Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,371
- 45,968
Wanaukumbi.
HAWA NI WENDAWAZIMU KABISA
Yaani tunapokuwa tunasema CHADEMA ni kikundi cha watu wajinga sana muwe mnaelewa..
1. Wanakataa kutambua matoke ya uchaguzi ambao hawakushiriki na waligomea uchaguzi na walisema uchaguzi hautafanyika
2. Wanataka kuwe na serikali ya mpito iongozwe na mashirika ya kimataifa. Yaani wazungu waje waongoze serikali ya mpito ndani ya Tanzania?
3. Yaani wanataka AU au SADC waje waunde serikali ya mpito kuongoza Tanzania?
Hivi hawa watu wana akili au ni wajinga tu wa asili na ujinga ni kitu cha maana sana kwenye utambulisho wao kama chama cha siasa. Inawezekana tunahangaika sana kuwaelewa kwa ujinga wanaofanya na hatuelewi kuwa ujinga ni moja ya sifa ya chama chao na lazima uwe mjinga ili uwe kiongozi ndani ya hiki chama..
CHADEMA waligomea uchaguzi na waliapa kuwa hakuna uchaguzi utafanyika mwaka huu na hakuna mtu atapiga kura. Uchaguzi umefanyika na viongozi wamechaguliwa wakati wao walisusa na walidhani kuwa bila wao uchaguzi hautafanyika. Sasa wanahangaika nini? Yaani wanataka nini haswa? walisema hawatashiriki uchaguzi mpaka katiba ibadilishwe sasa si wangoje ibadilishwe hiyo katiba au?
Watanzania ni muda sasa wana kuanza kutafakari kwa kina aina ya watu kama hawa wanaotaka kuiuza hii nchi kwa mabeberu maana kwa vyovyote vile haya ni maelekezo ya mabwana zao wale waliopitisha maazimio kule bunge la ulaya..Yaani nchi iongozwe na serikali ya mpita ya wazungu? Hivi nyie watu mna akili kweli?
Mlisema mnaandamana na kupindua serikali mmefeli na mmekwama mkaishi kusema eti mmekwamisha shughuli za kiuchumi.. Kwani tarehe 9 Dec ni siku ya kazi? Haya mmekwama hilo mkaanza blah blah za maandamanao yasiyo na kikomo! Vipi yamefikia wapi maandamano yasiyo na kikomo? Sasa hivi mnaanza blah blah za oooh serikali ya mpito..
HAMNAGA AKILI KABISA NYIE WATU
HAWA NI WENDAWAZIMU KABISA
Yaani tunapokuwa tunasema CHADEMA ni kikundi cha watu wajinga sana muwe mnaelewa..
1. Wanakataa kutambua matoke ya uchaguzi ambao hawakushiriki na waligomea uchaguzi na walisema uchaguzi hautafanyika
2. Wanataka kuwe na serikali ya mpito iongozwe na mashirika ya kimataifa. Yaani wazungu waje waongoze serikali ya mpito ndani ya Tanzania?
3. Yaani wanataka AU au SADC waje waunde serikali ya mpito kuongoza Tanzania?
Hivi hawa watu wana akili au ni wajinga tu wa asili na ujinga ni kitu cha maana sana kwenye utambulisho wao kama chama cha siasa. Inawezekana tunahangaika sana kuwaelewa kwa ujinga wanaofanya na hatuelewi kuwa ujinga ni moja ya sifa ya chama chao na lazima uwe mjinga ili uwe kiongozi ndani ya hiki chama..
CHADEMA waligomea uchaguzi na waliapa kuwa hakuna uchaguzi utafanyika mwaka huu na hakuna mtu atapiga kura. Uchaguzi umefanyika na viongozi wamechaguliwa wakati wao walisusa na walidhani kuwa bila wao uchaguzi hautafanyika. Sasa wanahangaika nini? Yaani wanataka nini haswa? walisema hawatashiriki uchaguzi mpaka katiba ibadilishwe sasa si wangoje ibadilishwe hiyo katiba au?
Watanzania ni muda sasa wana kuanza kutafakari kwa kina aina ya watu kama hawa wanaotaka kuiuza hii nchi kwa mabeberu maana kwa vyovyote vile haya ni maelekezo ya mabwana zao wale waliopitisha maazimio kule bunge la ulaya..Yaani nchi iongozwe na serikali ya mpita ya wazungu? Hivi nyie watu mna akili kweli?
Mlisema mnaandamana na kupindua serikali mmefeli na mmekwama mkaishi kusema eti mmekwamisha shughuli za kiuchumi.. Kwani tarehe 9 Dec ni siku ya kazi? Haya mmekwama hilo mkaanza blah blah za maandamanao yasiyo na kikomo! Vipi yamefikia wapi maandamano yasiyo na kikomo? Sasa hivi mnaanza blah blah za oooh serikali ya mpito..
HAMNAGA AKILI KABISA NYIE WATU