Ubabe hadi Canada? This time you're done

Ubabe hadi Canada? This time you're done

Umetoka kupiga kura au leo na wewe ratiba yenu ya ibaada itaisha saa 11 jioni?
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
 
Kati ya ujinga unaowaandama wanaoitwa wapinzani ni kuona kama fedha zinazolipwa au majanga yakitokea zinaathiri viongozi wakuu wa awamu ya tano. Enyi wajinga, waathirika wakubwa ni nyie! Na ugumu wa maisha unazidi kuangukia kwenu. Mkulima akilipwa ni fedha amabyo angalau ingenunua dawa ya malaria ya kumtibu ndugu yako au wewe mwenyewe. Unajionea janga mwenyewe? Halafu watu wa aina hii ndiyo wanasema wanataka uchaguzi uwe huru na haki ili waingie madarakani. Mtu mwenye akili finyu kama wewe akipewa madaraka nchi ataipeleka wapi kwa ubinafsi ulivyomjaa? Serikali ina haki zote kuhakikisha wabinafsi kama ninyi mnapotea kwenye uhai wa siasa za nchi.
Utawatambua kwa lugha wanazotumia
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Mkuu kwanini hili deni limetung'ang'ania?
 
Wizard of Oz
girls-wizard-of-oz-dorothy-costume_13792342.jpeg
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
P mambo mengine usiwe unatext awamu hii umekuwa mtu hovyo hovyo umejipunguzia credibility yako kwa kiwango kikubwa sijui nini kimekupata usijidhalilishe hivyo wewe ni binadam unaweza ukawa kama hao unaolamba soli zao sasa

Umeanza vizuri dawa ya deni ni kulipa then unatuambia tuwe kitu kimoja how?
Tuwe kitu kimoja tulipe deni au tuendelee kugoma kulipa vya watu ?

Ungewashauri hao unaolamba soli zao walipe deni au wakabatilishe ile hukumu iliyompa uyo mkulima haki yake

Brother usiwe mdanananda unaheshima yako kwenye hii jamii
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Sasa kwanin msikae na mkaburu mkamalizana kuliko kuweka jeur
 
All men are not alike, wewe you are lucky to have such a father, many of us are not lucky, we were never consulted kitu chochote kinaponunuliwa home.

Sasa na mimi ni baba kwenye familia yangu I have consulted my kids kwenye manunuzi ya mahitaji ya nyumbani au ununuzi wa vifaa vya nyumbani. The only one I can consult ni wife tena on baadhi tuu ya vitu, vitu vingine ni mimi tuu huamua mwenyewe according to the purchasing power at that particular time.

P
Understood
 
Pascal Mayalla,
My brother pascall, we were not happy coz of our plane being detained in south africa, no no no, we were happy coz this awamu ya tano thinks that they are clever than even God himself, if you see a president who kills, orders 37 bullets to be pumped into an opposition mp, orders the military to buy korosho yet korosho is nowhere near things like rockets, sumarines or fighter jets,a president who denies people right to express themselves, what else do you expect from the majority of those who such a dictator president is opressing??? i can tell you pascal my brother for free, lots of us will be more than happy if God sends this person(you know who i am talking abaut) to hell fire where he RIGHTFULLY BELONGS, nice weekend bro
Oder fanta. I will pay for
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Mpaka sasa nilicho na uhakika nacho kuhusu wewe,“UNAONGEA USICHOKIAMINI PASCAL”. Hujui dhambi uliyonayo ni kubwa kuliko ya wazi Pascal,“KWA SABABU KWANZA UMEUSARITI MOYO WAKO KWA KUTENDA KILE USICHOKIAMINI, “PILI UMEWASARITI HAWA MASIKINI WALIO WENGI WA NCHI HII,UMEWAACHA WAJIAHANGAIKIE WENYEWE PASCAL,UMEWAACHIA MAUMIVU,JAPO WAO MAUMIVU ULIYOWAACHIA WEWE HAWAYAONI KWA UWAZI,ILA WEWE UNAYAONA,KSBB UNAJUA,ksbb tu ya kitu unachokijua wewe. Haya maneno yataishi moyoni mwako Pascal. Utakuwa ni msumali wa moto kwako kila wakati uyakumbukapo. Japo kwa sasa moyoni unaweza kusema potelea kokote
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Paskali...
Uzalendo si kutetea uonevu kisa unafanywa na unayempenda au unayejipendekeza kwake.... Kifupi tunadaiwa.. TULIPE...
Kwanza tunadanganywa kuwa kule SA ile kesi tulishinda.. kumbe ni technical mistake iliyofanywa na mkulima... THIS TIME TUNALO WALLAH...
Pili anayetudai tumemtimua nchini... NA AKATUANDIKIA MIBARUA KADHAA KUKUMBUSHIA... LAKINI WAPIII.... Sikio la kufa...
Tatu tunataka kuiaminisha dunia tuwa tumeonewa..!! Kama ulivyosema, dawa ya deni ni kulipa tu... deni halijawahi kuwa na dawa nyingine....
Tutarukaruka kwa maneno na matendo, TULIPE YAISHE.... KWANI AWAMU ZILIZOPITA SI WALIKUWA WANALIPA..!!??? Nini kinafanya awamu hii tusilipe..?? Au tumemaliza deni??

MBIO ZA SAKAFUNI HUISHIA UKINGONI
 
Back
Top Bottom