Uchaguzi Mkuu wa CCM Mwaka 2007

Uchaguzi Mkuu wa CCM Mwaka 2007

QUOTE:

"Kwa haraka haraka,

1. Ridhiwani, aligombea ujumbe wa kuiwakilisha Bagamoyo, kwenye Mkutano Wa Halamashauri Kuu ya CCM, Taifa kwa jina la kizungu NEC."


Mzee Said Yakub,

Nimekusikia mkuu, kwanza ninashukur kwamba hatimaye umeamua kuja mzima mzima, as opposed na zamani ulipokuwa ukitumia yale majina yako kunishambulia na kunitukana, shukrani kwa hilo na ninakukaribisha kwa mikono miwili ili tuendeleze ile mijadala mingi ambayo tuiliachia njiani, I am looking forward to that,

kuhusu huu mjadala, ninaomba unipe muda kidogo, maana kama nilivyosema kwenye kichwa cha hiyo post kuwa niliandika kwa haraka haraka, sasa ninaweka vitu pamoja na ninakuja, na kama ulivyoniomba kwenye pm tuwe na mijadala ya kisomi!

Ahsante Mkuu!
 
Quote:

"Nisaidie kidogo source ya hizi power za mwenyekiti wa CCM katika ku-overulle maamuzi ya Kamati Kuu, na hakika utaisaidia sana forum kama ukitoa mifano ya kibabe ya Mkapa kwenye Kamati Kuu. Inawezekana ikawa ni nyeti kubwa ''ya jikoni'' nitaelewa ukisema hivyo lakini kwa jinsi ulivyoieleza nadhani inawezekana tukapata chachu kidogo hapa...."

1. Kamati kuu ya CCM, iliamua kwamba DR. Slaa ndiye anayefaa kugombea ubunge jimbo la Karatu, na kumpitisha mbele ya kikao chake chini ya mwenyekiti wake then Mkapa, lakini majina yalipotangazwa kesho yake rasmi, jina Dr. Slaa, lilikuwa halimo badala yake likawa la rafki mpenzi wa mkapa, ambaye alijaribu kila nnjia kuwaomba wajumbe wa kikao a day before wampitishe, lakini walikataa, nafikri unajua kuwa Dr. Slaa aliingia upinzani na kushinda kwa kishindo cha Tsunami!

2. Kamati ya Ulinzi na Usalama ya CCM, ilifanya uchunguzi wake na kufikisha mapendekezo yake kwa kamati kuu ya CCM, kuhusu utata wa uraia wa Jenerali Ulimwengu, ikapendekeza kuwa ni kweli hakuwa raia na alitakiwa afukuzwe nchini, au aombe viza ya kazi kuweza kuishi cnhini, kamati kuu ilikubaliana na mapendekezo hayo ya kamati yake ndogo, lakini Mkapa kwa makusudi akwa-overrule na kuamua yeye binafsi kumpa uaraia Jenerali Ulimwengu, just to regrett later baada ya Jenerali kuanza kumkosoa sera zake kuwa ni mbovu!

3. Kamati kuu iliamua kwa kauli moja kuwa majina ya Idd Simba na Nchimbi, yasirudi kwenye wagombea wa wazazi na UVCCM, wakati wa uchaguzi wa vyama hivyo uliopita, kesho yake majina yalipotangazwa rasmi, wagombea hao wote walikuwa wamerudishwa kwa makusudi na Mkapa binafsi!

4. Kwenye kikao cha kamati, kupitisha majina ya wagombea urais uliopita Chimwanga, again Mwenyekiti Mkapa kwa makusudi aliamua kukataa kuisikiliza kamati ya CCM ya maadili, ku-present matokeo ya uchunguzi wao wa tabia binafsi za wagombea urais wa CCM, kama zinalingana na maadili ya chama hicho, alimwambia Mangu'la kuwa hataki kusikia majungu!,

Sasa ndugu yangu Said are you suprised na mikataba tunayoletwa sasa kama Richmond! Sasa hayo ni baadhi tu ya machache ya maamuzi ya ubabe wa Mkapa akiwa mwenyekiti wa CCM.
 
QUOTE:

"Kwa haraka haraka,

1. Ridhiwani, aligombea ujumbe wa kuiwakilisha Bagamoyo, kwenye Mkutano Wa Halamashauri Kuu ya CCM, Taifa kwa jina la kizungu NEC."


Mzee Said Yakub,

Nimekusikia mkuu, kwanza ninashukur kwamba hatimaye umeamua kuja mzima mzima, as opposed na zamani ulipokuwa ukitumia yale majina yako kunishambulia na kunitukana, shukrani kwa hilo na ninakukaribisha kwa mikono miwili ili tuendeleze ile mijadala mingi ambayo tuiliachia njiani, I am looking forward to that,

kuhusu huu mjadala, ninaomba unipe muda kidogo, maana kama nilivyosema kwenye kichwa cha hiyo post kuwa niliandika kwa haraka haraka, sasa ninaweka vitu pamoja na ninakuja, na kama ulivyoniomba kwenye pm tuwe na mijadala ya kisomi!

Ahsante Mkuu!

I am more interested in developing coherent intellectual arguments ambazo zitakuwa na mvuto kwa wana JF wote na hata wahusika in the corridors of power hii itatusaidia sisi katika kujijenga kifikra kimawazo na dare I say kisiasa.

