ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Hongereni sana viongozi na wanachama wote mliojishughulisha kwenye uchaguzi mkuu katika jimbo la igunga. CDM imepata kura nyingi (Iwe zimechakachuliwa au la) , Ccm imepata ushindi mwembamba japokuwa wamemiliki jimbo hilo kwa miaka 18. Msife moyo tuendelee kupigana
kwani utawala wa CCM unaelekea ukingoni.
ni kweli kaka. kutofautiana kwa kura 3000, si nyingi kwani jitihada zikiwekwa za kusambaza elimu ya URAIA kwa wananzengo, WE SHALL OVERCOME in 2015 election.
BRVO CDM, BRAVO JAMII 4RAMU, BRAVO MEMBERS WA JAMII FORAMU, naamini tumechangia kwa kiwango kikubwa kupokonya ushindi wa CCM toka aslimia alizopata yule KUPE, ukilinganisha na KUPE huyu mpya.