Usishangae kenge huzaa kenge nguruwe huzaa nguruwe na hyo ndyo asiliWana mtia aibu aliyewachagua.
Magufuli kachagua watu wa ajabu sana
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Yeye mwenyewe aliyewateua ni waajabuWana mtia aibu aliyewachagua.
Magufuli kachagua watu wa ajabu sana
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Yeye mwenyewe wa ajabuWana mtia aibu aliyewachagua.
Magufuli kachagua watu wa ajabu sana
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Siku hii nchi ikiwa na viwanda mimi nifukiwe nikiwa hai(mzima mzima) hakuna sababu ya kusubiri kifo.
Hatunaga Jipya kwani tumeshaondolewa ufahamu hivi bila kuhudhuria utapata wapi mtu wa kumbadiliisha itikadi aliyinayo itikadi ni ushawishiMkuu wa Wilaya ya Njombe amegoma kushiriki shughuli za uzinduzi wa jezi ya timu ya mpira wa miguu ya Wilaya ya Njombe iliyofuzu kucheza Ligi Kuu ya VodaCom Tanzania Bara msimu wa 2017/2018, akidai bendera ya timu hiyo inafanana na ile ya CHADEMA.
View attachment 544650 View attachment 544651
Kwani aliyewateua mwenyewe yukoje? Mbona mimi naona wanareflect mteuzi wao. Anayoyasema na kuyatenda husikii na huyaoni? Anataka aongee yeye tu na chama chake tu wengine wote wakae kimya hadi 2020 vinginevyo ni saa 48Wana mtia aibu aliyewachagua.
Magufuli kachagua watu wa ajabu sana
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app