Uchaguzi 2010: Masilahi Ya Taifa Kwanza!

Uchaguzi 2010: Masilahi Ya Taifa Kwanza!

Jmushi1,
Mkuu Tumain ni kibaka, anachofanya anawasubiri mkiingia ndani ya maji kuogelea anachukua nguo zenu na kukimbia.. Hivyo mnapomfukuza mtu kama huyu mnatimiza azma yake yaani nyie ndio muonekane wendawazimu. Anaandika yote haya makusudi kabisa akijua mtakuja juu..Bakia na mada endelea kuogelea kama vile hakukutokea kitu, achana naye wapo wengi tu hingia mkenge huu.
 
Jmushi1,
Mkuu Tumain ni kibaka, anachofanya anawasubiri mkiingia ndani ya maji kuogelea anachukua nguo zenu na kukimbia.. Hivyo mnapomfukuza mtu kama huyu mnatimiza azma yake yaani nyie ndio muonekane wendawazimu. Anaandika yote haya makusudi kabisa akijua mtakuja juu..Bakia na mada endelea kuogelea kama vile hakukutokea kitu, achana naye wapo wengi tu hingia mkenge huu.

Mkuu nimekupata,lakini dosage ni muhimu,tunajua mara nyingi kuna "Vichaa" lakini dosage ni muhimu ili kutuliza impact ya "ukichaa" kwenye mjadala.Hata tv yenyewe mkuu una option ya kui tune ili picha iwe clear,however una option ya kuiacha in any form kama haikusumbui,almuradi unaipata picha kamili,zote hizo ni option,unaweza ukashindwa kulala kutokana na kelele za mlango ama za kichaa,lakini pia unaweza kulala,it depends.Bottomline kila mtu ana haki ya kuchagua kimojawapo.....This time nimeamua kutoa dose kwa kichaa badala ya kukimbizana naye.
 
.
Statement za 'You Lie' ni conclusive, don't make conclusive statement on anything/anyone unless you are sure what you are talking, si ungeniuliza nifafanue, hii ya kutuita watu wazima na heshima zetu waongo, unatuvunjia heshima bure.

Pasco,
don't take it personal though even if you do, I stand by what I said. hii ya kuvunjiwa heshima bure ni mtazamo wako labda unapenda kuvunjiwa heshima kwa malipo. I am sure as heaven kwamba Lincoln kwenye Urai aligombea mara moja tu na akawa presidaa.
Ulisema Lincoln aligombea mara 8 na hapa ina maanisha Urais kwa sababu Lipumba alikuwa anahusishwa na Urais. Kama angekuwa amejaribu udiwani, ubunge, uspika na takataka zingine bila shaka swala la kwamba amegombea mara kadhaa akashindwa lisingeingia.
Naamini umeenda kuangalia ukakuta ulichemka unarudi na gia ya kujisafisha kama Rostam. Kwa ufupi mfano uliotoa ni IRRELEVANT.
 
Kuna watu wana mielekeo ya tofauti pale inapokuja kuona kwamba ni nani anafaa kuwa rais,mathalan vigezo vyetu vinatofautiana kutokana na misimamo yetu mbalimbali dini ikiwa ni mojawapo.Uzuri hapa JF kama ilivyo kwenye jamii yetu,kuna watu wa tofauti na hao niliowamention...Ambao maslahi ya Taifa ni mbele kama ilivyoainishwa na mleta mada.

Pia kwangu binafsi naamini ushauri kutoka kwa aliye mpinzani wako ni wa kinyume,kwa mfano Masatu ambaye ni CCM aliposema kuwa Slaa hafai kuiwakilsha CHADEMA ama upinzani,utashangazwa sana kuwa yeye kama mpinzani wa CHADEMA ametumia vigezo gani ambavyo vina malengo ya kuwatakia mema wapinzani ama CHADEMA.

Vile vile na wewe kama mpinzani wa ukristo pamoja na CHADEMA sioni ni kwa vipi utachukizwa na hatua ya Padri kuachana na upadri ilhali hata ukristo wenyewe hauuamini,ni bora utafute vigezo vingine kwasababu huyo Mungu unayedai aliapa kumtumikia hata wewe haumuamini,so no double standards please kama wewe ni great thinker.

Na madai kwamba aliasi CCM na kwenda CHADEMA,je Lipumba aliasi nini?Kwanza si alikuwa mshauri wa Rais wa uchumi na uchumi uko wapi?N si ni juzi tu wamekubaliana sijui nini na CCM?

