Uarabuni hamna demokrasia, hamna umaskini

Uarabuni hamna demokrasia, hamna umaskini

Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.
Nenda kaishi kule uone kama unayosema ni kweli na yanaingia maanani. Kama ni mswahili utabaguliwa hadi uchukie hata dini yao. Waarabu si watu bali binadamu aka wanyama wenye dhambi kama madini yao yanavyobainisha. Kuna makafiri wengi huko kuliko nyinyi.
 
Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.
Wewe hukuishi huko.wale ni matajiri wa mafuta na gesi.mimi naishi kule hadi sasa.aliyekwambia hamna demokrasia nani huyo?demokrasia yao ni kuhakikisha kila mzawa anaishi maisha bora.kwa wazawa kila kitu bure.mikopo ya nyumba,kazi kibao,matibabu bure,elimu bure n.k.wazawa wanashiba mpaka kufuru.hilo peke yake ni demokrasia.kwani hata hapa kwetu watu wangeshiba kila siku kungekuwa na kelele au uchaguzi?
 
Wewe hukuishi huko.wale ni matajiri wa mafuta na gesi.mimi naishi kule hadi sasa.aliyekwambia hamna demokrasia nani huyo?demokrasia yao ni kuhakikisha kila mzawa anaishi maisha bora.kwa wazawa kila kitu bure.mikopo ya nyumba,kazi kibao,matibabu bure,elimu bure n.k.wazawa wanashiba mpaka kufuru.hilo peke yake ni demokrasia.kwani hata hapa kwetu watu wangeshiba kila siku kungekuwa na kelele au uchaguzi?
Ndo maana nikasema sisi Njaa (kukosa shibe) ndo ishu kubwa kuliko vyama, kampeni+kupanga mistari kupiga kura.
 
Keki ya Taifa inatafunwa na kundi la wahuni wachache wenye uroho wa hali ya juu.
Mkuu BAK kwanza POLE na msiba wa kitaifa vipi je mama SAMIA anaweza kuwa mfuta machozi yetu na kuharibu fofotu aliokuwa anaitumia HAYATI JPM?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ngoja tumuangalie Mkuu at least kwa miezi sita.
Mkuu BAK kwanza POLE na msiba wa kitaifa vipi je mama SAMIA anaweza kuwa mfuta machozi yetu na kuharibu fofotu aliokuwa anaitumia HAYATI JPM?
 
Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.
Kuna utajiri wa kumwaga, hivyo licha ya walio madarakani kuiba wanavyotaka, bado zipo za kuwahudumia wasio madarakani pia.
 
Wewe hukuishi huko.wale ni matajiri wa mafuta na gesi.mimi naishi kule hadi sasa.aliyekwambia hamna demokrasia nani huyo?demokrasia yao ni kuhakikisha kila mzawa anaishi maisha bora.kwa wazawa kila kitu bure.mikopo ya nyumba,kazi kibao,matibabu bure,elimu bure n.k.wazawa wanashiba mpaka kufuru.hilo peke yake ni demokrasia.kwani hata hapa kwetu watu wangeshiba kila siku kungekuwa na kelele au uchaguzi?
Unasema kweli ?
 
UAE (Abu Dhabi, Dubai na Sharja), Bahrain, Oman, Saudi Arabia, Qatar, Kuwait kote huko wanalalia mihela ya Mafuta sisi huku Kisiju tunagombania kobazi
 
Mimi ukisema MTANZANIA mmoja akioza wote wameoza tunapigana mpaka kiama.. nahakikisha nakudunda vizuri tu
 
Back
Top Bottom