To be honest to my fellow country man and women,
Dr. Slaa hafai kuwa rais wa Tanzania kwasababu zifuatazo:-
1. Ni MUASI:-
a)Aliasi kanisa katoliki alipoacha u-padre akaja kwenye uraia kwakuwa tunajua kwamba kuwa padre unaapa kumtumikia Mungu milele..sasa mtu aliyemuasi mungu wake atashindwa kutuasi sisi kama taifa..no trust this guy whatsoever..
b) Aliasi CCM baada ya kutochaguliwa kwenye chama chake akakimbilia Chadema ambako ndipo alipo sasa..anaendeleza utaratibu wa kuasi nafikiri ni hulka yake..I don't trust this fellow...
2. Hatari ya kuvunja umoja wa kitaifa na Amani
a) Huyu bwana aliwahi kuwa katibu wa Wakatoliki je ameacha kutumikia kanisa? je hamuoni kwamba atakuwa bias sana kwa jamii ya kiislamu ya Tanzania? kwasababu ya historical backround sioni kama ana mvuta kwa pande zote za jamii zetu kwa hivyo ni hatari kwa umoja wetu..!!!
b) Kama katibu mkuu wa chadema hawana hata mwenyekiti wa kijiji huko zenj...na sioni kama kuna juhudi zozote za kufanya hivyo..damn nionavyo mimi hana interest na zenj kwasababu ya malezi ya kikanisa??does it make sense??? kuwa rais wa Jamhuri NO NO.
3. Ni Mbabe na Mjeuri..
Mimi namuona kama mtu ambaye hakuwezi kutengeneza relations na watu wanaofanya naye kazi..ni type ya kina sumaye na mramba...na kauli zake zinazihirisha hivyo...zaidi ya yote anafaa aendelee kuwa mpayukaji huko upinzani kuliko kiongozi wa kitaifa lol
Tuendelee kumfukua zaidi kabla ya kufanya kosa kubwa sana kumuweka huyu jamaa hafai kabisaaaa!
Kuna watu wana mielekeo ya tofauti pale inapokuja kuona kwamba ni nani anafaa kuwa rais,mathalan vigezo vyetu vinatofautiana kutokana na misimamo yetu mbalimbali dini ikiwa ni mojawapo.Uzuri hapa JF kama ilivyo kwenye jamii yetu,kuna watu wa tofauti na hao niliowamention...Ambao maslahi ya Taifa ni mbele kama ilivyoainishwa na mleta mada.
Pia kwangu binafsi naamini ushauri kutoka kwa aliye mpinzani wako ni wa kinyume,kwa mfano Masatu ambaye ni CCM aliposema kuwa Slaa hafai kuiwakilsha CHADEMA ama upinzani,utashangazwa sana kuwa yeye kama mpinzani wa CHADEMA ametumia vigezo gani ambavyo vina malengo ya kuwatakia mema wapinzani ama CHADEMA.
Vile vile na wewe kama mpinzani wa ukristo pamoja na CHADEMA sioni ni kwa vipi utachukizwa na hatua ya Padri kuachana na upadri ilhali hata ukristo wenyewe hauuamini,ni bora utafute vigezo vingine kwasababu huyo Mungu unayedai aliapa kumtumikia hata wewe haumuamini,so no double standards please kama wewe ni great thinker.
Na madai kwamba aliasi CCM na kwenda CHADEMA,je Lipumba aliasi nini?Kwanza si alikuwa mshauri wa Rais wa uchumi na uchumi uko wapi?N si ni juzi tu wamekubaliana sijui nini na CCM?
Mwisho uspende kujikesha kwa issue za kipuuzi,huwezi kumwita Slaa "Mropokaji" halafu unajichekesha,unamchekea nani wakati ni upuuzi kumwita mtu anayepigania maslahi ya Taifa "Mpayukaji?"
Humu ndani kuna great thinkers na pia very dangerous minds,wewe ni mwana CUF ambaye ni mpinzani na una guts za kusema list of shame speech ilikuwa ni upayukaji?
Ama kweli kuishi kwingi....