Mwisho uspende kujikesha kwa issue za kipuuzi,huwezi kumwita Slaa "Mropokaji" halafu unajichekesha,unamchekea nani wakati ni upuuzi kumwita mtu anayepigania maslahi ya Taifa "Mpayukaji?"
Humu ndani kuna great thinkers na pia very dangerous minds,wewe ni mwana CUF ambaye ni mpinzani na una guts za kusema list of shame speech ilikuwa ni upayukaji?
Ama kweli kuishi kwingi....
Mawazo yako umejitahidi...lakini acha kutoa mapofu twende hoja kwa hoja?

Wewe hujui mimi ni chama gani kwasababu hunijui na hutanijua ok!

Slaa ni mpayukaji huo ni mtazamo wangu sasa wewe weka wako ok!

Of course kama mtanzania muislamu na jamii pana ya kiislamu niko skeptical na "former priest" kuwa kiongozi wangu..atuhakikishie kwamba hatumikii kanisa vinginevyo ataleta divisions ambazo zitaondoa umoja wa kitaifa ok!

Kwamba ni muasi, hata kama mimi si mkristo at leat najua mapadre na updare unapatikanaje kwakuwa nimetoka kwenye familia ya mchanganyiko wakristo na waislamu...so get you record right ok

Slaa kama katibu mkuu sijaona jitahada zozote za kupata viongozi zanzibar hata mwenyekiti wa kitongoji atakuwaje rais wa jamhuri..au kuleta mgawanyiko???...hujajibu hoja zangu zote..umeanza kutoka mapofu..pole ndugu
 
Niko skeptical kwakuwa Slaa cheo chake zamani ni sawa na cheo cha katibu wangu "Mussa Kundecha" wa jumuia za waislamu lazima mkristo atajiuliza mara tatu au nne kumchagua kundecha kuwa rais wake sembuse mimi lol...kuwa realistic ..slaa baki huko kwenu karatu..lakini taifa huliwezi kabisaaaa! call a spade a spade lol.
 
Kuna watu wana mielekeo ya tofauti pale inapokuja kuona kwamba ni nani anafaa kuwa rais,mathalan vigezo vyetu vinatofautiana kutokana na misimamo yetu mbalimbali dini ikiwa ni mojawapo.Uzuri hapa JF kama ilivyo kwenye jamii yetu,kuna watu wa tofauti na hao niliowamention...Ambao maslahi ya Taifa ni mbele kama ilivyoainishwa na mleta mada.

Pia kwangu binafsi naamini ushauri kutoka kwa aliye mpinzani wako ni wa kinyume,kwa mfano Masatu ambaye ni CCM aliposema kuwa Slaa hafai kuiwakilsha CHADEMA ama upinzani,utashangazwa sana kuwa yeye kama mpinzani wa CHADEMA ametumia vigezo gani ambavyo vina malengo ya kuwatakia mema wapinzani ama CHADEMA.

Vile vile na wewe kama mpinzani wa ukristo pamoja na CHADEMA sioni ni kwa vipi utachukizwa na hatua ya Padri kuachana na upadri ilhali hata ukristo wenyewe hauuamini,ni bora utafute vigezo vingine kwasababu huyo Mungu unayedai aliapa kumtumikia hata wewe haumuamini,so no double standards please kama wewe ni great thinker.

Na madai kwamba aliasi CCM na kwenda CHADEMA,je Lipumba aliasi nini?Kwanza si alikuwa mshauri wa Rais wa uchumi na uchumi uko wapi?N si ni juzi tu wamekubaliana sijui nini na CCM?

Mwisho uspende kujikesha kwa issue za kipuuzi,huwezi kumwita Slaa "Mropokaji" halafu unajichekesha,unamchekea nani wakati ni upuuzi kumwita mtu anayepigania maslahi ya Taifa "Mpayukaji?"
Humu ndani kuna great thinkers na pia very dangerous minds,wewe ni mwana CUF ambaye ni mpinzani na una guts za kusema list of shame speech ilikuwa ni upayukaji?
Ama kweli kuishi kwingi....

Hiyo kadi ya CCM ulinipa wewe?
 
Kama that's your comparison then we have many "Obamas" in Tanzania. By the way did you know Benjamin William Mkapa was also intellectual and inteligent?
Well nani kasema wako wachache? hapa tunaongelea wagombea urais 2010 potential candidate! one of them is Prof. Lipumba..he is intellectual and intellegent..compared to other folks!
 
