Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,220
Wakuu, Rais anatakiwa kuwa mtu kama Mkapa (except for Kiwira like scam na kudanganya watu kuwa unapinga ufisadi huku ukiu-supervise). Awe inteligent, anajua anachofanya, anaweza kuprioritize na kusimamia utekelezaji wa policies anazoleta, asiwe mswahili na kuendesha nchi kiushkaji, na lazima ajue kuwa kupewa nafasi ya kuongoza nchi sio kupewa ufalme, ila ni kupewa nguvu za dola ili ufanye kazi ngumu ya kulinda uslaama wa nchi mali zake na maisha ya watu wake. Lazima ajue nchi inataka nini ili kuondokana na hali duni, lazima ajue kuwa wahalifu wanatakiwa kuadhibiwa na sio kuchekewa, lazima ajue kuwa anatakiwa kuongoza sio kuzuga tu siku ziende.
Am sure kuna watanzania wengi tu ambao wanaweza kufanya kazi hii. May be hakuna kati ya tunaowatajataja au tunaowafahamu, lakini kwenye population yetu ya karibu watu milioni 40, yupo.
Tusijudanganye na kusema kuwa wasomi wanafaa. Angalia uchwara waliotufanyia watu walikuwa madarakani hivi karibuni waliosoma huko US kwenye vyuo vikubwa tu, na tusijesema eti wasio na elimu ndio wanafaa zaidi. Tunatakiwa combination ya elimu, uadilifu, uchapakazi, honesty and alike. Tukiwa na kiongozi serious Tanzania inaweza sana kupiga hatua in a very short period.
FMES kwanini usijitupe ulingoni? at any capacity sio lazima kuwa Rais.
Am sure kuna watanzania wengi tu ambao wanaweza kufanya kazi hii. May be hakuna kati ya tunaowatajataja au tunaowafahamu, lakini kwenye population yetu ya karibu watu milioni 40, yupo.
Tusijudanganye na kusema kuwa wasomi wanafaa. Angalia uchwara waliotufanyia watu walikuwa madarakani hivi karibuni waliosoma huko US kwenye vyuo vikubwa tu, na tusijesema eti wasio na elimu ndio wanafaa zaidi. Tunatakiwa combination ya elimu, uadilifu, uchapakazi, honesty and alike. Tukiwa na kiongozi serious Tanzania inaweza sana kupiga hatua in a very short period.
FMES kwanini usijitupe ulingoni? at any capacity sio lazima kuwa Rais.