Ubabe hadi Canada? This time you're done

Ubabe hadi Canada? This time you're done

Ndege yenu na nani? Mkuu mali yako ni ile unayo imilik hizi zingine si zako. Tunakuwaje wanoja wakati Kuna Kiongozi mkuu na Muasisi wa utengano? Anza kumshauri Magufuri kwanza a treat watu wote sawa
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
 
Ndo hapo na shangaa eti ngege zetu. Hahaa hizo ni zao mimi mali yangu ni ninacho milik hizo ni zao wao watajuana huko wao wenyewe
Pascal Mayalla,
Huwa nasikia waswahili wanasema, adui yako muombee njaa, nadhani wanaofurahia ni wale wanaye muombea Rais Magufuli njaa.

Ndege ni zao au zetu? Huwa naona kila zikija wanachama wa ccm ndio hualikwa, nahisi hawa ni zao, sasa wale wanaokosa mualiko nadhani ndio hufurahia.

Haya mambo ya jinsi gani watu wanapokea nadhani yako binafsi sana, hata wanaofurahia au kushangilia mtanange huu hawabadili chochote, the fact kwamba tunadaiwa.

Nadhani wangelipa tu ili kuondokana na fedheha hii.
 
Unaijua Trade war wewe? Yaani Canada au nani afanye trade War na Tanzania? Kuna kitu gani cha upekee? Sisi tuna utishio gani kwenye Biashara? Acheni ujinga eti mbona mnawaza kitoto sana?
Hili la kukamatwa ndege zetu mara kwa mara, wengi wetu hata wale tunaoamini ndio maguru wetu, wanalichukulia kisiasa sana badala ya kuangalia kwa upana zaidi, hasa kibiashara.

Binafsi naliona upo uwezekano kuwa ni vita ya biashara "trade war" dhidi ya hili shirika (la Rais, siyo letu) changa linalotaka kuanza biashara kimataifa.

Shirika hili linaloendeshwa kisiasa (siyo kibiashara) kwa kutumia kodi za wanyonge, bila ukaguzi wa matumizi na mapato, automatically linapata kile wanaita "undue advantage" dhidi ya washindani ambao mashirika yao yanakaguliwa kila baada ya miezi mitatu kuyapima uhai.

Kwa kutumia madhaifu yetu (au ya Rais wetu), washindani wamebuni mpango mkakati wa kuhakilisha shirika linaanza kwa taswira kuwa hampo serious na biashara, na wala hamuwezi kuwa reliable partners kwenye biashara.

Madhara yake tuliyaona from day one.

Mfano, badala ya wauzaji wa ndege kuingia makubaliano na sisi ya mikopo nafuu na ya muda mrefu kama wanavyoingia na makampuni mengine, wao wakataka wapewe chao kabisa. Ili mtakapoangukia pua msije mkaanza kusumbuana mahakamani.

Madhara mengine ambayo ni wazi tutayalipia kwa gharama kubwa ni uwezo wetu kuaminika na wateja wa huko nje tunakoamini kuwa tutawafata watalii. Huko sina uhakika kama kuna "mtalii" atakayekubali kupanda ndege ambayo inaweza kupigwa stop wakati wowote. Hii ni sawa na kumshawishi abiria apande basi ambalo anaamini kuwa linaweza kumlaza njiani wakati wowote.

Kwa mwendo huu, sina uhakika kama kodi za wanyonge bado zitatosha kulipia hasara zote hizo kwa ufahari tu wa kuwa angani. Sina uhakika kama wakija wenye akili kuongoza siku za mbeleni kuwa wataendelea kuunguza pesa za wanyonge ili tuwe angani basi.

Nihitimishe
 
kwa bahati mbaya mno, wapinzani hapa nchini bado hawajatambua majukumu yao kama vyama vya upinzani, sasa ukiwa na watu wa aina hii ambao bado hawajajitambua ni hatari.
 
Ndege yenu na wazazi wako? Hahaaa eti ndege yenu. Ndo unavyo wadanganya watoto wako kwamba ni ndege yao?
Wametumia ground ipi ya kisheria kuikamata Ndege yetu.
Mwezi uliopita Zitto Kabwe alikuwa Africa kusini alipitia Burundi kwenda kushawishi ndege yetu Watanzania ikamatwe eti awe na Nguvu kisiasa kwa Kushirikiana na akina Marem.
Ameshindwa mchezo wa kuisaidia nchi yake ya BRD kwa kutaka Kigoma iwe dhaifu kuliko kwao. Endelea Zitto na Genge lako
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Kwani mulipo nunua hiyo ndege mulitushauri
 
Nasisitiza tuu! Humu wote sio Wa Tanzania siku hizi hata majirani zetu nao wanazungumza kiswahili fasaha kabisa.
 
Kila mkiambiwa ukweli mnakimbilia upinzani mnashindwa kupanua bongo zenu mtatue tatizo
Sio kila awaelezae ukweli ni mpinzani

Hiyo stroke ya ubongo mliyopata itawamaliza mnajiona
kwa bahati mbaya mno, wapinzani hapa nchini bado hawajatambua majukumu yao kama vyama vya upinzani, sasa ukiwa na watu wa aina hii ambao bado hawajajitambua ni hatari.
 
Pascal Mayalla,
Huwa nasikia waswahili wanasema, adui yako muombee njaa, nadhani wanaofurahia ni wale wanaye muombea Rais Magufuli njaa.