To be honest to my fellow country man and women,
Dr. Slaa hafai kuwa rais wa Tanzania kwasababu zifuatazo:-
1. Ni MUASI:-
a)Aliasi kanisa katoliki alipoacha u-padre akaja kwenye uraia kwakuwa tunajua kwamba kuwa padre unaapa kumtumikia Mungu milele..sasa mtu aliyemuasi mungu wake atashindwa kutuasi sisi kama taifa..no trust this guy whatsoever..
b) Aliasi CCM baada ya kutochaguliwa kwenye chama chake akakimbilia Chadema ambako ndipo alipo sasa..anaendeleza utaratibu wa kuasi nafikiri ni hulka yake..I don't trust this fellow...
2. Hatari ya kuvunja umoja wa kitaifa na Amani
a) Huyu bwana aliwahi kuwa katibu wa Wakatoliki je ameacha kutumikia kanisa? je hamuoni kwamba atakuwa bias sana kwa jamii ya kiislamu ya Tanzania? kwasababu ya historical backround sioni kama ana mvuta kwa pande zote za jamii zetu kwa hivyo ni hatari kwa umoja wetu..!!!
b) Kama katibu mkuu wa chadema hawana hata mwenyekiti wa kijiji huko zenj...na sioni kama kuna juhudi zozote za kufanya hivyo..damn nionavyo mimi hana interest na zenj kwasababu ya malezi ya kikanisa??does it make sense??? kuwa rais wa Jamhuri NO NO.
3. Ni Mbabe na Mjeuri..
Mimi namuona kama mtu ambaye hakuwezi kutengeneza relations na watu wanaofanya naye kazi..ni type ya kina sumaye na mramba...na kauli zake zinazihirisha hivyo...zaidi ya yote anafaa aendelee kuwa mpayukaji huko upinzani kuliko kiongozi wa kitaifa lol
Tuendelee kumfukua zaidi kabla ya kufanya kosa kubwa sana kumuweka huyu jamaa hafai kabisaaaa!


Ndugu yangu Pasco! Nini kimekufurahisha hapa? napenda kujua msimamo wako
 
Kwanza nakubaliana na wale wote wanaojaribu kujadili source ya matatizo ya Tanzania and principal problems ni UMASIKINI NA UJINGA(au ukosefu wa elimu). Inabidi kufahamu matatizo tuliyonayo kwanza kabla ya kutafuta kiongozi (RAIS) ambaye atatatua hayo matatizo.

Ni kutokana na UJINGA na UMASIKINI, ndiyo maana watanzania wanaendelea kuichagua CCM kila kukicha. Ukifanya utafiti utagundua kwamba waTanzania wengi wenye elimu ya angalau Chuo Kikuu (Genuine Degrees) si mashabiki au wanachama wa CCM kwa sababu wanaupeo wa kutosha kuelewa kwamba CCM na viongozi wake ndio chimbuko la matatizo ya Taifa letu.

Ni kutokana na UJINGA na UMASIKINI, ndiyo maana waTanzania wanashindwa kuungana kwa sauti moja na kudai KATIBA mpya ambayo ndiyo ingefungua milango ya kusimikwa institutions za uhakika za kulinda maslahi ya Taifa na kuzuia na kupambana na ufisadi na uharamia mwingine wowote ambao umekuwa ukifanywa na kulindwa na CCM.

Ni kutokana na UJINGA na UMASIKINI, ndiyo maana watu kama Rostam Aziz wanapata jeuri na kiburi cha kuifisadi Tanzania whenever they get an opportunity. Kama waTanzania tusingekuwa wajinga na maskini, tusingekubali kuhadaiwa na huyu m-burushi na kumpa nafasi ya kufanya uhaini anaoufanya ndani ya Tanzania.

Ni kutokana na UJINGA na UMASIKINI, ndiyo maana CCM kama chama bado kinaendelea kutetea maslahi ya CHAMA kabla ya maslahi ya TAIFA. Na inabidi kujiuliza, maslahi ya CHAMA kwa hakika ni maslahi ya nani? Rostam Aziz? Jakaya Mrisho Kikwete? Kwa hakika si maslahi ya WATANZANIA.

Kwa hiyo, ili kuondokana na UJINGA na UMASIKINI, inabidi tuondokane na CCM. Kwa kifupi, UJINGa na UMASIKINI wa waTanzania ndiyo mtaji mkubwa wa CCM na kwa maana hiyo CCM kama chama, hakiwezi kuondoa matatizo hayo mawili hata siku moja. Suluhisho la matatizo hayo mawili, ni kupata RAIS wa nchi kutoka kwenye vyama mbadala. Vyama ambavyo vinalenga kupambana na UJINGA na UMASIKINI. CHADEMA na CUF vinaweza kutoa uongozi unaoweza kupambana na matatizo hayo. NCCR-MAGEUZI, TLP, TADEA et al, ni extensions za CCM kwa hiyo sitegemei kupata mtu serious kutoka vyama hivyo.

