Ubora na bei za tecno smartphones

Ubora na bei za tecno smartphones

Kweli kabisa asee eti mtu anasema techno inaacha mbali simu zenye majina hahaaaaa! Techno unafananisha na SONY XPERIA Z unaakili kweli wewe!

Acha ushamba hiyo sony ina nini cha ajabu,kama inatumia android hakuna tofauti.
 
Hahahahahahahahahahaaaaa,nimegundua nini ujue mkuu,mliopigwa kwa kununua misimu ya bei kubwa mna wivu sana na tecno kwa kuwa ni durable,capable na zina kila kitu ambacho simu zenu za bei kubwa zilichonacho,

so mnabakia na jealosy,ooooh michina,oooh mionzi n.k,wakati kabla hata michina haijaanza kuingia habari za simu za mikononi kuwa zina madhara yenye mionzi tumeshazisikia,so hyo sio habari mpya,manikoleza tu kutokakana na wivu wenu,teh teh teh teh

Usemayo ni kweli tupu,mi mwenyewe nilikuwa natumia iphone 3 lkn nimegundua haiwezi kuifikia tecno p3,tecno ziko juu hizo simu nyingne ni mbwembwe tu na ukubwa wa majina lkn zinazidiwa mambo mengi tu na tecno
 
Duuuuuuh,kumuelewesha mbongo ni kazi kubwa sana na ndio maana hata kumuelimisha pia ni gharama sana kwani kila mara atarepeat a year kwa kufeli mara kwa mara,itabidi alipiwe ada tena,

wakati kuna wengine nao walitakiwa kulipiwa hyo fedha ili wasome,Mkuu umewahi kutumia tecno za hizi series tunazoziongelea au umekariri tu michina sio simu,unazijua Huawei ascend y300 kaka?

nazo ni michina,kama huna taarifa mkuu hao wenye masimu yenye majina mnaowaaminia wapo matumbojoto kutokana na uwezo wa hizo simu unazozidharau kwani zinawaharibia soko lao,fanya utafiti kwa watumiaji wa michina hyo uone wanakupa ripot zipi kuhusiana na ubora wa hizi simu kaka upo ?

Kwa hiyo wewe ndio umeelimika? Sema ukinunua tecno huna sababu ya kununua HOME THEATER tena coz hiyo inapiga two in one.
 
aliyechezea akili ya mateja wa sumsung alikufa natumia sumsung galaxy s4 min pemben na tecno phantom F7A+ nilifanya hvyo kuondoa ugiza kichwani achen tecno wafanye kazi bonge la simu tecno

Hahaà haya marketing meneja wa tecno tumekupata
 
Km unataka simu nunua tecno lkn km unataka kununua majina nenda ktk hizo nokia, samsung, lg nk
 
Km unataka simu nunua tecno lkn km unataka kununua majina nenda ktk hizo nokia, samsung, lg nk

Ni kweli mkuu, na mimi pia nilikuwa muumini wa majina hasa NOKIA lakini baada kununua TECNO P5 nimejilaumu sana kwa kupoteza pesa nyingi kwaajili ya kununua jina NOKIA...
 
True. Tatizo watu hawaelewi nadhani. Kinachomatter ni unataka nini kwenye simu. Camera ya ukubwa upi? Uwezo wa simu upi? Battery inaweza kaa muda gani nk. Kusema TECNO haifai ni kosa.

Haifai kwako. Mbona unaendesha Vitz badala ya Pollo au Golf kama unajifanya ni mtu wa quality? Na isitoshe TECNO inauwezo mkubwa wa kutunza charge zaidi ya smartphones zingine. Nunua bro wasikubabaishe. Phantom. Ni zaidi ya simu. WIFI yake ina nguvu balaa.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mbona wewe unatumia blackberry badala ya huyo techno?
 
Kwa hiyo wewe ndio umeelimika? Sema ukinunua tecno huna sababu ya kununua HOME THEATER tena coz hiyo inapiga two in one

teh teh teh teh teh ! we wa wapi brooo? Tecno gani za series ya kuanzia L ,P n.k ni subwoofer ?kama huzijui bora ungekausha tu mkuu kuliko kukurupuka, usiclemu jibaba, dunia imebadilika sasa,

Usidanganyike na majina,angalia kitu chenye mambo uyapendayo then fanya maamuzi,usipelekwepelekwe na hisia brooooo,tafakari.........chukua hatua.
 
Usemayo ni kweli tupu,mi mwenyewe nilikuwa natumia iphone 3 lkn nimegundua haiwezi kuifikia tecno p3,tecno ziko juu hizo simu nyingne ni mbwembwe tu na ukubwa wa majina lkn zinazidiwa mambo mengi tu na tecno

Mkuu,we waache waendelee kuclemu hivyohivyo,sie tunasonga kama kawa kama dawa vile,na tunaenda nao sawa tu na simu zetu wanazozidharau na wao na simu zao walizopigwa huku wakishangaa kwenye kila social media na michina yetu hii hii tunakutana nao na mademu zao tunawachapa nao huku tukiwa na simu hzi hzi wanazozidharau wao
 
Tecno ni cm nzuri tatizo ni kioo cha tecno si gorilla inaitaji utunzaji na hazina magnetic field sensor.
 
Aisee nilinunua samsung gt-b5512 galaxy Y pro kwa 345,000..simu michosho kweli sijui kwasababu android version ya zamani..yani hiyo hela ningeongeza 15,000 ningechukua phantom ya maana...nimejifunza lakini
 
Apo akuna sm waku kweny mtandao zip sro sana tecno

Sijakuelewa! Unasema Tecno iko slow kwenye mtandao?!!! Ni aina gani ya Tecno uliyonayo? Sema bila ushabiki kk.
Ni Kiulize tena, unatumia mtandao gani I.e voda tigo au airtel! Na ni eneo gani unashi, usije ukawa UK out of 3g service!
 
Sijakuelewa! Unasema Tecno iko slow kwenye mtandao?!!! Ni aina gani ya Tecno uliyonayo? Sema bila ushabiki kk.
Ni Kiulize tena, unatumia mtandao gani I.e voda tigo au airtel! Na ni eneo gani unashi, usije ukawa UK out of 3g service!

Kuna p5
 
Hizo zote mbwembwe tu simu ya ukweli ni NOKIA 1280 chaji wiki nzima full network
 
Wakuu ni mmoja wa watumiaji wa simu nimeikubali techno, wametupa raha na nafuu kubwa mno
 
Back
Top Bottom