Uchaguzi 2010: Masilahi Ya Taifa Kwanza!

- - Na ninaomba nikukumbushe wewe na wengine wote kwamba mimi ni mwanachama mkereketwa wa CCM, sijawahi kutokwua na msimamo wala kuwa neutral katika maisha yangu huku Duniani, ninaamini kwamba chama cha CCM hakina tatizo lolote, isipokuwa tuna viongozi wachache wabovu ambao demokrasia inahitaji tuwarekebishe ili waweze kurudi tena kwenye mstari.

- Nafasi ya Rais kwa sasa ninaiacha wazi mpaka nitakapojua wanaoiwania kutoka vyama vyote ndio tutasema wazi msimamo wetu, ingawa for now tunaweza ku-speculate na kushauri pia nani anayefaa, lakini tutasema msimamo wetu kwa wagombea walioko kwenye nafasi tayari na wale walioonyesha nia ya kutaka kugombea.



FMEs!


FMES umesema vyema ni kwa maslahi ya taifa, ila pia wewe ni mkereketwa wa CCM. Unataka kutaja majina ya wana CCM wanaofaa kwa urais? au ''yeyote mwingine kwa maslahi ya taifa'?

Pili ukipropose majina ya wagombea, let say ndani ya CCM kama mwanaCCM mkereketwa unafikiri JK yuko tayari kuachia hii nafasi mwakani?

Kama hayuko tayari kuachia ngazi, lengo lako ni nini hapa?

Mwisho ni lini mtaweza kuwaondoa hao wanachama wabovu(kama usemavyo hili wengine wasafi kama wewe muendelee kushika nchi)? unaweza kuweka timeline? mmeshakaa madarani kwa miaka 40 sasa! how many more years are enough for you

Mh. John Magufuli angefaa zaidi, ila mwakani nadhani Mh. Jakaya Kikwete atagombea tena ili akamilishe kipindi cha miaka 10.


FMES huwa hamtaki kabisa huyu mtu, sijui sasa msimamo wake, eto aliwauzia ndugu zake nyumba za serikali, wakati aliyeingia mikataba ya IPTL na madini ni rais!

Hatutaki Professor awe rais!Simpla man mwenye maadili!
So akiwa professor na maadili akataliwe kwa sababu ni professor?? mkuu u are not serious
 
- Wakuu uchaguzi mkuu wa taifa uko kwenye kona, Mzee Mandela aliwahi kusema kwamba kwenye ishu muhimu za taifa kama hizi kuwa kimyaa au kuwa neutral ni dalili za kuwa coward.

- Kwa wale tulio na influence ya namna moja au nyingine kwa taifa, ni vyema tukaweka wazi msimamo wetu kwa public kuhusu wagombea ambao tunaamini kwamba wanafaa katika kutusaidia taifa, nimekuwepo JF kwa muda mrefu sana sasa nikiwa na lengo moja tu, nalo ni siku moja kuliona taifa langu likiongozwa kwa kuheshimu sheria.

- Kwa hiyo leo nitaanza rasmi kuwataja wagombea ninaona wanafa kwa masilahi ya taifa letu, na sababu.

Respect.