Tuendelee na mjadala..........
 
Jmushi1,
Mkuu Tumain ni kibaka, anachofanya anawasubiri mkiingia ndani ya maji kuogelea anachukua nguo zenu na kukimbia.. Hivyo mnapomfukuza mtu kama huyu mnatimiza azma yake yaani nyie ndio muonekane wendawazimu. Anaandika yote haya makusudi kabisa akijua mtakuja juu..Bakia na mada endelea kuogelea kama vile hakukutokea kitu, achana naye wapo wengi tu hingia mkenge huu.
Mkandara,
1.Itabidi uniombe msamaha au uthibitshe kwamba niliwahi kukubaka, kumbaka dadako au nilibaka nini? agh!
2. Naandika ninachoandika nikiwa nina akili timamu..lakini kwakuwa wewe umeamua kuwa kipofu kwa mapenzi yako huwezi kubadilisha ukweli huo..Slaa huo ni wasifu wake...kama wewe una wasifu mwingine tuendelee kujadili au mtaje candidate wako tumjadili...
3. Nyie chadema mnapenda kufuatwa bila kupingwa au kujadiliwa kila atakayejaribu kufanya hivyo atakuwa na sifa either ni a) fisadi, b) hana akili etc....
4. Nani kasema nyinyi ni wazima siyo wendawazimu poleni sana...msitutishe sisi nyooo!
 
Kwanza nakubaliana na wale wote wanaojaribu kujadili source ya matatizo ya Tanzania and principal problems ni UMASIKINI NA UJINGA(au ukosefu wa elimu). Inabidi kufahamu matatizo tuliyonayo kwanza kabla ya kutafuta kiongozi (RAIS) ambaye atatatua hayo matatizo.

Ni kutokana na UJINGA na UMASIKINI, ndiyo maana watanzania wanaendelea kuichagua CCM kila kukicha. Ukifanya utafiti utagundua kwamba waTanzania wengi wenye elimu ya angalau Chuo Kikuu (Genuine Degrees) si mashabiki au wanachama wa CCM kwa sababu wanaupeo wa kutosha kuelewa kwamba CCM na viongozi wake ndio chimbuko la matatizo ya Taifa letu.

Ni kutokana na UJINGA na UMASIKINI, ndiyo maana waTanzania wanashindwa kuungana kwa sauti moja na kudai KATIBA mpya ambayo ndiyo ingefungua milango ya kusimikwa institutions za uhakika za kulinda maslahi ya Taifa na kuzuia na kupambana na ufisadi na uharamia mwingine wowote ambao umekuwa ukifanywa na kulindwa na CCM.

Ni kutokana na UJINGA na UMASIKINI,
ndiyo maana watu kama Rostam Aziz wanapata jeuri na kiburi cha kuifisadi Tanzania whenever they get an opportunity. Kama waTanzania tusingekuwa wajinga na maskini, tusingekubali kuhadaiwa na huyu m-burushi na kumpa nafasi ya kufanya uhaini anaoufanya ndani ya Tanzania.

Ni kutokana na UJINGA na UMASIKINI, ndiyo maana CCM kama chama bado kinaendelea kutetea maslahi ya CHAMA kabla ya maslahi ya TAIFA. Na inabidi kujiuliza, maslahi ya CHAMA kwa hakika ni maslahi ya nani? Rostam Aziz? Jakaya Mrisho Kikwete? Kwa hakika si maslahi ya WATANZANIA.

Kwa hiyo, ili kuondokana na UJINGA na UMASIKINI
, inabidi tuondokane na CCM. Kwa kifupi, UJINGa na UMASIKINI wa waTanzania ndiyo mtaji mkubwa wa CCM na kwa maana hiyo CCM kama chama, hakiwezi kuondoa matatizo hayo mawili hata siku moja. Suluhisho la matatizo hayo mawili, ni kupata RAIS wa nchi kutoka kwenye vyama mbadala. Vyama ambavyo vinalenga kupambana na UJINGA na UMASIKINI. CHADEMA na CUF vinaweza kutoa uongozi unaoweza kupambana na matatizo hayo. NCCR-MAGEUZI, TLP, TADEA et al, ni extensions za CCM kwa hiyo sitegemei kupata mtu serious kutoka vyama hivyo.