Ndege ni zao au zetu? Huwa naona kila zikija wanachama wa ccm ndio hualikwa, nahisi hawa ni zao, sasa wale wanaokosa mualiko nadhani ndio hufurahia.

Haya mambo ya jinsi gani watu wanapokea nadhani yako binafsi sana, hata wanaofurahia au kushangilia mtanange huu hawabadili chochote, the fact kwamba tunadaiwa.

Nadhani wangelipa tu ili kuondokana na fedheha hii.
Ni vitu wanavitengeneza wenyewe, shughuli ni ya kitaifa vijembe vya nini kwa upinzani? Ref: Makonda siku ya mapokezi ndege ya mwisho
 
Tatizo ccm wanawachukulia wasio maccm kama viumbe kutoka sayari ingine vilivyotumwa na Mungu kuja kukomesha utawala wao dhalimu hapa duniani,kwa hiyo ccm inatumia silaha zote ilizo nazo kupambana na watanzania,ikiwaua na kuwajeruhi wengine,halafu inataka wahanga wa dhuluma zao wasimame upande wao,never.
kwa bahati mbaya mno, wapinzani hapa nchini bado hawajatambua majukumu yao kama vyama vya upinzani, sasa ukiwa na watu wa aina hii ambao bado hawajajitambua ni hatari.
 
Pasco Uneshindwa kusema chochote japo kumuunga Mkono Rais lkwa Ndege kukamatwa Hata pole jamani!
Pole kwa Rais wa JMT kwa ndege yake kukamatwa.
Pole kwa Waziri Kabudi kwa TZ kusalitowa.
Pole kwa Waziri Mahiga kwa mateso kutuma vijana Canada
Pole kwa serikali yetu yote kwasababu ndege ni ya serikali.
Pole kwa CCM, kwasababu serikali ni ya CCM.
Pole kwa wanasheria watakaoteseka.
Pole kwa ATC ndege yao kukamatwa hivyo kuchelewesha kupiga pesa.
Pole kwa sisi Watanzania wote kwa ndege yetu kukamatwa na kututia hasara ambayo ni sisi tutaifidia.
Ndege ni rais Magufuli kwasababu ndiye aliyeamua kuinunua kwa cash money.
Ndege ni ya serikali kwasababu inamilikiwa na serikali 100%.
Ndege ni ya ATCL kwasababu ATCL ndio wanaitumia.
Ndege ni ya Sisi Watanzania wote kwasababu fedha zilizonunulia ni fedha zetu, na sisi ndio tunaoipanda.

Pole hata hawa Watanzania wenzetu wanaofurahia na kushangilia ndege yetu kukamatwa nao pia wataifidia hii hasara maana ndege pia ni yao bila kujijua.
Pole wote.
P
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Hatuwezi kushirikiana na serikali katika dhuluma. Kwa nini ufurahie kudhulumiwa mkulima (eti kwa vile mzungu) halafu upinge kudhulumiwa Chadema, ACT au mwandishi wa habari?
Huo ni unafiki wa kiwango cha juu na afanyaye hivyo hana tofauti na ndezi.
Kila siku Kabudi akisimama ni UONGO kwenda mbele na jinsi anavyo toa jicho na kupayuka kwa sauti basi anaaminika.
Tumechoka na hizi aibu!
 
Pascal Mayalla,
My brother pascall, we were not happy coz of our plane being detained in south africa, no no no, we were happy coz this awamu ya tano thinks that they are clever than even God himself, if you see a president who kills, orders 37 bullets to be pumped into an opposition mp, orders the military to buy korosho yet korosho is nowhere near things like rockets, sumarines or fighter jets,a president who denies people right to express themselves, what else do you expect from the majority of those who such a dictator president is opressing??? i can tell you pascal my brother for free, lots of us will be more than happy if God sends this person(you know who i am talking abaut) to hell fire where he RIGHTFULLY BELONGS, nice weekend bro
Nimenusa hii post ni matata sana! Unaonaje ukii translate kwa kimatumbi ili na sisi wa kata tupate huu ujumbe murua!
 
Baba unaponunua vitu vya nyumbani, huwa unashauriana na watoto wako nyumbani?.
P
Aina ya uandishi wako ni ya kimafumbo na yenye kuvhochea fikra. Lakini lazima mtu asome between the lines ndio atafaidika na post zako

Unaweza kuonekana kama umemsifia mtu kumbe wenye kung'amua mambo wakajua umemdharau, umemponda na umemtukana, au kinyume chake unapomponda mtu kumbe umeonyesha nguvu yake🤣🤣🤣, kwa namna hii unajihakikishia usalama wako huku ukiwa umefikisha ujumbe hasa kwa wenye akili
 
Wametumia ground ipi ya kisheria kuikamata Ndege yetu.
Mwezi uliopita Zitto Kabwe alikuwa Africa kusini alipitia Burundi kwenda kushawishi ndege yetu Watanzania ikamatwe eti awe na Nguvu kisiasa kwa Kushirikiana na akina Marem.
Ameshindwa mchezo wa kuisaidia nchi yake ya BRD kwa kutaka Kigoma iwe dhaifu kuliko kwao. Endelea Zitto na Genge lako
Thinking yako kama mende
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Labda janga kwako na familia yako. To me it doesn’t make any difference. Ikamatwe isikamatwe i don’t care.
What’s makes me happy ni kuona Jiwe na wapambe wake wanavyozidi kuumbuka kwa tabia yao ya ubabe kwa kishamba
 
Back
Top Bottom