FMEs!
Issue inayolikabili Taifa kwasasa bado ni ufisadi,bado haujashughulikiwa inavyopaswa,mijadala inaenda kwa kasi,lakini mambo on the ground ni slow motion,tumshajadili wee,kutokea Dk Slaa alipoibua ile list hadi "Wapiganaji" walipotake over,lakini on the ground hali halisi bado hayajafanyika ya kumconvinve mwananchi mwenye akili timamu kuwa ufisadi una/umeshughulikiwa. Kwa hivyo basi naomba wakati unawataja hao wagombea wenye kujali maslahi ya taifa usisahau kuwa bado vitendo ndiyo vitakavyo speak louder tha maneno pale inapokuja kwenye kuumaliza ufisadi once and for all....Kama wapiganaji hawata prevail kwa namna ambayo ni convincing before the next election,then ni vyema tukaangalia upande wa pili wa shilingi...Ni vyema tukajumuisha halafu tufanye comparisons based on what the nation is facing,and who is more likely to get us through,kuna mtu amechangia hapo nyuma na kusema ufisadi si sababu ya umasikini....Ni mchangiaji wa JF,sasa huko vijijini si ndio balaa?Definition ya akili timamu ni so complex.
Kuna wanaosema eti CHADEMA hawajafanya lolote na kwahivyo hawastahili kupewa dhamana ya Taifa letu,sasa kaburu angewauliza wananchi kwanini waichague TANU wangesema TANU ilifanya nini?maendeleo mengi sana tuliyokuwa nayo yaliachwa na wakoloni,sisi ni ufisadi tu,ubinafsi.TANU walipewa kwasababu ya sera zao na kwasababu tatizo tulilokuwa tukuliface ni colonialism,sasa hivi tunaface ufisadi,ni wakati wa mpito kwenye historia ya Taifa letu,CHADEMA wakijipanga vizuri wapewe nchi,CCM na kama kweli wakiacha propaganda na kuuzika ufisadi kiukweli then wapewe nchi,simple.
Lakini hatuwezi kufanya comparison ya CCM na CHADEMA,labda TANU na CHADEMA maana CCM sasa ni kama mkoloni tu kwani hata katiba ni ile ile ya mkoloni sema ikulu na viongozi ndo weusi wenzetu...Sijui kwanini hawachoki kutufanya wajinga,ama labda ni wananchi wenyewe hawajachoka kufanywa wajinga?Ukija tena kurudi na kuchunguza unakuta kuwa hakuna demokrasia ya kweli,dola inatumika vibaya na wizi wa kura,hongo nk vikihujumu haki ya kutupatia viongozi wanaostahili.
Kwa kumalizia najua uchaguzi ndo umekaribia,ila kwa kipindi hiki nasubiria kujua nani ni nani all the way na impact za tofauti zao ni zipi na zitalinufaisha vipi Taifa,then nitajiunga na wale wenye zile tofauti zitakazolinufaisha Taifa.
On this one ima just lay back n watch the show.
 
Waswahili husema kila Maradhi na dawa yake...Hatuwezi chagua kiongozi bora kwa kufikiria utedaji kazi wake ikiwa tatizo na mahitaji yetu hayahusiani na kazi ama nguvu anayotumia mhusika. Maadam Grand Corruption ni adui yetu nambari moja, mimi nampendekeza Dr.Slaa kuchukua kiti cha IKULU. Mdiye mpambanaji wa kweli anayekubalika na vyombo vyote nchini ktk vita dhidi ya Ufisadi kama alivyoorodhesha FMES.

Kumtaka Dr. Slaa arudi Karatu sii dawa inayoponya maradhi tulokuwa nayo na nadiriki kusema kwamba pamoja na jitihada zake bungeni Mheshimiwa Dr Slaa amebakia kama uwanja huu wa JF ambapo tunaandika mengi sana lakini tunazaa matunda hafifu yasiyo na tija kwa taifa kwani maamuzi mengi yameshikiliwa na Mafisadi wenyewe.

Nikiwatazama watu kama Magufuli na Mwadosya ni watu ambao hawana record ya kupinga au kupambana na Ufisadi. Ni wafanyakazi wazuri sana lakini hawawezi kuleta mabadiliko ikiwa pakacha letu la Uchumi lina tobo ambazo zinatakiwa kuzibwa na kiongozi anayeweza kusimama dhidi ya Ufisadi.

Ni rahisi sana watu kusema JF watu wanasema sana na kupiga makelele pasipo kuchukuanhatua zozote lakini wakasahau kwamba hata Wapiganaji wetu bungeni wamekuwa ktk vita hiii pasipo kufanikiwa. Hii ikiwa na maana tunatumia silaha mbaya au dawa mbaya ktk maradhi haya. Suluhisho ni kumweka mtu anayeweza kusimamisha Justice.. We don't want LAW, where it has been broken, we need JUSTICE. na nina hakika Dr. Slaa will deliver!
 
The problem with our country is can the right person win? If we say Mr. X will make a good president, does he have a realistic chance of winning? Personally I feel Dr. Slaa, Zitto have been good for the nation even if they have their short comings us humans. I would like it if Freeman Mbowe went back to being an MP because I believe that is where he can best serve the country. A person like Lipumba also should run for parliament. On the side of CCM it's really hard to tell. With all that has been going on with the party it's really hard to see who is a sincere leader & who is not.

My hope is that during the campaigns we will get to see new faces with fresh ideas.
 
List ya Solomon David

1. Mwanakijiji wa JF
2. Rev Kishoka
3. Dr Kitila Mkumbo
4. Anne Kilango Malecela
5. Dr Mwakyembe
6. Augustine Mrema (akirudi ccm)
 
- Wakuu uchaguzi mkuu wa taifa uko kwenye kona, Mzee Mandela aliwahi kusema kwamba kwenye ishu muhimu za taifa kama hizi kuwa kimyaa au kuwa neutral ni dalili za kuwa coward.

