William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
- #141
Ukisubiri hilo tobo lizibwe utasubiri sana na huwaga hakuna nchi ambayo imeweza kuliziba...kabisa???
Mimi nafikiri tatizo leetu ni masoko hivi yule mkulima kule kijijini kila mwaka kwake ni taabu? mathalani
a) Wakivuna sana yaani mwaka mzuri bei inapungua mkulima anakuwa maskini "anauza mazao mengi pesa kidogo"
b) Mwaka mbaya mavuno kidogo bei kubwa lakini " mazao machache" kwa hiyo wanaishia kupata kidogo
Tatizo letu ni la kiuchumi zaidi kuliko mengine..that is why I go for economic guru..Prof. Lipumba for presidency
- Wa-Tanzania siku zote tuna tatizo moja kubwa sana, nalo ni kushindwa kutumia resources tulizonazo kwa faida yetu, hili tumeliruhusu mpaka kwenye kuchagua viongozi wetu wa taifa, tunalia wee! halafu ukija uchaguzi tunaanza maneno ya oooh experience!, oooh hana elimu! oooh kijana mdogo hajakomaa! ooh mzee,
- Ninasema Tanzania tunao watu ambao wakipewa nafasi wanaweza kuumaliza ufisadi in one month, I mean Mramba na Yona walipoenda Rumande kama Rais wetu angeshikilia pale pale na kukusanya na wengine wallahi huu mzizi wa ufsadi by now ungekua kalasi!
- Ninasema hivi regardless ya impact ya mjadala huu kwa taifa, atleast wananchi watasutwa na nafsi zao kila watakapopingana na mawazo yetu kuhusu nani anafaa na nani hafai kuhusu uongozi bora wa taifa letu, ndio maana leo ukiweza kufukua BCS na mwanzo wa JF, utagundua hakuna jipya yote tuliyasema mapema sana, sasa ni uamuzi wa wananchi kutusikiliza au kuwasikiliza mafisadi, lakini tutasema wazi viongozi wanaotufaa na wasiotufaa kwa masilahi ya taifa letu.
Respect.
FMEs!