Just like many others here mijadala ya kisomi inatusaidia zaidi, binafsi nina malengo makuu matatu yaliyonivuta hapa:

1. Kujifunza na kuelemika kuhusu mawazo ya watanzania wenzangu [wengi ni raia wa kawaida kabisa kama mimi ambao tunajaribu kuendeleza mapenzi na uzalendo kwa taifa letu japo tupo ughaibuni]

2. Kwa kile ninachokijua kushirikiana na wenzangu katika kufikiria kwa sauti ili kuboresha mchakato wa mawazo kuhusu Taifa letu, although come to think of it ni vigumu kujua kama mawazo ya humu ndani yanafanyiwa kazi au la?

Lakini naamini kabisa ili mawazo yafanyiwe kazi ni bora yawe sahihi na hoja zinazojengwa ziwe za msingi, tukishikilia misimamo hata kama ina walakini tutakuwa tunakataa kuruhusu fikra zetu kupokea elimu mpya kitu ambacho nahisi ni tatizo kwenye huu mjadala.

Nashauri sana tusipersonalise arguments and start hitting each other below the belt, kama unavyosema tudeal na ishus, ishus, ishus hivyo nadhani Komandoo ES sometimes itasaidia tu kukiri kuwepo na lapses, no-one here doubts your connections as they are evident here and there when you bring us ''exclusives'' and ''breaking news'' lakini connections have to be worked on and be accurate, remember one rule of reporting is CROSS CHECKING THE INFO, sijui ulipata wapi kuwa wajumbe wa kamati kuu ni mia moja!

Anyway, As a person with legal bias and a journalist by profession nafahamu umuhimu wa research and rebuttals, hivyo take your time mkuu Komandoo and as appreciated by yourself tunaweza kuwa na mijadala ya kisomi....

have a good weekend.
 
Quote:

"lakini connections have to be worked on and be accurate, remember one rule of reporting is CROSS CHECKING THE INFO,".......As a person with legal bias and a journalist by profession nafahamu umuhimu wa research and rebuttals, hivyo take your time mkuu Komandoo"

Mzee Yakub, ahsante kwa ushauri wako mzuri, lakini una walakini kidogo maana mimi sio a journalist by profession, kwa hiyo sielewi umuhimu wa research na rebuttals, ndio maana huwa si-take my time na sina huo mpango in the furture!

Na pia bado ninakurudia kwenye hoja izngine hapo juu, subira tu mkuu!

Ahsante Mkuu, na heshima mbele!
 
Quote:

"lakini connections have to be worked on and be accurate, remember one rule of reporting is CROSS CHECKING THE INFO,".......As a person with legal bias and a journalist by profession nafahamu umuhimu wa research and rebuttals, hivyo take your time mkuu Komandoo"

Mzee Yakub, ahsante kwa ushauri wako mzuri, lakini una walakini kidogo maana mimi sio a journalist by profession, kwa hiyo sielewi umuhimu wa research na rebuttals, ndio maana huwa si-take my time na sina huo mpango in the furture!

Na pia bado ninakurudia kwenye hoja izngine hapo juu, subira tu mkuu!

Ahsante Mkuu, na heshima mbele!

MAELEZO YAKO ES YANAZIDISHA HAJA YA KUWA NA UWEZO WA KUKIRI PALE UNAPOKOSEA KAMA TUFANYAVYO WENGINE, LAKINI UMUHIMU WA RESEARCH SHOULD HAVE BEEN EVIDENT TO ANYONE WHO TYPES TO CONTRIBUTE HERE KWA VILE ANATOA MAWAZO YAKE MBELE YA WENGI.

KWA VILE KOMANDOO UNAVAA MWAMVULI NA UPO UNDER COVER I CAN UNDERSTAND KAMA HUTAKE YOUR TIME [THE OTHER WORD NI KUKURUPUKA KUTOA HOJA TU] LAKINI KWA SISI AMBAO TUPO ''WAZIMA WAZIMA'' NO WAY!

NIMESOMA MAELEZO YA MKAPA HAPO UNASHAURI NIJIBU HOJA BY HOJA AU NISUBIRI ALL YOUR FINAL SUBMISSIONS BEFORE YOU REST YOUR CASE WADAU TUANZE KUCHANGANUA...?

NAAM SASA NADHANI KATIKA HILI LA UBABE WA MKAPA, NI MOJAWAPO ZA HOJA AMBAZO HAZIJIBIKI, MANAKE HAKUNA SOURCE YA HABARI ZENYEWE NI MIFANO AFTER MIFANO WITHOUT ATTRIBUTIONS WHICH MAKES IT HARDER FOR ME TO REBUTT LAKINI LET'S ASSUME KUWA HIYO NDIO STYLE YAKO YA ARGUMENTS THEN DUH TUTAKUWA NA KAAZ KWELI KWELI KUJUA WAPI TUPOKEE WAPI TUACHIE....MANAKE VIEGAMIZO VYA HOJA NI MUHIMU ILI KUZIJIBU KWA MFANO KWENYE KAMATI KUU UMESEMA WAPO MIA IKIWA HUNA SOURCE BASI INAKUWA VIGUMU KUJUA UKWELI WAKE LAKINI KAMA NIMEKUPA IDADI NA MAHALI NILIPOTOA THEN INAKUWA RAHISI KUNIKOSOA...

