Quote:
"3. Mheshimiwa hapa kidogo idadi ya wanachama wa Kamati Kuu umeichanganya kidogo, Kamati Kuu ina wajumbe 35 na Halmashauri Kuu ina wajumbe 215 tu. Hii figure ya 100 nadhani ndio zile lapses tulizozungumzia kwenye role ya JF lakini nadhani tuwe makini katika kutoa facts as hizi errors sometimes zinaepukika..."
Ninaomba nianze na hoja yako ya msingi, kuhusu credibility ya tunayoyasema, kwenye post niliyomjibu mjumbe kuhusu kamati na halamashauri za CCM, niliweka bayana mwanzoni mwa post kuwa ninajibu kwa haraka, haraka, meaning kwamba kunaweza kuwa na makosa, kwa mtu yoyote aliyeenda shule, hiyo ndio hasa maana kunadika kwa haraka haraka, na ninaamini kuwa wewe umeenda shule na ulinielewa.
Katika usahihisho wako umesema kuwa, wajumbe wa Kamati Kuu ni 35, ukweli ni kwamba ulikuwa unajaribu kuidanganya hii forum, tena kwa makusudi makubwa, maana wajumbe wa kamati kuu ni 36, kama ninavyoleta uthibiti hapa chini, na hii ni kwa sababu safari hii sikuandika kwa haraka haraka, ila nilikaa chini na kuweka vitu, ukweli ni huu chini:-!
WAJUMBE WA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (2002-2007)
1. Ndugu Benjamin William Mkapa - Mwenyekiti
2. Ndugu John Samwel Malecela - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3. Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4. Ndugu Philip Mangula - Katibu Mkuu
5. Brig. Gen. Hasan Ngwilizi - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6. Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7. Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8. Ndugu Frederick Tluway Sumaye - Mjumbe
9. Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10. Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11. Dr. Salmin Amour - Mjumbe
12. Mzee Rashid Mfaume Kawawa - Mjumbe
13. Ndugu Salome J. Mbatia - Mjumbe
14. Ndugu Jackson W. Msome - Mjumbe
15. Ndugu Omar Ramadhan Mapuri - Mjumbe
16. Ndugu Pius Msekwa - Mjumbe
17. Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
18. Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
19. Ndugu Amina Salum Ali - Mjumbe
20. Dr. Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
21. Ndugu Pindi Chana - Mjumbe
22. Dr. Maua Abeid Daftari - Mjumbe
23. Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
24. Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
25. Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
26. Dr. Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
27. Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete - Mjumbe
28. Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
29. Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
30. Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
31. Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
32. Ndugu Kingunge Ngombale-Mwiru - Mjumbe
33. Ndugu Juma Suleiman Nhunga - Mjumbe
34. Ndugu Salim Ahmed Salim - Mjumbe
35. Ndugu Abiud Mugini Maregesi - Mjumbe
36. Ndugu Yussuf Mohd Yussuf - Mjumbe
Ahsante Mkuu wangu na tutaendelea, ila in the meantime, talking about credibility, tunashukur sana kwamba umeamua kuingia mzima mzima, kama ulivyo, sisi wananchi wa hii forum, tungependa sana uyaweke sawa yote yaliyojiri kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa wa-Tanzania huko London, uchaguzi ambao wewe ulishiriki kama mgombea wa cheo hicho, baada ya uchaguzi tumesikia mengi sana yanayokuhusisha wewe binafsi na outcome ya uchaguzi huo,
Ndugu yangu do you mind kuligusa hilo, lakini nitaelewa uki-decline, maana tunazo data nyingi sana kuhusiana role yako kwenye outcome ya huo uchaguzi, ni vizuri tukapta nafasi ya kuchanganua na kupambanua, mchele ulipo na pumba ziko wapi?
Ahsante Mkuu na tutaendelea!