- Kwa wale tulio na influence ya namna moja au nyingine kwa taifa, ni vyema tukaweka wazi msimamo wetu kwa public kuhusu wagombea ambao tunaamini kwamba wanafaa katika kutusaidia taifa, nimekuwepo JF kwa muda mrefu sana sasa nikiwa na lengo moja tu, nalo ni siku moja kuliona taifa langu likiongozwa kwa kuheshimu sheria.

- Kwa hiyo leo nitaanza rasmi kuwataja wagombea ninaona wanafa kwa masilahi ya taifa letu, na sababu.

Respect.

FMEs!
.

Siku zote nilifikiri jf imejaa wasomi na watu wenye Busara zao.Kumbe imejaa waganga wa kienyeji na wapiga Lamri.

Haya, endeleeni na uganga wa kienyeji wenu, na mambo ya kufikilika.
 
.

Siku zote nilifikiri jf imejaa wasomi na watu wenye Busara zao.Kumbe imejaa waganga wa kienyeji na wapiga Lamri.

Haya, endeleeni na uganga wa kienyeji wenu, na mambo ya kufikilika.
Join Date: Sat Nov 2009
Posts: 15
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 1 Post
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif





Una wiki moja humu mejuaje mambo ya JF

Wewe hujakosea kabisaa kwenye lamri na kufikilika.

Inabidi achukue Kiswahili 101
 
Nakuunga mkono, haijalishi mtu amejaribu mara ngapi, kinachomatter anakuja na sera gani. Abraham Lincoln alijaribu urais wa Marekani kwa mara 7, akafanikiwa mara ya 8.
Hapa nikwambie kama Obama alivyoambiwa "You Lie"
Kama unamaanisha Urais check again you facts. Lakini kama unajumuisha useneta na u congressman na huko jimboni inawezekana. Hapo utakuwa offpoint kwani Lipumba ameshajaribu Urais mara tatu na zote patupu.
 
Hapa nikwambie kama Obama alivyoambiwa "You Lie"
Kama unamaanisha Urais check again you facts. Lakini kama unajumuisha useneta na u congressman na huko jimboni inawezekana. Hapo utakuwa offpoint kwani Lipumba ameshajaribu Urais mara tatu na zote patupu.
.
Statement za 'You Lie' ni conclusive, don't make conclusive statement on anything/anyone unless you are sure what you are talking, si ungeniuliza nifafanue, hii ya kutuita watu wazima na heshima zetu waongo, unatuvunjia heshima bure.
 
Waswahili husema kila Maradhi na dawa yake...Hatuwezi chagua kiongozi bora kwa kufikiria utedaji kazi wake ikiwa tatizo na mahitaji yetu hayahusiani na kazi ama nguvu anayotumia mhusika. Maadam Grand Corruption ni adui yetu nambari moja, mimi nampendekeza Dr.Slaa kuchukua kiti cha IKULU. Mdiye mpambanaji wa kweli anayekubalika na vyombo vyote nchini ktk vita dhidi ya Ufisadi kama alivyoorodhesha FMES.

Kumtaka Dr. Slaa arudi Karatu sii dawa inayoponya maradhi tulokuwa nayo na nadiriki kusema kwamba pamoja na jitihada zake bungeni Mheshimiwa Dr Slaa amebakia kama uwanja huu wa JF ambapo tunaandika mengi sana lakini tunazaa matunda hafifu yasiyo na tija kwa taifa kwani maamuzi mengi yameshikiliwa na Mafisadi wenyewe.

Nikiwatazama watu kama Magufuli na Mwadosya ni watu ambao hawana record ya kupinga au kupambana na Ufisadi. Ni wafanyakazi wazuri sana lakini hawawezi kuleta mabadiliko ikiwa pakacha letu la Uchumi lina tobo ambazo zinatakiwa kuzibwa na kiongozi anayeweza kusimama dhidi ya Ufisadi.

Ni rahisi sana watu kusema JF watu wanasema sana na kupiga makelele pasipo kuchukuanhatua zozote lakini wakasahau kwamba hata Wapiganaji wetu bungeni wamekuwa ktk vita hiii pasipo kufanikiwa. Hii ikiwa na maana tunatumia silaha mbaya au dawa mbaya ktk maradhi haya. Suluhisho ni kumweka mtu anayeweza kusimamisha Justice.. We don't want LAW, where it has been broken, we need JUSTICE. na nina hakika Dr. Slaa will deliver!

