42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,914
Hivi unajua kwamba kwa sheria za marekani zilivo mtu ukifanya offence mara kadhaa unakuwa banned kuajiriwa popote pale nchini marekani... sasa wengi ndio hao unaowaona barabarani...Marekani nchi tajiri wananchi wengi masikini wana lala barabarani nchi za uarabuni kama UAE SAUDIA KUWAIT OMAN QATAR nchi hizi huwezi kukumkuta mwananchi maskini au kalala nje