NASHAURI TU KWENYE HOJA NYINGINE WALAU KUWE SOURCES.
 
Quote:

"3. Mheshimiwa hapa kidogo idadi ya wanachama wa Kamati Kuu umeichanganya kidogo, Kamati Kuu ina wajumbe 35 na Halmashauri Kuu ina wajumbe 215 tu. Hii figure ya 100 nadhani ndio zile lapses tulizozungumzia kwenye role ya JF lakini nadhani tuwe makini katika kutoa facts as hizi errors sometimes zinaepukika..."

Ninaomba nianze na hoja yako ya msingi, kuhusu credibility ya tunayoyasema, kwenye post niliyomjibu mjumbe kuhusu kamati na halamashauri za CCM, niliweka bayana mwanzoni mwa post kuwa ninajibu kwa haraka, haraka, meaning kwamba kunaweza kuwa na makosa, kwa mtu yoyote aliyeenda shule, hiyo ndio hasa maana kunadika kwa haraka haraka, na ninaamini kuwa wewe umeenda shule na ulinielewa.

Katika usahihisho wako umesema kuwa, wajumbe wa Kamati Kuu ni 35, ukweli ni kwamba ulikuwa unajaribu kuidanganya hii forum, tena kwa makusudi makubwa, maana wajumbe wa kamati kuu ni 36, kama ninavyoleta uthibiti hapa chini, na hii ni kwa sababu safari hii sikuandika kwa haraka haraka, ila nilikaa chini na kuweka vitu, ukweli ni huu chini:-!

WAJUMBE WA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (2002-2007)


1. Ndugu Benjamin William Mkapa - Mwenyekiti
2. Ndugu John Samwel Malecela - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3. Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4. Ndugu Philip Mangula - Katibu Mkuu
5. Brig. Gen. Hasan Ngwilizi - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6. Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7. Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8. Ndugu Frederick Tluway Sumaye - Mjumbe
9. Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10. Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11. Dr. Salmin Amour - Mjumbe
12. Mzee Rashid Mfaume Kawawa - Mjumbe
13. Ndugu Salome J. Mbatia - Mjumbe
14. Ndugu Jackson W. Msome - Mjumbe
15. Ndugu Omar Ramadhan Mapuri - Mjumbe
16. Ndugu Pius Msekwa - Mjumbe
17. Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
18. Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
19. Ndugu Amina Salum Ali - Mjumbe
20. Dr. Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
21. Ndugu Pindi Chana - Mjumbe
22. Dr. Maua Abeid Daftari - Mjumbe
23. Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
24. Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
25. Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
26. Dr. Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
27. Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete - Mjumbe
28. Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
29. Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
30. Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
31. Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
32. Ndugu Kingunge Ngombale-Mwiru - Mjumbe
33. Ndugu Juma Suleiman N'hunga - Mjumbe
34. Ndugu Salim Ahmed Salim - Mjumbe
35. Ndugu Abiud Mugini Maregesi - Mjumbe
36. Ndugu Yussuf Moh'd Yussuf - Mjumbe



Ahsante Mkuu wangu na tutaendelea, ila in the meantime, talking about credibility, tunashukur sana kwamba umeamua kuingia mzima mzima, kama ulivyo, sisi wananchi wa hii forum, tungependa sana uyaweke sawa yote yaliyojiri kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa wa-Tanzania huko London, uchaguzi ambao wewe ulishiriki kama mgombea wa cheo hicho, baada ya uchaguzi tumesikia mengi sana yanayokuhusisha wewe binafsi na outcome ya uchaguzi huo,

Ndugu yangu do you mind kuligusa hilo, lakini nitaelewa uki-decline, maana tunazo data nyingi sana kuhusiana role yako kwenye outcome ya huo uchaguzi, ni vizuri tukapta nafasi ya kuchanganua na kupambanua, mchele ulipo na pumba ziko wapi?

Ahsante Mkuu na tutaendelea!
 
Quote:

"no-one here doubts your connections as they are evident here and there when you bring us ''exclusives'' and ''breaking news'' lakini connections have to be worked on and be accurate,"

Hii hoja ni nje kabisa ya mstari, kwa sababu si kweli kwamba tuko hapa kuonyeshana nani na yupi yuko karibu na the powers, hapana tuko hapa kulijadili taifa letu kwa kutumia majina ya bandia kutokana na kuielewa vizuri nchi yetu, na serikali yetu. Katika kujadili, huwa tunaandika as much as we know kinachoendelea katika siasa, na ningekuomba uende kwenye mjadala wa Richmond, na mingine mingi, yote tuliyoyaandika kule hayakutokana na ukaribu wetu na the powers, hapana ila utafiti wetu, na hakuna mahali tulikuwa mbali na ukweli kuhusu uozo na uchafu mzima wa Richimond, na yaliyofanywa na viongozi wetu wa taifa, tuliowapa dhamana kisheria kutuongoza.

Kwa hiyo doubtness za connections, ni absolutely out of the line, na breaking news huwa zinaandikwa na all members hapa, na sio mimi peke yangu, nafikiri ukitembelea topic nyingi humu utaliona hilo wazi. Again, the point hapa sio kuonyesha connections, bali kulijadili taifa letu kwa kutumia majina ya bandia for as much as we can, bila ya kuonyesha concrete ushaidi au sources, lakini ninakutakia mafanikio na mijadala yako mpiya ambayo utakuwa ukionyesha sources na connections, hapa forum!

