Donald Kisaka, Jumanne Kitena na Chandi Mwita (Serengeti); Naftari Nyambaya, Simon Wangwe na Thobias Rayah (Tarime).
Mbeya ni Kapala Makelele, Sailon Mpashila na Hezron Mwashibanda (Ileje); Glaswell Mwakalukwa, Japhet Mwakasumi na Wilfred Mwalyambile (Kyela); Abdulrahman
Ashraf, Atilio Lowokelo na Ignas Mgao (Mbarali); Dor Mohamed Issa, Edson Mwaikambo na Francis Shonyela (Mbeya Mjini); Alois Ngdalavuna, Michael Mwazembe na William Nzowa (Mbozi); (Wilaya ya Rungwe itatangazwa
upya).
Morogoro ni Abdallah Salum Kambangwa, Benedict Ngakuka na Kassim Njohole ((Kilombero); Raphael Chayeka, Abdallah Huwel na Chapa Selemani (Kilosa); Fikiri Juma, Leonard Mbena na Doroth Mwamsiku (Morogoro Mjini); Tobias Chakupewa, Hamza Mfaume na Suleiman Pinde (Morogoro Vijijini); Pololeti Mgema, Rachels Kingu na Hamoud Ruwehy (Mvomero); Seleman Magotto, Khalid Nalyoto na Solly William Solly (Ulanga).
Mtwara ni Ranadhan Chilumba, Kazumari Malilo na George Mpupua (Masasi); Mohamed Abdallah, Jamaldini Kijasho na Yusuf Mineng?ene (Mtwara Mjini), Ahmadi Likomba, Mohamed Makoko na Mussa Mwamba (Mtwara Vijijini); Mhala Masusu, Chibwana Mtimbe na Zuberi Mwahiyu (Nanyumbu); Issa Ajabu, Akili Chilandi na Nambole Makonde (Newala); Sofia Makonyola, Hassan Namangaya na Mikidadi Ulaya (Tandahimba).
Mwanza ni Shija Kisennanghwi, John Luhemeja na Jackson Shiganga (Geita); Seif Kambimbaya, Selemani Khamese na Simon Mashilanga (Ilemela); Arbogast Dogodogo, Charles Kadikilo na Nghingi Mnyanga (Kwimba); Erasto Kache, Alfred Kuyi na Luteja Mabelele (Magu); Emmanuel Masunga, Kahema Mawe na Gambadu Samwel (Misungwi); Zebedayo Athuman, Thomas Chacha na Mabula Mageta (Nyamagana); Mary Pastory, Theophil Siyantemi na Jaji Tasinga (Sengerema); Jayantilal Karia, Lawrence Lumbungu na Renatus Nzazi (Ukerewe).
Mkoa wa Pwani ni Omari Kabanga, Muhsin Mningo na Mohamed Mzimba (Bagamoyo); Bundala Bundala, Sadakati Kimati na Enock Semwanza (Kibaha Mjini); Ahmed Gezaulole, Paul Ghemela na Hamis Kanesa (Kibaha Vijijini); Chanzi Chanzi na Mwinyimangara Goma (Kisarawe); Mohamed Abdallah Bhai, Mohamed Kilungi na Faki Muyeka (Mafia); Mhunzi Kisazi, Mohamed Msikano na Juma Mwinyikondo (Mkuranga); Seif Lipalanandu, Mrisho Matimbwa na Bakari Msati (Rufiji).
Rukwa ni Sebastian Kapufi, Juma Lumbwe na Method Mtepa (Mpanda); Vickson Konga, Desderius Mipata na Didas Sindani (Nkansi); Charles Kabanga, Timoth Makaza na Godfrey Mwimanzi (Sumbawanga Mjini); Issack David, Godfrey Simuyemba na Zenobi Wasulwa (Sumbawanga Vijijini).
Mkoa wa Ruvuma ni Daniel Chindengwike na Osmund Komba (Mbinga); Ngonyani Beatus, MmauriceNchimbi na Gabriel Nigara (Namtumbo); Hemed Dizumba, Haji said Msham na William Papalika (Songea Mjini); Boniface Bunungu, Ally Selemani Madamba na Kadunda Mayemb (Songea Vijijini); Mustafa Mohamed Bora, Said Ali Kabora na Ndawambwe Mungwa ((Tunduru).