Tuendelee na mjadala..........

- Mkuu ahsante sana kwa hoja yako, lakini naomba ustaarabu kidogo nimesema hivi kwenye hii thread yangu nimeamua kwamba ufisadi ndio tatizo namba one la taifa letu, sasa kama kuna anayeona kuna tatizo lingine zaidi ya ufisadi si vibaya kuanzisha thread yake, kwenye hii thread tuzungumzie viongozi wanaoweza ku-deal na ufisadi,

- Natanguliza shukrani mkuu kwa kunielewa!, halafu pia nimeona nikirushiwa maswali mengi ambaye hayana anything to do na viongozi niliokwisha wataja kwamba ninawa-endorse kushika nafasi ya kuongoza taifa kwa sababu binafsi ninaamini wanafaa, sasa mtu ananiuliza maswali ya CCM, please mimi sio Makamba, mimi ni JF ambaye nimeamua kuweka wazi hapa viongozi ninaowaona wanafaa kuchaguliwa kwa manufaa ya taifa na kuwaomba wananchi kuwachagua wakati muda ukifika na infact wengine nitawasaidia kwa nguvu zangu zote katika kampeni zao za kugombea uongozi wa taifa langu.

Respect.


FMEs!
 
Tumain,
Duh mkuu wangu mimi nakusoma tu, dada yangu humwezi, hana mvuto labda akubake yeye..Samahani sana sikuwa na maana ya Ubakaji huo hata kidogo ila wa maneno..Ni lugha tu nimeitumia ktk kubaka mazungumzo yaani unalazimisha watu kwenda kule wasikotaka kwenda..
 
FMES, hapo nipo nawe 100% kwani pasipo kuwa na malengo hatuwezi kupata kiongozi bora kwa kutazama degree za watu, Utajiri ama uwezo wao kuchapa kazi.. Mahala penye Corruption ni sawa na mirija alokuwa akiipiga vita mwalimu, haijalishi utakuwa na uwezo gani kinguvu kujaza pakacha maadam kuna tobo kila unapoweka tatu, mbili hudondoka...Formula hii haiwezi badilikai hata ukitumia Robot! Kinachotakiwa kwanza ni kuziba tobo hilooo tobo - UFISADI.
 
Tumain,
Duh mkuu wangu mimi nakusoma tu, dada yangu humwezi, hana mvuto labda akubake yeye..Samahani sana sikuwa na maana ya Ubakaji huo hata kidogo ila wa maneno..Ni lugha tu nimeitumia ktk kubaka mazungumzo yaani unalazimisha watu kwenda kule wasikotaka kwenda..
Asante kaka tuendelee na mjadala...wa kitaifa ila msiweke upofu wenu wa kupenda kupita kiasi hata tukiwaambia slaa ni mpayukaji siwezi kumchagua, niko seriously skeptical na kazi yake ya kanisa kama muislam..msinibatize majina ya oh huyu ccm,fisadi, kibaka etc..lets go on..
 
- Dr. Slaa na Waziri Magufuli, wanaonekana kuwa na mvuto kama ninayasoma sawa sawa maoni ya baadhi ya members hapa, binafsi ninasema kwamba:-

1. Dr. Slaa anafaa sana tena sana kuwa Rais wa taifa hili na anaweza kulitatua tatizo la ufisadi, kwa sababu kwanza yeye ndiye kiongozi wa kwanza Tanzania kutufumbua wananchi na kutufundisha kuacha uoga na kusema yanayotukera bila ya kuiogopa serikali tuliyoichagua wenyewe,

- Hili taifa tunahitaji kiongozi asiye muoga, anayeweza kusimama na kusema yasiyosemeka yaani maovu ya viongozi wetu wa juu, kiongozi anayeweza kuheshimika na viongozi wenziwe na hasa wananchi na hii ninaisema bila ya ku-complicate anything kuhusu skills za rais tunayemuhitaji, wakuu mkumbuke hii ni bongo sio majuu, huku tunahitaji kiongozi mwenye udikteta flani hivi kama wa Dr. Slaa, ninasema hivi huyu anafaa na achaguliwe katika nafasi yoyote ile atakayogombea tunamuhitaji sana kwa ajili ya masilahi ya taifa.

