Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 7,682
- 9,557
- Thread starter
- #121
Vipi Ruzuku?Umeharibu hoja hapo kwenye kupinga tu... JE WANAOSIFU TU..!!??
Vipi Ruzuku?Umeharibu hoja hapo kwenye kupinga tu... JE WANAOSIFU TU..!!??
mi naona sawa mana hakuna mbingu yenye malaika wakuu wawili ..........saasa mtu anajiita malaika ww unahs nn kinafata hapoSa kama fomu kachukua Malaika Mkuu peke yake Demo inatokea wapi?
Kwaio mbingu ataisikia tu 😀 😀 😀mi naona sawa mana hakuna mbingu yenye malaika wakuu wawili ..........saasa mtu anajiita malaika ww unahs nn kinafata hapo
Zimetajwa nchi specific za Uarabuni wewe unakuja na list yako mfukonSiyo Uarabuni kote, Yemeni, Lebanon, hata Afrika ya Kaskazini kuna Waarabu pia na masikini sana tu.
SureBora tubaki na Chama kimoja tu kuliko utitiri huu usiosaidia mwananchi mnyonge
Nenda YEMEN mpaka nyumba za tembe zipo. Na vita ya kutaka kuwe na demokrasia inaendelea. HAWA SAWA NA SISI MIAKA 60 ya UHURU miaka 40 ya siasa zisizo na upinzani TEMBE KAMA KAWAIDA ZIMETAPAKAA. Tuangalie tena miaka 40 ya upinzani wenye nguvu nchi ITAGEUKA? Kwa sasa maeneo mengi mwanchi ana uwezo wa kujenga tembe hana tofauti na yule wa 1960. Yaani tuna uwezo wa mababu zetu basi. NAONA AIBU.Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
Wapi mtoa mada ameitaja YEMEN?Nenda YEMEN mpaka nyumba za tembe zipo. Na vita ya kutaka kuwe na demokrasia inaendelea. HAWA SAWA NA SISI MIAKA 60 ya UHURU miaka 40 ya siasa zisizo na upinzani TEMBE KAMA KAWAIDA ZIMETAPAKAA. Tuangalie tena miaka 40 ya upinzani wenye nguvu nchi ITAGEUKA? Kwa sasa maeneo mengi mwanchi ana uwezo wa kujenga tembe hana tofauti na yule wa 1960. Yaani tuna uwezo wa mababu zetu basi. NAONA AIBU.
100%Hata ulaya waliruhusu demokrasia baada ya Maendeleo kuingia