Ahsante Mkuu!
 
Ndugu Said,

Mjumbe maneno yako yamefika na sidhani kama tutakuwa tunajenga hoja kwa udadisi badala ya kuyasoma maelezo ya mtu na kuyaacha kama yalivyotokea maanake hiki ni kijiwe hatupo kortini wala bungeni.
Utanisamehe mkuu lakini naona kidogo lugha yako imekuwa na makali ambayo sioni sababu hasa kwani hata kama kamandoo kaandika hesabu ya 100 ama 200 ambayo sii hoja ya msingi bali tunachojaribu kuangalia hapa ni hao wawakilishi na njia zipi zinatumika ktk chaguzi hizi.
Inasikitisha sana watu tunajaribu kuondoa handas ya mijadala kwa ku peak vipande ambavyo havina umuhimu ktk hoja, unless unachopinga kina maelezo yanayohusiana na hoja iliyopo mbele yetu.
Nadhani toka mwanzo umefahamu vizuri kuwa kumetokea makosa ya kiuandishi ktk idadi ya wajumbe, jambo ambalo ungesema tu sahihisho wajumbe ni kiasi kadhaa kisha tukaendelea mbele!
Mzee wangu una mchango mkubwa sana kwetu sisi akina yakhe ambao habari kama hizi tunaziwekea kikombe cha kahawa mezani kuondoa usingizi lakini mnapofikia hatua kama hii mjomba mnatuacha kwenye mataa. Kinachobaki sisi tunajiuliza Kulikoni?...

Komandoo Es,
Hizo hesabu za majumbe kuwa 35 ama 36, please acheni maswala haya yanapotosha kabisa mwelekeo wa mada hii ambayo ni muhimu kwetu katika kusikia chambuzi zenu mabingwa!
mwageni manyanga, tupeni dawa ya ujinga.
 
1. Quote:

"KWA VILE KOMANDOO UNAVAA MWAMVULI NA UPO UNDER COVER I CAN UNDERSTAND KAMA HUTAKE YOUR TIME [THE OTHER WORD NI KUKURUPUKA KUTOA HOJA TU] LAKINI KWA SISI AMBAO TUPO ''WAZIMA WAZIMA'' NO WAY!"

2.Quote:

Mheshimiwa hapa kidogo idadi ya wanachama wa Kamati Kuu umeichanganya kidogo, Kamati Kuu ina wajumbe 35.


Ukweli ni kwamba Kamati Kuu ina Wajumbe 36, kwa hiyo pamoja na kuingia kwako mzima mzima na quote kama hizi "LAKINI KWA SISI AMBAO TUPO ''WAZIMA WAZIMA'' NO WAY!" kujifanya unajua sana, ukweli ni kwamba hujui kitu na ushahidi ni huuu hapa ndugu yangu!
 
Quote:

"3. Mheshimiwa hapa kidogo idadi ya wanachama wa Kamati Kuu umeichanganya kidogo, Kamati Kuu ina wajumbe 35 na Halmashauri Kuu ina wajumbe 215 tu. Hii figure ya 100 nadhani ndio zile lapses tulizozungumzia kwenye role ya JF lakini nadhani tuwe makini katika kutoa facts as hizi errors sometimes zinaepukika..."

Ninaomba nianze na hoja yako ya msingi, kuhusu credibility ya tunayoyasema, kwenye post niliyomjibu mjumbe kuhusu kamati na halamashauri za CCM, niliweka bayana mwanzoni mwa post kuwa ninajibu kwa haraka, haraka, meaning kwamba kunaweza kuwa na makosa, kwa mtu yoyote aliyeenda shule, hiyo ndio hasa maana kunadika kwa haraka haraka, na ninaamini kuwa wewe umeenda shule na ulinielewa.

Katika usahihisho wako umesema kuwa, wajumbe wa Kamati Kuu ni 35, ukweli ni kwamba ulikuwa unajaribu kuidanganya hii forum, tena kwa makusudi makubwa, maana wajumbe wa kamati kuu ni 36, kama ninavyoleta uthibiti hapa chini, na hii ni kwa sababu safari hii sikuandika kwa haraka haraka, ila nilikaa chini na kuweka vitu, ukweli ni huu chini:-!

WAJUMBE WA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (2002-2007)


1. Ndugu Benjamin William Mkapa - Mwenyekiti
2. Ndugu John Samwel Malecela - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3. Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4. Ndugu Philip Mangula - Katibu Mkuu
5. Brig. Gen. Hasan Ngwilizi - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6. Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7. Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8. Ndugu Frederick Tluway Sumaye - Mjumbe
9. Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10. Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11. Dr. Salmin Amour - Mjumbe
12. Mzee Rashid Mfaume Kawawa - Mjumbe
13. Ndugu Salome J. Mbatia - Mjumbe
14. Ndugu Jackson W. Msome - Mjumbe
15. Ndugu Omar Ramadhan Mapuri - Mjumbe
16. Ndugu Pius Msekwa - Mjumbe
17. Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
18. Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
19. Ndugu Amina Salum Ali - Mjumbe
20. Dr. Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
21. Ndugu Pindi Chana - Mjumbe
22. Dr. Maua Abeid Daftari - Mjumbe
23. Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
24. Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
25. Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
26. Dr. Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
27. Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete - Mjumbe
28. Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
29. Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
30. Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
31. Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
32. Ndugu Kingunge Ngombale-Mwiru - Mjumbe
33. Ndugu Juma Suleiman N’hunga - Mjumbe
34. Ndugu Salim Ahmed Salim - Mjumbe
35. Ndugu Abiud Mugini Maregesi - Mjumbe
36. Ndugu Yussuf Moh’d Yussuf - Mjumbe



