BENSON MSEMWA
Member
- Aug 10, 2010
- 30
- 2
hana cv yoyote zaidi ya ile mr 2 aliyosema ya kusambaza ukimwi
Name calling aside.
TEAMO=KIBONDE=TEAMO.
AKIBISHA NA OPEN ZE FILE YAKE HAPA.
Namjua sana huyu XXXXX.
Jamaa nasikia ana ngoma long time
sasa huu ndio udhaifu mkubwa kwa jf member kama wewe!
kuwa na ''ngoma'' kunahusiana vipi na hoja tajwa hapo juu?
yaani mfukunyuzi unadhihirisha wazi PERSONAL JEALOUS NA PERSONAL HATE KWA HUYO KIBONDE!ngoma?what is ngoma so far?ukiwa na ngoma then what?halafu vere siriaz unasema NASIKIA ANA NGOMA....
too low my broda/sista
Wewe nawe memba wake nini kuwa na ngoma sio tatizo ila tatizo ni kusambaza ngoma kwa makusudi, rejea wimbo wa Sugu Antivirus
uLIKUWA HUJUI?? AMA UNATUTEGA???Ina maana huyu dogo ana ugonjwa wa kuambukiza???!!
uLIKUWA HUJUI?? AMA UNATUTEGA???
HABARI NDO HIYO!!! BI MDOGO.
nimepima tena futi saba kwenda mbele.Wewe umepima?
Wewe umepima?
:confused2::confused2::confused2:Jamaa nasikia ana ngoma long time
:confused2::confused2::confused2:Wewe nawe memba wake nini kuwa na ngoma sio tatizo ila tatizo ni kusambaza ngoma kwa makusudi, rejea wimbo wa Sugu Antivirus
Wewe umepima?
Hahahaha hommie bana wewe je vp afya inaruhusu?
Kibonde mm nampenda sana anavyo ongea jioni lazima niwe na headphone nasikiliza Jahazi nakula huku nachanja mbuga na tuktuk huwa anafrahisha sana kwa kweli any way watu tuna mitazamo tofauti mm huwa anaiweka siku yangu iishe vizuri.
Mama Mdogo kwani ulikuwa hujui kama Kibonde ni mgonjwa, of course ana ugonjwa wa kuambukiza (HIV +) na kama alivyosema msemaji hapo juu kuna watu wanasubiri sheria za kuambukiza HIV kwa makusudi, wadada watampeleka mahakamani kwa kuwaambukiza.
Namshauri asipigie chama chochote debe akae kimyaaaaa tuuu!!!! anaweza kuongea mambo ya vyama anapotoka redioni, yaani asipokuwa hewani.
Jana pia nilimsikia anaongea ujinga ujinga fulani hivi. Atakuwa ameishapewa pesa na vigogo mafisadi wa CCM. Ndiyo maana anawafagilia sana.
Hebu soma hapa chini mpwa:
The Following User Says Thank You to Fidel80 For This Useful Post:
Asprin (Today)
Unajua hako kabatani siku hizi kanapotea potea kama sinavyo adimika valuu.
Kibonde kwakweli yupo juu kwa kuongea na mvulia kofia najua upo hapa kweli upo juu.