Uarabuni hamna demokrasia, hamna umaskini

Uarabuni hamna demokrasia, hamna umaskini

Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.

View attachment 2168208

View attachment 2168209
Hakuna mahali pasipo na demokrasia, tatizo watu wanataka kuwawekea wengine aina zao za demokrasia.
 
NI kweli hizo nchi hazina Demokrasia, Ila pia unatkaiwa utambue kuwa ndani ya hizo nchi hakuna Uonevu, Ubaguzi kwa raia zaidi ya viongozi kuwapenda na kuwajali raia wake.

Nyinyi CCM hamutaki Demokrasia wakati huo huo Munaleta Uonevu, Ubaguzi, Viburi na zaidi ya yote kuzidi kuizamisha nchi kwenye umaskini kwa kadri ya siku zinavyokwenda.
 
Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.

View attachment 2168208

View attachment 2168209
Nafikiri Wana utajiri mwingi sana, kiasi kwamba, hata wenye mamlaka wakiiba, bado kunabaki kiasi kingi cha kuwapa wasio na mamlaka
 
Watanzania tuna Njaa (full stop). Tutafute pesa hayo mademokrasia labda 2300 hukoo
 
Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.

View attachment 2168208

View attachment 2168209
Hiyo nayo ni demokrasia
Demokrasia siyo kuwa na vyama vya siasa vingi
Kama wananchi wanakubaliana jinsi viongozi wanavyopatikana, hiyo demokrasia
 
Huko wanafata sharia. Wananchi wao wanapata basic needs, Hakuna ufisadi kodi zao zipo salama.
Uislamu bado ni mfumo bora tena wa haki wa kuongozea jamii.
Mfumo huu unapotumika unafukuza umasikini.
 
NI kweli hizo nchi hazina Demokrasia, Ila pia unatkaiwa utambue kuwa ndani ya hizo nchi hakuna Uonevu, Ubaguzi kwa raia zaidi ya viongozi kuwapenda na kuwajali raia wake.

Nyinyi CCM hamutaki Demokrasia wakati huo huo Munaleta Uonevu, Ubaguzi, Viburi na zaidi ya yote kuzidi kuizamisha nchi kwenye umaskini kwa kadri ya siku zinavyokwenda.
Sasa mbona waliandamana dhidi ya serikali na watu wengi kuuawa sana?

Tunisia, Algeria, Libya, Misri, Yemen, Syria, Sudan n.k
 
Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.

View attachment 2168208

View attachment 2168209
Wabantu tusubir msaada wa ARV
 
Sasa mbona waliandamana dhidi ya serikali na watu wengi kuuawa sana?

Tunisia, Algeria, Libya, Misri, Yemen, Syria, Sudan n.k

Mkuu hizo nchi ulizozitaja sio nchi za kifalme, ni nchi zinaoongozwa kwa mfumo wa kidemokrasia zenye viongozi madikteta.
 
Back
Top Bottom