Ubabe hadi Canada? This time you're done

Ubabe hadi Canada? This time you're done

Naibu waziri mmoja alinitamkia kuwa mzee baba huwa ana kuwatukana Wengi wanatamani kumuachia kazi zake wabaki wabunge tuu lakini wanaogopa visasi vyake ukimuaibisha. Anaweza kukupoteza
Be careful usimponze Max kuulizwa Chakaza ni nani, ili uulizwe huyo Naibu Waziri ni nani anayethubutu kutoa siri kuwa fulani ndiye hupoteza watu!, hivyo wapo tuu kwa kuogopa kupotezwa!.

Mimi naamini Mkuu Chakaza wewe utakuwa ni muongo. Hakuna kitu kama hicho
P
 
You cry for freedom of expression while you're freely expressing your opinions,feelings and emotions.What an irony!
Pascal Mayalla,
My brother pascall, we were not happy coz of our plane being detained in south africa, no no no, we were happy coz this awamu ya tano thinks that they are clever than even God himself, if you see a president who kills, orders 37 bullets to be pumped into an opposition mp, orders the military to buy korosho yet korosho is nowhere near things like rockets, sumarines or fighter jets,a president who denies people right to express themselves, what else do you expect from the majority of those who such a dictator president is opressing??? i can tell you pascal my brother for free, lots of us will be more than happy if God sends this person(you know who i am talking abaut) to hell fire where he RIGHTFULLY BELONGS, nice weekend bro
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Bila shaka kama Taifa kuna sehemu tumekosea,Lazima kuna Kundi la watu ndilo linatengeneza hali hii ya Matabaka katika Taifa.Mbona zamani tulikuwa tunaongea lugha moja? Viongozi wetu walikuwa wanahimiza Umoja wa kitaifa,hili Leo hii linafanyika?Mimi huwa najiuliza Leo akiingia adui ndani ya Taifa letu hakuna watu watawaonyesha njia za kupita? Hali hii Leo tunaiona kama utani lakini kesho itatuumiza sana.Maendeleo bila kujenga umoja wa kitaifa Matokeo Yake ndo haya ya wengine kufurahia tunapopatwa na matatizo.UKWELI UTATUWEKA HURU.
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Uzalendo maana yake ni nini? Kupindisha sheria
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Unataka kutwambia nyinyi.waandishi.wa.habari.mukiandamana kudai haki.zenu tuwe upande wa Serikali kutii UZALENDO?
 
Uzalendo maana yake ni nini? Kupindisha sheria
Ni kuipenda nchi yako kwa dhati ya moyo wako, hivyo kutanguliza mbele maslahi ya taifa kuliko hata maslahi binafsi.

Kama ilivyo katika ngazi ya familia, Baba wa familia akifanya kosa akatiwa ndani, huwezi kufurahia hata kama ni kweli baba yako ni mkosaji.

Hivyo kwenye hili la ndege, japo ni kweli tunadaiwa, lakini Mtanzania Mzalendo wa kweli wa taifa lake hawezi kufurahia, kushangilia, kubeza na kukejeli ndege ya taifa lake inapokamatwa, hili ni janga la kitaifa.
Huu ni uzalendo wa ajabu


P
 
Be careful usimponze Max kuulizwa Chakaza ni nani, ili uulizwe huyo Naibu Waziri ni nani anayethubutu kutoa siri kuwa fulani ndiye hupoteza watu!, hivyo wapo tuu kwa kuogopa kupotezwa!.

Mimi naamini Mkuu Chakaza wewe utakuwa ni muongo. Hakuna kitu kama hicho
P
Hakika!

Mimi naamini mkuu Chakaza Pale ameongopa tu. Hajaongea na naibu waziri yoyote yule
 
Ndugu P.Mayalla ,anza kuonyesha uzalendo wako kwa kutoa mchango ili tuinasue ndege yetu,acha maneno dawa ya deni ni kulipa unachangia sh.ngapi?
 
