FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
:confused2:Naona watu wameAnza kukimbizana na upepo hapa
hii inaitwa ni NAME CALLING!Mode upo wapi???? watu wanavunja sheria huku.
hii inaitwa ni NAME CALLING!Mode upo wapi???? watu wanavunja sheria huku.
Una maana Kibonde ni Kibonde?
KIBONDE ni jina lake halisi na Teamo?????ZD bac mie -name calling nikajua ni vile mtu aniite jina langu la ukweli [kalunde]
Tatizo watu wanafananisha ...karanga na njugu mawe
:ranger::ranger::ban::ban:KIBONDE ni jina lake halisi na Teamo?????
niliwahi kuambiwa na mwanaharakati mmoja kuwa kuna baadhi ya wanachama wa jf akili zao hazina akili!.....nilitumia muda mrefu kubishia hilo lakini nimeamini kwamba I WAS WRONG!....
poleni sana great SINKERS!......
poleni kwa kutumia muda wenu kumjadili kibonde(hiyo inadhihirisha wazi kwamba AMEWABAMBA)....
poleni kwa guess works zenu za kunidhania mimi ni kibonde!....poleni sana.nasikitika kwamba taifa linawasomesha ulaya na marekani bila kujua kuwa linapoteza pesa bure!..
hahahahahaha!Afadhali umeamka bwana Kibonde.... Gardner G Habash hapa nakusalimia......... Habar ako bana! Ayayayayayayayayaya!!:welcome::welcome:
wakuu,
naomba nianze na "request" kwa yeyote atakayeweza kupata cv ya e. Kibonde na wenzake woooote hasa gadner. Tuzipata tujue kama kweli kuna tija kuendelea kujadili hawa watu au la!! Kutokana na maneno yao tu, nilikwisha acha kusiliza vipindi vyao, maana ni mbumbumbu wa wazi wzi tu! Katika watu wanakera zaidi ni gadner, anapenda kueleza vitu wakati hajui kitu.
Hawa nawalinganisha na mapaka yanayoranda randa chini ya meza ya mlaji kutafuta makombo!! Hawa watangazaji wetu wanachekesha sana, badala ya kujitahidi kusoma sana ili kuwa na uelewa wao wanakalia kudakia dakia vitu wasivjo jua.
Kwa kuwa wanapenda makombo, laziwa wawe cheap, and so wamenunuliwa tu na mafisadi tunaopambana nao, wafikishe upupu wao kwa wapiga kura. Ni watu wasiojua walikotoka na wanakokwenda.
Mwenye cv ya kibonde please!!!
niliwahi kuambiwa na mwanaharakati mmoja kuwa kuna baadhi ya wanachama wa jf akili zao hazina akili!.....nilitumia muda mrefu kubishia hilo lakini nimeamini kwamba i was wrong!....
Poleni sana great sinkers!......
Poleni kwa kutumia muda wenu kumjadili kibonde(hiyo inadhihirisha wazi kwamba amewabamba)....
Poleni kwa guess works zenu za kunidhania mimi ni kibonde!....poleni sana.nasikitika kwamba taifa linawasomesha ulaya na marekani bila kujua kuwa linapoteza pesa bure!..
na wewe ni great SINKERna ufahamu wako wote umeona wa kusoma ulaya na marekani ndio magreatthinkers??eeh aisee na we ni walewale kumbe
Bora mie nina elimu ya mwembeni....teh teh!jeiefu banana ufahamu wako wote umeona wa kusoma ulaya na marekani ndio magreatthinkers??eeh aisee na we ni walewale kumbe
aaaaaahhhhh teamo
thanks for that umeoa nikupatie mzigo...jumla??
.....kama kawaida naona watu wamehama topic iliyoletwa hapa na kuanza kumjadili mtu......! Miafrika ndivyo tulivyo....(NN respect sana)!
nimeoa lakini i will need one more woman!btw...wewe ni SHE?I CAN'T BELIEVE AISEE!aaaaaahhhhh teamo
thanks for that umeoa nikupatie mzigo...jumla??