- Kule nyuma nimeona kuna mkulu mmoja amejaribu sana kumuuua Dr. Slaa, lakini katika maelezo yake yote sijaona mahali hata pamoja akisema Dr. Slaa ni mwizi na jambazi kama miviongozi mingi mijambazi tuliyonayo. Dr. Slaa anafaa sana kuwa Rais wa taifa hili.

2. Waziri Magufuli, sina uhakika na uwezo wake as a president, lakini sina wasi wasi kwamba anaweza nafasi yoyote chini ya u-Rais, hasa Waziri Mkuu anaweza kukemea na anaweza ubabe pia, unajua sisi wabongo bila kaubabe kidogo kama ka-Mrema hatuendi, huyu naye anafaa kwa sababu Rais atakuwa Dr. Slaa basi Takukuru itakuwa inafanya kazi inavyotakiwa, kwa hiyo mapungufu ya hawa kina Magufuli yatathibitiwa.

3. Ninasema kwamba, ufike mahali tuache maneno ya nonsense ya Rais kuwa na kofia mbili, kwa sababu kwa muda mrefu sasa nimekua nikifuatilia uwezo wa uongozi wa Wenyeviti wetu wa vyama vya siasa, nimegundua kwamba kiongozi Freeman Mbowe, ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza taifa kama Mwenyekiti wa chama kinachotawala kwa sababu Freeman ana all the skills zinazotakiwa hasa kutokana na all the things he has done kuiweka Chadema pamoja, I mean can you imagine Freeman angekua Mwenyekiti wa CCM ya sasa?

- The guy haogopi kusimamia interest za chama chake hata kama inabidi kuipindisha katiba, I do not like it lakini bado ninaheshimu uwezo wake wa kusimama mbele ya public na kusema wazi kwamba he has to what he has to do kwa sababu ya interest ya Chama at large na yuko radhi kuhukumiwa na Historia, maaan that is wasup! Kwenye hili ninawashauri wapinzani kama inabidi waunganishe vyama na kumsimamisha Dr. Slaaa, basi huyu Freeman Mbowe ni lazima awe Mwenyekiti wa hicho chama,

- Sina uhakika na uwezo wa Freeman as a president, lakini ninasema straight from my heart and soul kwamba the guy has what it takes kuongoza chama tawala cha siasa , na ninamu-admire sana kwa kuweza ku-acquire hizi skills in the process ya Uenyekiti wake wa chadema, anayoyafanya ndio hasa yanayotakiwa kufanywa na Mwenyekiti wa chama cha siasa, na hasa bongo.

Respect.

Field Marshall Es!
 
FMES, hapo nipo nawe 100% kwani pasipo kuwa na malengo hatuwezi kupata kiongozi bora kwa kutazama degree za watu, Utajiri ama uwezo wao kuchapa kazi.. Mahala penye Corruption ni sawa na mirija alokuwa akiipiga vita mwalimu, haijalishi utakuwa na uwezo gani kinguvu kujaza pakacha maadam kuna tobo kila unapoweka tatu, mbili hudondoka...Formula hii haiwezi badilikai hata ukitumia Robot! Kinachotakiwa kwanza ni kuziba tobo hilooo tobo - UFISADI.

- Mkuu maneno mazito sana hayo, tupo pamoja sana.

Respect.


FMEs!
 
FMES, hapo nipo nawe 100% kwani pasipo kuwa na malengo hatuwezi kupata kiongozi bora kwa kutazama degree za watu, Utajiri ama uwezo wao kuchapa kazi.. Mahala penye Corruption ni sawa na mirija alokuwa akiipiga vita mwalimu, haijalishi utakuwa na uwezo gani kinguvu kujaza pakacha maadam kuna tobo kila unapoweka tatu, mbili hudondoka...Formula hii haiwezi badilikai hata ukitumia Robot! Kinachotakiwa kwanza ni kuziba tobo hilooo tobo - UFISADI.
Ukisubiri hilo tobo lizibwe utasubiri sana na huwaga hakuna nchi ambayo imeweza kuliziba...kabisa???
Mimi nafikiri tatizo leetu ni masoko hivi yule mkulima kule kijijini kila mwaka kwake ni taabu? mathalani
a) Wakivuna sana yaani mwaka mzuri bei inapungua mkulima anakuwa maskini "anauza mazao mengi pesa kidogo"
b) Mwaka mbaya mavuno kidogo bei kubwa lakini " mazao machache" kwa hiyo wanaishia kupata kidogo
Tatizo letu ni la kiuchumi zaidi kuliko mengine..that is why I go for economic guru..Prof. Lipumba for presidency
 
Back
Top Bottom