Ahsante Mkuu wangu na tutaendelea, ila in the meantime, talking about credibility, tunashukur sana kwamba umeamua kuingia mzima mzima, kama ulivyo, sisi wananchi wa hii forum, tungependa sana uyaweke sawa yote yaliyojiri kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa wa-Tanzania huko London, uchaguzi ambao wewe ulishiriki kama mgombea wa cheo hicho, baada ya uchaguzi tumesikia mengi sana yanayokuhusisha wewe binafsi na outcome ya uchaguzi huo,

Ndugu yangu do you mind kuligusa hilo, lakini nitaelewa uki-decline, maana tunazo data nyingi sana kuhusiana role yako kwenye outcome ya huo uchaguzi, ni vizuri tukapta nafasi ya kuchanganua na kupambanua, mchele ulipo na pumba ziko wapi?

Ahsante Mkuu na tutaendelea!

Inafurahisha how playing with words can amount to, manake ulipokosea katika Halmashauri Kuu ni kwa vile ulikuwa unaandika haraka haraka, bado hujakiri kama umekosea but just playing with words.

OK kamati Kuu mimi niliandika baada ya kufanya utafiti katika website ya CCM na niliweka source hapa ambayo ni official website ya CCM inayoonyesha wajumbe ni 35.

http://www.ccmtz.org/0kamatikuu.htm

Inawezekana upo right kuwa wajumbe wa kamati kuu ni 36 na sio 35 [hujaprovide source yako just names though zinamatch na majina mengi ya kwenye official website] lakini sikuwa na ''nia ya makusudi ya kuidanganya forum'' kwa vile nilitoa quote from the official website ya CCM, so I fail to immediatelly see ni vipi niidanganye forum makusudi kama unavyodai.

Anyway wewe ulitoa wapi wale wajumbe 100 ilhali sasa umetoa majina 36? [ Sote hapa wakati mwingine huwa tunaandika haraka haraka lakini haina maana inabidi tu kudream up a figure na kuiandika huku ndio kudanganya forum nadhani]

On Tanzanians in UK Elections nadhani this is not the point here, talking about it here will be to personalise this argument from NEC & CCM into personalities of which won't be useful because while I am using my name, my real name and nothing but my name as opposed to you ambae still upo undercover.

Mengi yamesemwa na probably yatasemwa zaidi but when they are relevant nitacomment.

On kuingia hapa mzima mzima, Komandoo uzuri wa jambo forums ni kuwa kuna records za michango in date order na kila nilichoandika unaweza kukiona na niliandika lini, it is some of sort of ''layman's hansard'' hivyo sio kweli kwamba sasa ndio nimeingia mzima mzima nilikuwa hapa tangu ikiitwa TEF [refer to my records] na japo nina vimichango viwili vitatu I am an avid reader of this forums for what it's worth.


Three cheers for having a debate and differing without deviating from the point. Hii ndio right way...

My case rests.
 
Quote:

"Mjumbe maneno yako yamefika na sidhani kama tutakuwa tunajenga hoja kwa udadisi badala ya kuyasoma maelezo ya mtu na kuyaacha kama yalivyotokea maanake hiki ni kijiwe hatupo kortini wala bungeni.
Utanisamehe mkuu lakini naona kidogo lugha yako imekuwa na makali ambayo sioni sababu hasa kwani hata kama kamandoo kaandika hesabu ya 100 ama 200 ambayo sii hoja ya msingi bali tunachojaribu kuangalia hapa ni hao wawakilishi na njia zipi zinatumika ktk chaguzi hizi.
Inasikitisha sana watu tunajaribu kuondoa handas ya mijadala kwa ku peak vipande ambavyo havina umuhimu ktk hoja, unless unachopinga kina maelezo yanayohusiana na hoja iliyopo mbele yetu.
Nadhani toka mwanzo umefahamu vizuri kuwa kumetokea makosa ya kiuandishi ktk idadi ya wajumbe, jambo ambalo ungesema tu sahihisho wajumbe ni kiasi kadhaa kisha tukaendelea mbele!
Mzee wangu una mchango mkubwa sana kwetu sisi akina yakhe ambao habari kama hizi tunaziwekea kikombe cha kahawa mezani kuondoa usingizi lakini mnapofikia hatua kama hii mjomba mnatuacha kwenye mataa. Kinachobaki sisi tunajiuliza Kulikoni?...

Komandoo Es,
Hizo hesabu za majumbe kuwa 35 ama 36, please acheni maswala haya yanapotosha kabisa mwelekeo wa mada hii ambayo ni muhimu kwetu katika kusikia chambuzi zenu mabingwa!
mwageni manyanga, tupeni dawa ya ujinga."



Nimekusikia Mkuu, na nimenawa mikono, ngoja nipate rest kidogo nitarudi karibuni! Michango ya Mkuu Said Yakub, ni muhimu sana hapa forum, na I promise hakutakuwa na below the belts, unless ikibidi, kwa hiyo I am dropping the argument na tuendelee na mijadala muhimu kwa taifa.
 
