Ubora na bei za tecno smartphones

Ubora na bei za tecno smartphones

Tecno ipo poa. Mi natua L3 lakini inaipiga bao kila kitu samsung galaxy kuanzia chg. Samsung kila saa natembea na chg lakini tecno mshallah..
Ni Samsung galaxy ipi hiyo inayozidiwa kila kitu na L3?..............Acha kujidanganya mkuu
 
endelea kujidanganya! Simu wala haipo kwenye mtandao wa simu gsmarena... Ipo kwenye ma blog tu!!

Unakielewa unacho kiandika mkuu?? Au umekalili? Acha kupotosha watu wewe ,unaijua gsmarena ni kitu gani na inafanya kazi kwa principle zipi? Tofautisha africa na europe devices promotion then uijue tecno ni kwa ajili ya soko gani na hiyo gsmarena inafanya promo za soko gani ''
kwanza unajua tecno inatengezwa kwa authority ipi??

Acheni kuwa washamba wa kuuziwa bidhaa kwa majina hata kama hazina viwango. For sure samsang na tecno kwenye hardware hazina tofauti kwa wale mafundi wa electronics wanao jua mainboard chip na kazi zake watakuwa wamenielewa vizuri samsung,lg,huawei,htc,sony Ericsson experia,'nexus,nokia,nk.

woote hardware machanism wanayotumia ni yaaina moja kasoro mfumo wa camera ndio wengine wame tumia carlzeiss techology ambapo wengine wametumia techologia za camera kama ,cmos na nmos na ccd sensors

Lakini kwa sehemu mifumo mingine yote ndani ya cm inafana kama tofauti mi michoro ya circuit tu kulingana na umbile la cm husika ,ambacho nimenote ni kwamba watanzania wengi t----------- na majina ya makampuni kongwe wakati bidhaa zipo chini ya kiwango.

mfano Simu nyingi za samsung wamechemka kwenye swala zima la power suply system ndio mana cm zao nyingi zinapata sana joto hasa pale zinapo fanya kazi ngumu kama 3g network and the like

Lakini tecno kwa hili naona wamejitahid si kwamba naipigia debe tecno hapana nina cm zote mbili hapa tecno na samsung na si kwangu tu hata kwa wenzangu wengi hilo lipo wazi na baadhi yenu hapa ni mashahidi wa hili
 
Ni Samsung galaxy ipi hiyo inayozidiwa kila kitu na L3?..............Acha kujidanganya mkuu

Tatizo lako umetawaliwa na na mfumo wa kizamani samsung ina mapungufu mengi ambayo tecno wamejaribu ku deal with. Ni kweli wewe ni mpenzi wa samsung labda kwa vile ni favorite brand yako na huenda ndiyo uliyo nayo lakini hilo haliwezi kuzuia tecno kuizid kiutendaji na huenda hujajarbu brand zingine

Umekuwa mtumwa wa samsung tu lakini wenzio wanaongea kwa facts na research ambayo wamejaribu kuifanya kwa kuzilinganisha hizo simu in tems of hardware mechanism and software pplications na wameweza kutoka na details zenye vigezo na ushahidi kutetea hoja zao ,

kuhusu swala la bei si hoja ya msingi kwani hata gari aina ya bughati inauzwa pesa nyingi sana lakini pamoja na pesa yote hiyo haiwezi kufikia uwezo wa tractor au scania 113 kiutendaji.
 
Mkuu acha kujifariji ujinga unless hujui unachoongea, hiki kimeo cha RAM 512?

Kuwa na 512mb of ram haitoshi kukiita kimeo kwani kuna brand kama sony,lg,samsung nk ambazo ni 256mb of ram je? Hiyo ni sababu ya kuviita vimeo mkuu? Na ukimeo wa kitu hatuuangalii kwenye size of ram and processor and the like hiyo ni specification tu kulingana na uwezo wakitu chenyewe na kama ndio huvyo basi nokia 3310 (jeneza) haikutakiwa kabisa kuwa sokono sababu ram yake inasoma in terms of kb,
 
chausikukitamu
Umenichekesha sana mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Aliyechezea akili ya mateja wa sumsung alikufa natumia sumsung galaxy s4 min pemben na tecno phantom F7A+ nilifanya hvyo kuondoa ugiza kichwani achen tecno wafanye kazi bonge la simu tecno.
 
Phantom F7 ni sh 400000, M 7 ni sh 270000 nakushauri nunua phantom ni nzur
 
Kuwa na 512mb of ram haitoshi kukiita kimeo kwani kuna brand kama sony,lg,samsung nk ambazo ni 256mb of ram je? Hiyo ni sababu ya kuviita vimeo mkuu?

Na ukimeo wa kitu hatuuangalii kwenye size of ram and processor and the like hiyo ni specification tu kulingana na uwezo wakitu chenyewe na kama ndio huvyo basi nokia 3310 (jeneza) haikutakiwa kabisa kuwa sokono sababu ram yake inasoma in terms of kb,

Sikujua kama Nokia 3310 ni smartphone,

Usirukie trani kwa mbele mkuu nilikua namjibu anayesema l3 ipo sawa kwa kila kitu na S4.
 
chausikukitamu

Unanifurahisha sana mkuu unaposema eti Tecno wamejaribu kudeal na mapungufu ya Samsung......................you must be kidding
Take my world mkuu Tecno does not exist kwenye ulimwengu wa smartphone za ukweli hata kama utaisifia kiasi gani au itakuwa inakupatia kile unataka

Mimi naomba nipe hizo FACTs za resarch yako kwamba Tecno is the best smartphone kuliko Samsung and the co Na ninatumani factor zako zitakuwa za kitaalamu na si za ki layman na mimi nitakupa zangu.
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa asee eti mtu anasema techno inaacha mbali simu zenye majina hahaaaaa! Techno unafananisha na SONY XPERIA Z unaakili kweli wewe!
 
Back
Top Bottom