Ubora na bei za tecno smartphones

Ubora na bei za tecno smartphones

natumia tecno q1 sioni haja ya Samsung galaxy kutokna na sababu hizi

1.siwezi kuafford bei ya hzo simu

2.mpaka leo sijaiona kasoro kweny katecno kangu
 
mchna ni mchna tu hata sku moja huwez kusema ni imara hata sku moja. Ni unafuu wa bei na mbwembwe za muonekano wa bidhaa za kchna tu vnawavutia weng wanachkua lakn hamna kila kitu hapo

Nyie semeni weeee, ila tecno ndo mpango mzima. Achana na hii kitu M3. Sijawahi juta..
 
Mu7

Nakuongezea M3. Hii kitu ndo mpango mzima. 170,000/= tu. Kilichopo kwenye galaxy zao, humu zimo pia.
 
Last edited by a moderator:
Alieleta mada labda hakueleweka au mchangiaji atakua anauza bidhaa hizo lakin ukweli sim hizo za techno hata kama ni nzuri vip hazina spare. Nimekwenda mpaka kwenye maduka yao hawana spare. mtu kanitumia sim yake tokea iringa matikeo yake nimepata aibu.

spare zipo sema hujui wapi zinapatikana we nenda mtaa wa aggrey kuna ofisi zao za dar es salaam nzima
 
Sio mtaa wa agrey pekee yake nimekwenda mpaka duka kubwa la mt uhuru wanakuelekeza kwa mafundi wakuchongesha vioo. Nichek kwenye pm sim yenyewe bado ninayo ntakutafuta unipeleke hapo unapofikiri pana hizo spare.

Usiwashawishi watu wakatumia vimeo wakashindwa kufanya kazi zao. Sim ni kitu kidogo sana lakin ni mujim kuliko unavyofikiri. Sim ikikorofisha ndio utajua umuhim wake maana hutakua na mod yakufanya chochote.
 
Mamb cm za tecno zotw ni imara na zot ni nzur ila phantom A+ ina application nying zaid na ina power bank ukitaj ntafute
 
Alieleta mada labda hakueleweka au mchangiaji atakua anauza bidhaa hizo lakin ukweli sim hizo za techno hata kama ni nzuri vip hazina spare. Nimekwenda mpaka kwenye maduka yao hawana spare. mtu kanitumia sim yake tokea iringa matikeo yake nimepata aibu.

sio kweli spare zipo,kuna ofisi zao pale mtaa wa msimbazi DSM,nenda watakusaidia
 
Alieleta mada labda hakueleweka au mchangiaji atakua anauza bidhaa hizo lakin ukweli sim hizo za techno hata kama ni nzuri vip hazina spare. Nimekwenda mpaka kwenye maduka yao hawana spare. mtu kanitumia sim yake tokea iringa matikeo yake nimepata aibu.

Mkuu nenda pale k/koo mtaa wa msimbazi stand ya mabasi ya ubungo utaona gorofa yenye bango kubwa la tecno. Ingia humo panda gorofa ya pili na ya tatu. Utapasa spare.
 
No ulonipa haipatikani ila nitakwenda monday mkuu nikaone kama kuna kitu kama hicho
 
Ni uduni wa hali zetu kiuchumi,hardware quality ya hizi still ni poor,nimezoea hizi simu zingine,nikitumia za kichina nahisi ngoma ya sikio inauma na joto sikioni......ni kama vile haya ma TV ya kichina,nikiangalia mara nyingi napata kero machoni...you just feel eyes ain't comfortable.

Zinakidhi haja ya kuwa na smartphone just Bcoz they use the same software..but hardware quality still mama huhu
 
Nyie semeni weeee, ila tecno ndo mpango mzima. Achana na hii kitu M3. Sijawahi juta..

Tecno ipo poa. Mi natua L3 lakini inaipiga bao kila kitu samsung galaxy kuanzia chg. Samsung kila saa natembea na chg lakini tecno mshallah..
 
Kama unataka kununua hizi cheap and low quality chinese smartphone basi bora uchukue Samsung Clone S4 ile ya 1:1
 
Back
Top Bottom