Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania: Uwezekano wa kupata Corona Dar ni mkubwa

Badala ya watu kuchukua tahadhari, wanajifananisha na Marekani> Ujinga ndiyo utakao tuua zaidi, wengi ya watu hapa ni psychotics wanao lazimisha uongo kuwa kweli na ukweli kuwa uongo, cha zaidi hawajui what is right what is wrong. Marekani ilidharau ugonjwa huu na kujifunza kwa vifo, UK na Brazil pia, ila wajinga huku kwetu hawawezi kujifunza hayo na psychotically wanafikiri wako salama na hawawezi kuipata na serikali yetu ipo sahihi. Time will tell. Cha upumbavu zaidi wanafikiri eti korona ikiisha Ulaya na MArekani itaisha kwetu automatically, hawajui maambukizi yapo ila ni slower than in other countries.
Mkuu umesahau kanuni ya binadamu wote ni sawa
ni kuwa wote huzaliwa bila nguo na wote hufa,Sasa kwenye janga hili la korona
hakuna mbabe,wamarekani inawaua na waafrika inawaua.
Hapa inashangaza mmojawapo anapotaka kujifanya kiranja wakati anapitia humo humo tunakopitia.
 
nyie endeleni kuficha ficha ugonjwa huo, sijui mnamficha nani nyambaf nyie, angalau wamarekani wamekuwa honest & open kila Covid case wanaitangaza
 
Italia, UK, France, Spain, US hata Russia wote wameshindwa na hata Iran kupambana na hili.
Ndo maana nasema magufuli anaona mbali,lakini kwa bahati mbaya ni wachache wanaomuelewa.
angalia alikopita wazungu wanakuja kupit mulemule.
 
nyie endeleni kuficha ficha ugonjwa huo, sijui mnamficha nani nyambaf nyie, angalau wamarekani wamekuwa honest & open kila Covid case wanaitangaza
Hapo ulipo jiulize,kwenye mtaa wako,kanisani/msikitini unakosali,kazini kwako,na kijini kwenu
wameishakufa watu wangapi kwa corona? ukipata jibu ndo utaelewa kama hali ni mbaya
au ni kawaida. Tulipokuwa tunapigana vita na idd amini wa uganda serikali ingetangaza kila mwanajeshi
anayekufa vitani tusingeshinda,ila kwa wastani mimi nilijiuliza,hapa kijijini kwetu tumepoteza ndugu wangapi?
Hata tulio hai leo hatujui kesho yetu hata corona isingekuwepo.
 
Unawaamini hao ubalozi wa USA? Mbona kwao wanakufa kama Kuku?
Sawa tu na hapa tofauti yetu na wao Ni kwamba wao wanasema ukweli na ndo maana umejua kuwa wanakufa Kama kuku wakati sisi tunapukutika Kama alivyosema Mr. Makonda lakini waliozoea vya kunyonga wameamua kukaa kimya ili mpukutike silencely.
 
Ubalozi wa marekani ni nchi ya marekani ndani ya Tanzania, hivyo kama nchi yao inafuata sheria ya lockdown.

Lazima nao wafuate na hili halina shida. Shida ingekuwa kama marekani ingewaita raia wake watoke Tanzania.

Au kufunga ubalozi ndo tungejadili.
Yaani waache Delta,waache United airlines,waache American Express waje wakodi Emirates? Unawajua waamerica wewe?
 
Baada ya wamarekani kukataa kuondoka Bongo, ubalozi umeamua kuja kivingine.
Sasa wana waambia wakae ndani na pia 'hakutatokea tena' kuwe na ndege ya kuwarudisha kwao.. Bongo kutamu nyie.
The only utamu wa bongo ni maisha rahisi wakati vipato vyao viko juu sana.So when they are here they make more pesa kuliko DC na NY
 
Hapo ulipo jiulize,kwenye mtaa wako,kanisani/msikitini unakosali,kazini kwako,na kijini kwenu
wameishakufa watu wangapi kwa corona? ukipata jibu ndo utaelewa kama hali ni mbaya
au ni kawaida. Tulipokuwa tunapigana vita na idd amini wa uganda serikali ingetangaza kila mwanajeshi
anayekufa vitani tusingeshinda,ila kwa wastani mimi nilijiuliza,hapa kijijini kwetu tumepoteza ndugu wangapi?
Hata tulio hai leo hatujui kesho yetu hata corona isingekuwepo.
Mkuu.hivi kwenye utetezi huu huwa mnaamanisha Nini?unamaanisha ili uamini kwamba watu wanakufa lazima msiba uwe nyumbani kwenu?it seems watu mmekuwa wajinga wa kiwango Cha juu sana
 
Waambie kwao ndiyo hatari zaidi kuliko Dar! Na wanakufa kama kuku wa kideri.
Lakini kila siku wanatoa takwimu na rais yupo ikulu anapiga kazi,sisi tupo salama kiasi Cha kupima mapapai na mafenesi ili kuwakeep busy wafanyakazi wetu wa maabara lakini rais ana work from home for two months now na kutaja corona Tanzania ni sawa na kugusa mboni ya jicho la mwana CCM
 
Mkuu.hivi kwenye utetezi huu huwa mnaamanisha Nini?unamaanisha ili uamini kwamba watu wanakufa lazima msiba uwe nyumbani kwenu?it seems watu mmekuwa wajinga wa kiwango Cha juu sana
Wewe mwerevu umeishapata dawa ya korona? Ni hasara kubwa kudhani unajua kitu,wakati hujui.
 
Huu uwongo peleka ufipa
Sawa tu na hapa tofauti yetu na wao Ni kwamba wao wanasema ukweli na ndo maana umejua kuwa wanakufa Kama kuku wakati sisi tunapukutika Kama alivyosema Mr. Makonda lakini waliozoea vya kunyonga wameamua kukaa kimya ili mpukutike silencely.
 
Unajua kwanini serikali haitangazi vifo na cases? Usishangae tukaipiku Marekani
Haitakuwa ajabu kwani kama kwa matajiri wanakufa vile kwetu lazima iwe zaidi. Na sera yao ya kutupunguza waafrika itakuwa imetekelezeka kwa mafanikio. Lakini lockdown haitasaidia kana tunavyofikiri.
 
Haitakuwa ajabu kwani kama kwa matajiri wanakufa vile kwetu lazima iwe zaidi. Na sera yao ya kutupunguza waafrika itakuwa imetekelezeka kwa mafanikio. Lakini lockdown haitasaidia kana tunavyofikiri.
Umefanya assessment na kujua Kama wasingeweka lockdown hali ingekuwaje? Au unaongea kwa muhemuko tu?
 
Haitakuwa ajabu kwani kama kwa matajiri wanakufa vile kwetu lazima iwe zaidi. Na sera yao ya kutupunguza waafrika itakuwa imetekelezeka kwa mafanikio. Lakini lockdown haitasaidia kana tunavyofikiri.
Mimi umri ungekuwa bado unaniruhusu ningehama Tanzania
 
Back
Top Bottom