Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,897
- 941
đź“Ť Igunga, Tabora
Video/clip
Muonekano wa Ofisi za Kata za Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye Jimbo la Igunga zinajozengwa kwa mashirikiano ya Mbunge Mhe. Nicholaus George Ngassa na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Ahadi ya Mbunge kwenye uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 ni kuhakikisha Kata Kumi na Sita za Jimbo la Igunga zinapata Ofisi za kisasa.
#KAZINAMAENDELEO
KAZIIENDELEE
Video/clip
Muonekano wa Ofisi za Kata za Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye Jimbo la Igunga zinajozengwa kwa mashirikiano ya Mbunge Mhe. Nicholaus George Ngassa na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Ahadi ya Mbunge kwenye uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 ni kuhakikisha Kata Kumi na Sita za Jimbo la Igunga zinapata Ofisi za kisasa.
#KAZINAMAENDELEO
KAZIIENDELEE