and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,209
- 39,678
Tuliza mshonoMimi ukisema MTANZANIA mmoja akioza wote wameoza tunapigana mpaka kiama.. nahakikisha nakudunda vizuri tu
Tuliza mshonoMimi ukisema MTANZANIA mmoja akioza wote wameoza tunapigana mpaka kiama.. nahakikisha nakudunda vizuri tu
Hakuna mahali pasipo na demokrasia, tatizo watu wanataka kuwawekea wengine aina zao za demokrasia.Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.
View attachment 2168208
View attachment 2168209
Unataka wakahasiwe..Wanangu uwarabuni Kuna maisha sana ..nendeni vijanaa mukatafute maisha kule
Zenji ni kwa wanyamwezi..wanaojiganya waarabu.Vipi Zanzibar mbona hakuna demokrasia wala maendeleo
Nafikiri Wana utajiri mwingi sana, kiasi kwamba, hata wenye mamlaka wakiiba, bado kunabaki kiasi kingi cha kuwapa wasio na mamlakaNimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.
View attachment 2168208
View attachment 2168209
TakbiiirAcha kudanganya wewe ulaya masikini wamejaa japani kibao ndio maana utakuta wazungu na wajapani wamajiriwa uarabuni. Hutakuta mwarabu wa saudia dubai qateri amajiriwa ulaya
Hiyo nayo ni demokrasiaNimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.
View attachment 2168208
View attachment 2168209
Sasa mbona waliandamana dhidi ya serikali na watu wengi kuuawa sana?NI kweli hizo nchi hazina Demokrasia, Ila pia unatkaiwa utambue kuwa ndani ya hizo nchi hakuna Uonevu, Ubaguzi kwa raia zaidi ya viongozi kuwapenda na kuwajali raia wake.
Nyinyi CCM hamutaki Demokrasia wakati huo huo Munaleta Uonevu, Ubaguzi, Viburi na zaidi ya yote kuzidi kuizamisha nchi kwenye umaskini kwa kadri ya siku zinavyokwenda.
Wabantu tusubir msaada wa ARVNimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.
View attachment 2168208
View attachment 2168209
Umejibu vema mkuuHuku hakuna democrasia na umasikini unazidi kutamaraki
Sasa mbona waliandamana dhidi ya serikali na watu wengi kuuawa sana?
Tunisia, Algeria, Libya, Misri, Yemen, Syria, Sudan n.k
Na nyingi zipo bara gizaMkuu hizo nchi ulizozitaja sio nchi za kifalme, ni nchi zinaoongozwa kwa mfumo wa kidemokrasia zenye viongozi madikteta.