Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
msumari huo......!:becky::becky::becky::becky:Pipo bwana!
Mnamuona mpumbavu,mjinga...wakati mnasikiliza anachokiongea sasa na nyie si mpo kwenye kundi hilohilo....na wengine ukute mnafanya pumba ambazo hazielezeki!
Kuna watu wana mijina ya ajabu,wengine wapo humu humu halafu mnalisema jina la kibonde....!Yani pipo bwana!
Yani mtabaki kumsema kibonde hadi mchoke lakini yeye anaingiza salary yake kama kawa!
No one is perfect...Makosa yapo kwa kila binadamu.
Clouds ni radio ya watu,we kama unajiona sio mtu usisikilize tupo tutakaoendelea kusikiliza!!!
I hate CCM,lakini sidhani kama ntaacha kusikiliza kipindi cha jahazi eti kisa anaisifia CCM....Mibango ya Kikwete imebandikwa kila mahali mbona hambadilishi njia myakwepe!!!
The Following User Says Thank You to Wa mmoja For This Useful Post:
Teamo (Today)