Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mkuu wa Wilaya ya Njombe amegoma kushiriki shughuli za uzinduzi wa jezi ya timu ya mpira wa miguu ya Wilaya ya Njombe iliyofuzu kucheza Ligi Kuu ya VodaCom Tanzania Bara msimu wa 2017/2018, akidai bendera ya timu hiyo inafanana na ile ya CHADEMA.