Quote:

Next time usisome udaku no body will care as of now, Just CRYING BABIES!, hakuna maziwa hapa kuna mawe tu Take it or leave it, next time nenda Uhuru na Mzalendo, upate za uhakika zaidi!

Kwa habari zilizoandikwa hapa juu ya hoja hii, afadhali hata gazeti la UHURU lilikuwa sahihi. JF ina watu ambao hata siku moja hawawezi kusema walikosea, wanaona kukubali kosa ni weakness, wengine tunaona ni strength.

BTW. Hata utukane vipi, sitaingia huko, kufanya hivyo itakuwa ni kujishusha mno.
 
Kwa haraka haraka,

1. Ridhiwani, aligombea ujumbe wa kuiwakilisha Bagamoyo, kwenye Mkutano Wa Halamashauri Kuu ya CCM, Taifa kwa jina la kizungu NEC.

2. NEC = National Executive Commitee, yaani Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, ambayo kazi yake ni pamoja na kuishauri kamati kuuu ya CCM, na pia kushughulikia na kuzichambua ishus inazopewa na Kamati kuu ya CCM.

3. Kamati Kuu ya CCM, au Executive Committee pia huitwa Central Committee, ni kikao chenye kauli ya mwisho kuhusu maamuzi mengi ya CCM, lakini pia mwenyekiti wa CCM, anayo power ya kui-overrule kamati hiii na pia Halmashauri kuu, kitu ambacho Mkapa alikuwa akikifanya mara nyingi na kwa makusudi, akitumia ubabe na hii power!

kamati hii ina wajumbe 100!

Mimi naona huu mjadala umeenda beyond putting the record straight. Now, let me try kwenye hizi points tatu za Mzee wetu ES:

1. Mzee ES anasema "Ridhiwani, aligombea ujumbe wa kuiwakilisha Bagamoyo, kwenye Mkutano Wa Halamashauri Kuu ya CCM, Taifa kwa jina la kizungu NEC"

Well, (a) Ridhiwan Kikwete hakugombea kuwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC); (b) Wilaya (kwa hapa inaongelewa Bagamoyo) huwa hazina wawakilishi kwenye Halmashauri Kuu ya Taifa kwahiyo hata kama Ridhiwani angekuwa anagombea ujumbe huo wa NEC, asingegombea "kuiwakilisha" Bagamoyo. Taarifa sahihi ni kwamba: Ridhiwani anaomba kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM, ambao hufanyika mara mbili katika miaka mitano. Katika Mkutano huu Wilaya zote nchini huwakilishwa na wajumbe kati ya tisa hadi kumi na mbili, kutegemea na ukubwa wa Wilaya. Kati ya hao, wengine wanaingia automatically kwa vyeo vyao (kama vile Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, Katibu wa CCM wa Wilaya, Wabunge wa majimbo kwenye wilaya hiyo, Katibu Mwenezi, Mweka Hazina) na wengine (watano) inabidi ugombee. Sasa Ridhiwani ndio anagombea moja ya nafasi hizo tano. Na wachaguaji ni Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya.

2. ES amesema kwamba "NEC = National Executive Commitee, yaani Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, ambayo kazi yake ni pamoja na kuishauri kamati kuuu ya CCM, na pia kushughulikia na kuzichambua ishus inazopewa na Kamati kuu ya CCM"

Ni kweli Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM huitwa NEC. Lakini kazi yake sio kuishauri "Kamati Kuu ya CCM" kama anavyosema ES (actually, hii inaitwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa"). In fact, it is the other way round. NEC ndio hu-endorse au kukataa maamuzi ya Kamati Kuu. In fact, Kataraiya hakufukuzwa na Kamati Kuu. Halmashauri Kuu ilikubali mapendekezo ya Kamati Kuu ya kumfukuza. At the same time, Halmashauri Kuu inaweza kukasimu madaraka kwa Kamati Kuu ili i-act haraka kwa baadhi ya mambo kwa kuwa yenyewe hukutana kila mwezi wakati Halmashauri Kuu hukutana kila baada ya miezi mitatu.

2. ES anasema "Kamati Kuu ya CCM, au Executive Committee pia huitwa Central Committee, ni kikao chenye kauli ya mwisho kuhusu maamuzi mengi ya CCM, lakini pia mwenyekiti wa CCM, anayo power ya kui-overrule kamati hiii na pia Halmashauri kuu, kitu ambacho Mkapa alikuwa akikifanya mara nyingi na kwa makusudi, akitumia ubabe na hii power! kamati hii ina wajumbe 100!"

Inawezekana kweli Kamati Kuu iitwe Executive Commitee halafu tena iitwe Central Committee wakati tumekwisha-establish kwamba Halmashauri Kuu ndio Executive Commitee?

Kusema Kamati Kuu ndio kikao chenye kauli ya mwisho, sio sahihi. Kikao chenye kauli ya mwisho ni Mkutano Mkuu wa Taifa. Hata hivyo, kwa kuwa Mkutano Mkuu wa Taifa hufanyika mara mbili kila baada ya miaka mitano, kikao cha maamuzi makubwa ni Halmashauri Kuu ya Taifa. Kinachowatisha watu tu ni kwamba Kamati Kuu ina-comprise the most powerful people lakini ultimately lazima Kamati Kuu ipeleke mapendekezo NEC, hapo ndipo maamuzi mengi hujadiliwa na kufanyika. Kwenye huu mchakato wa uchaguzi, kuna watu walipitishwa na Kamati Kuu lakini Halmashauri Kuu ikawakataa na kuwa watu walikataliwa na Kamati Kuu lakini wakatetewa na Halmashauri Kuu na wakapita.