Kama vipi....Mkulima aachiwe hiyo Ndege then tuhamie Brazil au hata Urusi na China kununua Ndege....

Hata Kama Sheria inaruhusu Ni makosa makubwa Sana kuingilia Mambo ya ndani ya nchi ...... Makosa makubwa Sana......

Deni la Mkulima Ni letu ..... Mcanada anahusika vipi hapo?????
 
Wametumia ground ipi ya kisheria kuikamata Ndege yetu.
Mwezi uliopita Zitto Kabwe alikuwa Africa kusini alipitia Burundi kwenda kushawishi ndege yetu Watanzania ikamatwe eti awe na Nguvu kisiasa kwa Kushirikiana na akina Marem.
Ameshindwa mchezo wa kuisaidia nchi yake ya BRD kwa kutaka Kigoma iwe dhaifu kuliko kwao. Endelea Zitto na Genge lako
NM, kwanini tunakimbilia kuwasema Hawa watu akina ZK , pasipo kuangalia mzizi wa tatizo ulipo?
 
Hao wasomi wangekuwa wanatoa taarifa sahihi wananchi watambue ukweli waweze kuutetea hata kwenye fikra zao ambazo zitawajengea uzalendo nawaza tuu
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
 
Pascal Mayalla,acha polojo,onyesha uzalendo wako kwa kuchaingi pesa ili ndege yetu tuikomboe,dawa ya deni ni kulipa,unachangia shilingi ngapi ndugu Mayalla.
 
Pascal Mayalla,acha polojo onyesha uzalendo2 wako kwa kuchangia pesa ili ndege yetu tuikomboe,dawa ya deni ni kulipa,ndugu Mayalla unachangia shilingi ngapi?
 
Pascal Mayalla,acha polojo,onyesha uzalendo wako kwa kuchaingi pesa ili ndege yetu tuikomboe,dawa ya deni ni kulipa,unachangia shilingi ngapi ndugu Mayalla.
Mkuu umekuja na hoja nzuri tuu ,

Na Mimi nakazia,

Kwanini WAZALENDO nchini wasiungane kuchanga pesa kwa ajiri ya kuikomboa ndege hii,

WAZALENDO wachange pesa , kunusuru ndege zetu kuendelea kukamatwa na kuzorotesha maendeleo ya shirika letu pendwa la ndege lijulikanalo Kama ATCL,

WAZALENDO tuungane katika kulipa hili Deni...

Kuna Raha ya kutembea mtaani ukiwa hudaiwi . Lakini pale unapo daiwa hata baadhi ya vijiwe hukatizi.

Tunapaswa kulipa hili Deni na siyo kurukaruka ...
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Huna lolote

Deni lilipwe
 
Of course. Tena OF COURSE in a capital letter.

My father alipotaka kununua freezer lake jipya alinishauri haswa.

So disappointed of you!
All men are not alike, wewe you are lucky to have such a father, many of us are not lucky, we were never consulted kitu chochote kinaponunuliwa home.

Sasa na mimi ni baba kwenye familia yangu I have consulted my kids kwenye manunuzi ya mahitaji ya nyumbani au ununuzi wa vifaa vya nyumbani. The only one I can consult ni wife tena on baadhi tuu ya vitu, vitu vingine ni mimi tuu huamua mwenyewe according to the purchasing power at that particular time.

P
 
Pascal Mayalla,
My brother pascall, we were not happy coz of our plane being detained in south africa, no no no, we were happy coz this awamu ya tano thinks that they are clever than even God himself, if you see a president who kills, orders 37 bullets to be pumped into an opposition mp, orders the military to buy korosho yet korosho is nowhere near things like rockets, sumarines or fighter jets,a president who denies people right to express themselves, what else do you expect from the majority of those who such a dictator president is opressing??? i can tell you pascal my brother for free, lots of us will be more than happy if God sends this person(you know who i am talking abaut) to hell fire where he RIGHTFULLY BELONGS, nice weekend bro
Shida ni taifa lina wajinga wengi sana
 
Back
Top Bottom