Mkandala,
Nakubaliana na wewe asilimia 100%, Dr. Slaa akisimama na muungwana, 2010 kweli patachimbika. Watafutwe wazee wa busara wa upinzani na hata wa CCM waliochoshwa na mambo yalivyo, wakamshauri Dr Slaa agombea kama mgombea pekee wa upinzani atakayemkabili JK.

Wakati huo jimbo lake la Karatu tunaliwekea caveat ya kijana loyal wa Chadema ambaye atakuwa dispensable incase bid inagoma, Chadema wanamdispanse na Dr. anarudi Karatu kwenye by election na kurejea mjengoni ambapo 2015 itakuwa sasa ni for sure.
 
Hivi tuna sheria ya kuruhusu wagombea huru?
Haki ya kuchagua au kuchaguliwa ni miongoni mwa haki za msingi za binadamu na katiba yetu inalitambua hilo. Pia katiba imetoa uhuru wa raia kushiriki katika serikali toka ya mtaa mpaka serikali kuu.

Ni kwa msingi huu, Jaji Mwalusanya, katika kesi ya Mtikila, aliruhusu wagombea binafsi. Serikali ilikata rufaa, ikabwagwa chini ila Serikali na bunge letu, lilifanya dhambi kubwa ya ajabu kwa kubadili katiba na kuweka sharti la mgombea lazima adhaminiwe na chama cha siasa, hivyo kuuteka nyara uhuru wote. Mtikila akapinga, mahakama ikatamka kifungu hicho cha katiba ni batili na kuamuru kibadilishwe kabla ya uchaguzi wa 2010.

Serikali imekata rufaa eti kupinga uamuzi huo kwa madai kuwa mahakama kuu haina uwezo kubadili kifungu cha katiba, na bunge halina uwezo kubadili katiba, katiba imeelezewa kuwa iko juu, over and above everything hivyo uamuzi huo wa mahakama kuibadili katiba ni batili, ndipo rufaa bado inaendelea.

Serikali inataka constituent assembly ndio ibadili katiba, hiyo itakuwa labda 2025!.

Ita high time wakiruhusu wagombea binafsi, amini usiamini Mzee Mangi atajitupa humo kwani ndiye aliyekuwa akiingharimia ile kesi ya Mtikila.
 
Pasco,
Nafikiri bado "Prof. Lipumba is the best candidate kwa wakati huu, mtazamo wangu ni kwamba tuna tatizo la umaskini, umakini katika kuendesha mambo (commitments and seriouness) na mtu ambaye si "mchumia tumbo" yaani mlafi au fisadi...

Prof. katika kuongoza CUF nikiwa nimfuatiliajia wa siasa za upinzani ameepukana na kuhusishwa na rushwa na ufisadi katika ruzuku unlike mbowe, mrema and other folks

Kila mara ameweza kutoa hoja mbadala kwa maslahi ya Taifa na mara zote nimeona jamaa hana nonsense yuko committed na ana feel amejaribu kuwa mkweli wakati wote

Ni msomi anayeshimika katika anga za kimataifa..kwahiyo tutaondoka na aibu ya taifa kuwakilishwa kwa kiwango cha chini katika world political forums..ukimuangalia JK wakati ule wa mkutano IMF dar utaomba asiwe rais wako..he literally incompetent...that is fact..
Kwa bongo Prof. Lipumba is Obama like..
Mimi nafikiri Upinzani is high time wamuunge mkono Lipumba for presidency, wakati huo huo kulinda kura maana 2010 uwizi utakaofanyika mtashangaa kwasababu mzee wa kaya umaarufu umepungua..atakuwa rais wa NEC!
 
Hapa nikwambie kama Obama alivyoambiwa "You Lie"
Kama unamaanisha Urais check again you facts. Lakini kama unajumuisha useneta na u congressman na huko jimboni inawezekana. Hapo utakuwa offpoint kwani Lipumba ameshajaribu Urais mara tatu na zote patupu.
Watu waliojaribu zaidi ya mara tatu ni wengi sana kaka just get your record right..kwa system yetu NEC na uchanga wa demokrasia..I still support lipumba for presidency kuliko mtu mwingine yeyote kutoka upinzani...labda muendelea kuleta list ambayo itanibadilisha.
 
Back
Top Bottom