Shinyanga ni Suleimani Gwalugwa, Juliana Mahongo na Sita Masuke Tunge (Bariadi); Robert Mshala, Thadeo Ndazi na Charles Nzella (Bukombe); Mabubu Mussa Mabubu, Andrew John Masanje na Edward Maige Musoma (Kahama), Malisha Shija Ntelezu na Daniel Nyanginja (Kishapu); Pita Edward Munyongolo, Masumbuko Dotto na Fatuma Maselle (Maswa); Angelina Joseph na Yakobo Enock (Meatu), Bikhu Lukindagila, Tajiri Maulidi na Salum Omary (Shinyanga Mjini); Kiloba Dotto, Japheth Masele na Mgeja Msabaha (Shinyanga Vijijini).
Singida ni Anna Gunda, Mtali Jumanne Hamisi na Msengi Wilson (Iramba); Juma Ikimba, Hussein Massawo na Zinduna Salud (Manyoni); Rashid Dia Kiyya, Ibrahim
Muro na Hamis Nguli (Singida Mjini); Naftali Gwae, Barnabas Hanje na Hamis Mwiru (Singida Vijijini).
Tabora ni Felix Mkude, Eva Martin Mushi na Charles Nzela (Igunga); Mary Igogo, Stephen Kahumbi na Francis Shija (Nzega); Bangili Madama, Abedi Malifedha na Abisail Mbogo (Sikonge); Juma Hassan Abdallah, Moshi Omari Abdulahaman na Moses Sandu (Tabora); William Chambala na Twaha Ngosso (Urambo); Abdaalah Kazikwa, Salum Mgeleka na Maulid Mtalima (Uyui).
Tanga ni Athuman Chamuya, Hassan Malunda na George Mwabelo (Handeni); Clement Chamoto, Athumani Mganga na Abdi Mhando (Kilindi); Jaffa Abad�Jaffa, Athumani Magogo na Joseph Simba (Korogwe Mjini); Mhidin Mkande, Nassoro Hemed Nassoro na James Semkondo (Korogwe Vijijini); Richard Mbughuni, Hashim Shekilindi na Iddi Salim Shelukamba (Lushoto); Valentine Guga, Peter Jambele na Sigisbert Ndomba (Muheza); Hamis Mnegero, Rajab Omari na Waziri Omari Semfuko (Pangani); Mohamed Dhikri, Mwavesso Mbega na Seleman Mwinduchi (Tanga), Jonathan Hebert Hiza, Neema Mapewa na Shehe Mudhihiri
(Mkinga).
Kaskazini Pemba ni Shaame Khatib Hamad, Hamad Khalfan Hamad na Simba Juma samba (Micheweni); Ali Bakari Ali, Mussa said Mussa na Kombo Hamad Yussuf (Wete).
Kaskazini Unguja ni Ali Makame Ali, Haji Haji wa Haji na Ali Makame Khamis (Kaskazini ?A?); Mohamed Khamis Juma na Omar Bakari Yussuf (Kaskazini ?B?).
Mkoa wa Kusini Pemba ni Kombo Ali Kombo na Omar Juma Khamis (Kusini Pemba); Zuhura S hamis Abdallah, Omar Makame Haji na Hamad Ramadhan Soud (Mkoani.
Mkoa wa Kusini Unguja ni Hassan Shaaban Hassan na Mohamed Haji Zinawatu (Kati); Hasan abdallah Mzee (Kusini).
Mkoa wa Mjini Magharibi ni Mjumbe Msuri Mjumbe (Magharibi); Borafia Silima Juma, Said abdalah Kinyaga na Manafi said Mwinyi (Mjini).
Waliopitishwa kugombea uenyekiti wa nafasi ya mwenyekiti wa mkoa kwa mikoa ya Zanzibar ni Tahir Omar Rehani na Mberwa Hamad Mberwa (Kaskazini Pemba); Foum Mati Foum, Haji Juma Haji na Haji Anass wadi (Kaskazini Unguja); Fadhil Abbas ameir na Abdalah Mohamed Mshindo (Kusini Pemba); Haji Ussi Haji na Khatib Ramadhan Iddi (Kusini Unguja); Yussuf Mohamed Yussuf (Mjini Magharibi).
