Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,155
- 128,815
Be careful usimponze Max kuulizwa Chakaza ni nani, ili uulizwe huyo Naibu Waziri ni nani anayethubutu kutoa siri kuwa fulani ndiye hupoteza watu!, hivyo wapo tuu kwa kuogopa kupotezwa!.Naibu waziri mmoja alinitamkia kuwa mzee baba huwa ana kuwatukana Wengi wanatamani kumuachia kazi zake wabaki wabunge tuu lakini wanaogopa visasi vyake ukimuaibisha. Anaweza kukupoteza
Mimi naamini Mkuu Chakaza wewe utakuwa ni muongo. Hakuna kitu kama hicho
P