Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,341
Pascal Mayalla,
P. moral support lazima iwe na msingi, kama ulivyosema dawa ni kulipa na uzalendo wetu ni kuishauri serikali ilipe. Hili janga ni la kujitakia-hata humu ndani watu wangekuwa na uwezo hii serikali ingepelekwa mahakamani kwa mengi tu. Stahiki za watu zinakaliwa unaambiwa heti ufunge mkanda-hapo hapo anatokea mtu anakuambia hela ipo na tunanunua kwa keshi.
Halafu hawa jamaa wanajisifu kuwa ni wakali hata kwa mabalozi wakisahau kuna lugha ya kidiplomasia, kuna siku watabeep pabaya, tusije kutafutana. Naipenda nchi yangu lakini nafikiri ukweli lazima usemwe.
P. moral support lazima iwe na msingi, kama ulivyosema dawa ni kulipa na uzalendo wetu ni kuishauri serikali ilipe. Hili janga ni la kujitakia-hata humu ndani watu wangekuwa na uwezo hii serikali ingepelekwa mahakamani kwa mengi tu. Stahiki za watu zinakaliwa unaambiwa heti ufunge mkanda-hapo hapo anatokea mtu anakuambia hela ipo na tunanunua kwa keshi.
Halafu hawa jamaa wanajisifu kuwa ni wakali hata kwa mabalozi wakisahau kuna lugha ya kidiplomasia, kuna siku watabeep pabaya, tusije kutafutana. Naipenda nchi yangu lakini nafikiri ukweli lazima usemwe.