sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,281
- 7,955
Tatizo sio democracy tatizo ni viongozi wetu hawana dini , hawana hofu ya mungu ambayo inapelekea kutumia Mali za umma vibaya bila woga wowote , hao uliowataja hapo wanahofu ya mungu na wanatumia vizuri rasilimali waliojaliwa na mungu kwa manufaa ya Nchi zaoNimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana