25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,773
hiyo ni chukiiiiiiiiiiiiiiiiUarabuni kunafanyika mapinduzi na mauaji mara nyingi sana
Sio watu wa kuigwa hao
hiyo ni chukiiiiiiiiiiiiiiiiUarabuni kunafanyika mapinduzi na mauaji mara nyingi sana
Sio watu wa kuigwa hao
tatizo sio wasomi je nchi za afirika hazina wasomi? kwanini wananchi wakosa chai na kitumbua?Wasomali wanahesabika kwenye Arab world.
Sikusema wasomi, nilisema Wasomali.tatizo sio wasomi je nchi za afirika hazina wasomi? kwanini wananchi wakosa chai na kitumbua?
Yemeni huko watu wanashindia kahawa. Egypt nako kuna utajiri kama huko Qatar!?Vipi uliona na NGOs/CSOs kule? Je Chaggema kuna demokrasia?
Tabia za kindezi za mbuni. Kutoona tatizo ndio kulitatua.tueleze baada ya kuifahamu ESCROW kipi kilifanyika? je yale mabulungutu yaliyoshehenezwa kwenye viroba na sandarusi yalirudishwa?
Richmond tulihabarishwa, enhe bei ya umeme leo ikoje?
saa nyingine kutojua tatizo kwaweza kuwa nafuu kuliko kujua na kujikuta unajifia, kwa, presha.
ref. wagonjwa wa vvu wakishajitambua, hudhoofika mapema
Demokrasia ni nini? Ni mfumo wa kiuongozi uliokubaliwa au unaokubalika na jamii husika, ukiwakilisha maslahi ya wengi, na wakiwakilishwa au kuongozwa na wachache waliowaridhia au kuwachagua.1. Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE (Dubai, Abu Dhabi na Sharjah), Oman, Kuwait, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini.
2. Hakuna NGO's kama Afrika.
3. Hakuna kinachoitwa "Demokrasia".
Sasa, huku Afrika 24/7 NGOs kila mtaa, vyama vya upinzani kila kukicha kiongozi wa chama cha upinzani ni tajiri ajabu, ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.
View attachment 2168208
View attachment 2168209
View attachment 2202214
View attachment 2202215
View attachment 2213472
Ameumia kusikia waarab maana alitarajibasikie Roma au Israel dahMtoa mada ametaja kabisa Nchi anazozingumzia Qatar, Kuwait, Oman, Bahrain, Saudi Arabia na UAE wewe umeenda kuongeza Yemen an Afrika Kaskazini. Haya weka na Somalia basi ufurahi maana Wagalatia huoni raha bila kuchomeka maneno ya kero
Ndugu sema ngoja uchaguliwe wewe sio wachague wanaowataka.Walafi wachoyo na waroho wa madaraka ipo siku mtasema Wachina hawana dini siyo wakristu wala waislaam wanaabudu mizimu lakini wana maendeleo na siye tupige marufuku dini! Hao washindani wenu wa kisiasa mnawaita wapinzani wanalipwa kodi siyo za wanachama wenu pekee ni za watz wote! