William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
Mzee Killtime,
Magazeti ya bongo wengine huwa hatusomi kabisaa, na ndio hasa maana ya kuwa hapa ni baada ya kugundua kuwa media yote ya bongo ni usaniii,
kujibu your hoja ni kwamba habari ni nyingi mno, lakini tatizo ni uthibitishaji, kabla ya kuziweka hapa, halafu hapa tunajitolea tu, hatulipwi kwa hiyo nilifikiri kuwa angalau utakuwa na shukrani kidogo kwa hizo chache tunazozileta, as opposed na forum zingine ambazo hakuna kitu kabisaa!
Hayo magazeti na sisi at this point ambapo CCM hawajatangaza rasmi majina, tunakua kwenye the same boat yaani ni data tu!
Ahsante Mkuu!
Magazeti ya bongo wengine huwa hatusomi kabisaa, na ndio hasa maana ya kuwa hapa ni baada ya kugundua kuwa media yote ya bongo ni usaniii,
kujibu your hoja ni kwamba habari ni nyingi mno, lakini tatizo ni uthibitishaji, kabla ya kuziweka hapa, halafu hapa tunajitolea tu, hatulipwi kwa hiyo nilifikiri kuwa angalau utakuwa na shukrani kidogo kwa hizo chache tunazozileta, as opposed na forum zingine ambazo hakuna kitu kabisaa!
Hayo magazeti na sisi at this point ambapo CCM hawajatangaza rasmi majina, tunakua kwenye the same boat yaani ni data tu!
Ahsante Mkuu!