Hii habari ya kwamba Kamati Kuu ina wajumbe 100 nadhani mtoa hoja amesahihisha na kusema kuwa ina wajumbe 36, ingawa kuna mjumbe mwingine anasema ina wajumbe 35. Mimi sijui. Lakini inawezekana mjadala hapa ni je, mwenyekiti yumo kwenye hiyo hesabu?

Nadhani huu ufafanuzi utakuwa umetoa mwanga. Heshima ya Forum mbele!
 
Nyongeza: na kwa kuwa nafasi anayogombea Ridhiwani ni ndogo sana, mchujo wake haufanywi na NEC kama inavyodaiwa hapa. Kwahiyo taarifa kwamba jina lake litaonekana kwenye gazeti kati ya waliopitishwa au halitaonekana au kwamba Mzee wake alimkata jina huko kwenye vikao, sio sahihi kabisa.
 
Mimi naona huu mjadala umeenda beyond putting the record straight. Now, let me try kwenye hizi points tatu za Mzee wetu ES:

1. Mzee ES anasema "Ridhiwani, aligombea ujumbe wa kuiwakilisha Bagamoyo, kwenye Mkutano Wa Halamashauri Kuu ya CCM, Taifa kwa jina la kizungu NEC"

Well, (a) Ridhiwan Kikwete hakugombea kuwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC); (b) Wilaya (kwa hapa inaongelewa Bagamoyo) huwa hazina wawakilishi kwenye Halmashauri Kuu ya Taifa kwahiyo hata kama Ridhiwani angekuwa anagombea ujumbe huo wa NEC, asingegombea "kuiwakilisha" Bagamoyo. Taarifa sahihi ni kwamba: Ridhiwani anaomba kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM, ambao hufanyika mara mbili katika miaka mitano. Katika Mkutano huu Wilaya zote nchini huwakilishwa na wajumbe tisa. Kati ya hao, wengine wanaingia automatically kwa vyeo vyao (kama vile Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya na Katibu wa CCM wa Wilaya) na wengine inabidi ugombee. Sasa Ridhiwani ndio anagombea moja ya nafasi hizo. Na wachaguaji ni Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya.

2. ES amesema kwamba "NEC = National Executive Commitee, yaani Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, ambayo kazi yake ni pamoja na kuishauri kamati kuuu ya CCM, na pia kushughulikia na kuzichambua ishus inazopewa na Kamati kuu ya CCM"

Ni kweli Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM huitwa NEC. Lakini kazi yake sio kuishauri "Kamati Kuu ya CCM" kama anavyosema ES (actually, hii inaitwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa"). In fact, it is the other way round. NEC ndio hu-endorse au kukataa maamuzi ya Kamati Kuu. In fact, Kataraiya hakufukuzwa na Kamati Kuu. Halmashauri Kuu ilikubali mapendekezo ya Kamati Kuu ya kumfukuza. At the same time, Halmashauri Kuu inaweza kukasimu madaraka kwa Kamati Kuu ili i-act haraka kwa baadhi ya mambo kwa kuwa yenyewe hukutana kila mwezi wakati Halmashauri Kuu hukutana kila baada ya miezi mitatu.

2. ES anasema "Kamati Kuu ya CCM, au Executive Committee pia huitwa Central Committee, ni kikao chenye kauli ya mwisho kuhusu maamuzi mengi ya CCM, lakini pia mwenyekiti wa CCM, anayo power ya kui-overrule kamati hiii na pia Halmashauri kuu, kitu ambacho Mkapa alikuwa akikifanya mara nyingi na kwa makusudi, akitumia ubabe na hii power! kamati hii ina wajumbe 100!"

Inawezekana kweli Kamati Kuu iitwe Executive Commitee halafu tena iitwe Central Committee wakati tumekwisha-establish kwamba Halmashauri Kuu ndio Executive Commitee?

Kusema Kamati Kuu ndio kikao chenye kauli ya mwisho, sio sahihi. Kikao chenye kauli ya mwisho ni Mkutano Mkuu wa Taifa. Hata hivyo, kwa kuwa Mkutano Mkuu wa Taifa hufanyika mara mbili kila baada ya miaka mitano, kikao cha maamuzi makubwa ni Halmashauri Kuu ya Taifa. Kinachowatisha watu tu ni kwamba Kamati Kuu ina-comprise the most powerful people lakini ultimately lazima Kamati Kuu ipeleke mapendekezo NEC, hapo ndipo maamuzi mengi hujadiliwa na kufanyika. Kwenye huu mchakato wa uchaguzi, kuna watu walipitishwa na Kamati Kuu lakini Halmashauri Kuu ikawakataa na kuwa watu walikataliwa na Kamati Kuu lakini wakatetewa na Halmashauri Kuu na wakapita.

Hii habari ya kwamba Kamati Kuu ina wajumbe 100 nadhani mtoa hoja amesahihisha na kusema kuwa ina wajumbe 36, ingawa kuna mjumbe mwingine anasema ina wajumbe 35. Mimi sijui. Lakini inawezekana mjadala hapa ni je, mwenyekiti yumo kwenye hiyo hesabu?

Nadhani huu ufafanuzi utakuwa umetoa mwanga. Heshima ya Forum mbele!

Kwa watakaosoma maelezo yako kuhusu Ridhiwani Kugombea ndani ya CCM na ufafanuzi wako wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu watapata picha mchele upi na usio mchele ni upi....


At least a third party amefafanua vizuri na kuweka wazi.

Mimi ndio nimeweka hapa kwamba Kamati Kuu ina wajumbe 35 na sikukurupuka nimetoa hapa:

http://www.ccmtz.org/0kamatikuu.htm na katika kuangalia jina la Mwenyekiti wa chama Jakaya Mrisho Kikwete lipo.

Hii ya wajumbe 36 hata wengine wamenitumia kwenye PM wakisema hivyo lakini sijui kwanini official website ya chama ionyeshe wajumbe 35!

Hawa 36 sina hakika Komandoo ES amewatoa wapi....ingawa kama nilivyosema majina ni yale yale more or less na yale ya wajumbe 36 ila Mzee ndio hivyo tena kaghafilika kutoa source!
 
Mzee Mugongox2, heshima mbele mkuu ila sina sbabu ya kuwapa watu faida kwa kulumbana na wewe, kwa hiyo ninakupa ushindi!

Mzee Said Yakub,

Nilifikiri kuwa baada ya kuja mzima mzima, utakuwa umebadilika tabia, lakini ninaona spirit ni ile ile kama ulipokuwa TTJ, una lako jambo, karibu mkuu, ila kwenye hii ishu nimeamua kumsikiliza Mzee Bob. Mkandara, kwa hiyo sitawajibu tena, unless ikibidi tu!, so far sioni sababu!

Isipokuwa get ready na uchaguzi wa uliopita wa London, maana nina data zako wewe mwenye na u-candidate wako fake! nakula pumzi kwanza! Ishu ya credibility ni wewe mwenyewe uliyelivalia njuga, sio mimi, karibu mkuu!

Heshima mbele wakuu!
 
Mzee Mugongox2, heshima mbele mkuu ila sina sbabu ya kuwapa watu faida kwa kulumbana na wewe, kwa hiyo ninakupa ushindi!

Mzee Said Yakub,

Nilifikiri kuwa baada ya kuja mzima mzima, utakuwa umebadilika tabia, lakini ninaona spirit ni ile ile kama ulipokuwa TTJ, una lako jambo, karibu mkuu, ila kwenye hii ishu nimeamua kumsikiliza Mzee Bob. Mkandara, kwa hiyo sitawajibu tena, unless ikibidi tu!, so far sioni sababu!

Isipokuwa get ready na uchaguzi wa uliopita wa London, maana nina data zako wewe mwenye na u-candidate wako fake! nakula pumzi kwanza!

Heshima mbele wakuu!

Heshima yako mkuu. Sidhani ni habari ya ushindi. Nimetoa ufafanuzi kwa kadri ninavyoyajua mambo na sio lazima yawe sahihi. Inawezekana kuna mtu ana ufahamu zaidi na kuona nimeghafirika pahala. Tuko pamoja.
 
Kwa watakaosoma maelezo yako kuhusu Ridhiwani Kugombea ndani ya CCM na ufafanuzi wako wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu watapata picha mchele upi na usio mchele ni upi....


At least a third party amefafanua vizuri na kuweka wazi.

Mimi ndio nimeweka hapa kwamba Kamati Kuu ina wajumbe 35 na sikukurupuka nimetoa hapa:

http://www.ccmtz.org/0kamatikuu.htm na katika kuangalia jina la Mwenyekiti wa chama Jakaya Mrisho Kikwete lipo.

Hii ya wajumbe 36 hata wengine wamenitumia kwenye PM wakisema hivyo lakini sijui kwanini official website ya chama ionyeshe wajumbe 35!

Hawa 36 sina hakika Komandoo ES amewatoa wapi....ingawa kama nilivyosema majina ni yale yale more or less na yale ya wajumbe 36 ila Mzee ndio hivyo tena kaghafilika kutoa source!
Evidence based arguments- Ila real life arguments are a function of values and facts or values only!
Mfano criteria ya kugawa Wilaya ya Hai kuwa Wilaya mbili- ukitumia population and area- this did not qualify Hai kugawanyika mara Mbili- kwa kuwa kuna Wilaya nyingi tu zingine zenye watu wengi zaidi na eneo kubwa zaidi!
Ila Mwanri ni CCM damu damu- na yeye siku moja alilia bungeni akimwomba raisi ile Wilaya igawanyike (Value).
Na Mkapa akamsikia! Hai sasa ni Wilaya mbili- Hai na Siha!
However, it is always good to cross check well our information before we use it to support our arguments!
 
Mzee Mugongox2,

Nimekusikia mkuu nimesema sitakugusa, kwenye uchambuzi wako kuna mashimo mengi sana, lakini nitaheshimu ushauri wa Mzee Nungwi, nitawaachia wengine warekebishe!

kwa hiyo usiwe na wasi mkuu wewe endelea na darasa! na darasa jema mkuu wangu!
 
Back
Top Bottom