Waliopitishwa kugombea Halmashauri ya Taifa (NEC) kupitia Wazazi ni Ali Suleiman Othman, Awesu Adam Khamis, Mtumwa Yussuf Peya, Hasnuu Mohamed Haji, Zainab Omar Mohamed, Haidar Haji Abdalah, Ali Mwinyi Msuko, Hassan Rajab Khatib, Tunu Juma Kondo, Dogo Iddi Mabrouk, Mjumbe Msuri Mjumbe na Fatma Abeid Haji.
Waliopitishwa kugombea NEC Taifa kupitia UWT kutoka Zanzibar ni Raya Suleiman Hamad, Bihindi Hamad Khamis, Asha Mabari Makame, Fatma Bakari Juma, Khadija Salehe Ngozi, Mariam Muharam Shomari, Mwanajuma Majid Abdalah, Zuhura Khamis Abdalah, Mwanahamis Kassim Said, Nashi Hija Andalah, Mwatumu Dau Haji, Katherine Peter Nao, Fatma Said Ali, Subira Mohamed Ali na Yasmin Y. Alloo. Wengine ni Zulekha Yunus Haji, Asha Abdallah Juma, Afsa Said Khamis, Mvita Mussa
Kibendera, Amina Idi Mabrouk na Mwanaidi Khasim Mussa.
Waliopitishwa kugombea NEC kupitia UV-CCM kutoka Zanzibar ni Rose Joel Mihambo, Asia Shariff Omar, Khamis Juma Omar, Abrahim Hassan Juma, Fadhil Mshamba Junma, Juma Nyasa Juma, Ashura Addallah Ismail, Ali Suleiman Juma, Mahamoud Kombo Juma, Suleiman Muhsin Haji na Abdallah Mwinyi Hassan. Wengine Twaha Ali Muhajir, Yussuf Ramadhan Abdallah, Maiko Charles Bundala, Hadila Hilal Haji, Salama Othman Mohamoud (Mawio), Hawa Sukwa Said na Hamad Masaun Yussuf.
Waliopitishwa kugombea viti 20 vya NEC Taifa kutoka Zanzibar ni Saada Than Fakih, Sheha Hamad Mattar, Shukuru Adam Ali, Ame Pandu Ame, Balozi Seif Ali Iddi, Ishau Abdalah Khamis, Ali Machano Mussa, Kidwa Hamid Salehe, Haji Khatib Shaaban, Mussa Ame Silima, Makame Ali Ussi, A bdalah Khamis Feruzi, Mattar Hamad Mattar, Profesa Makame Mnyaa Mbarouk, Ali Omar Mrisho, Khamis Amour Mzee, Sheha Mahmoud Sheha, Salum Juma Othman, Bakari Khamis Bakari, Bakar Mwinyimsa Bakari, Samia Suluhu Hassan, Mustafa Mahmoud Ibrahim, Abbas Haji Khatib na Mohamed Seif Khatib.
Wengine ni Mzee Ali Pira, Abdallah Rashid Abdallah, Khadija Hassan Abood, Abdallah Sharia Ameir, Khatib Suleiman Bakari, Dk Mohamed Gharib Bilali, Moudline Silas Castico, Salehe Ramadhan Ferouz, Mwanamvua Mfaume Hassan, Mansour Yussuf Himid, Mohamed Hashim Ismail, Borafia Silima Juma, Thuwaiba Edington Kissassi, Khamis jabir Makame, Dk Mnyinyihaji Makame Mwadini, Zuberi Ali Maulid, Salum Msabaha Mbarouk, Mohamed Hassan na Nassoro Moyo.
Wengine ni Mbaraka Soud Msabah, Nasoro Juma Mugheir, Omar Sheha Mussa, Brigedia Adam Mwakanjuki, Dk Hussein Ali Mwinyi, Omar Yusuf Mzee, Shamsa Vuai Nahodha, Zaharani Mohamed Omar, Simai Mohamed Said, Dk Ali Mohamed Shein, Fatma Juma Shomari, Issa Mohamed Suleimani, Suleiman Haji Suleiman, Tarib Ali Tarib, Vuai Ali Vuai, Yakout Rajabu Yakout na Abadallah Mohamed Ahmed.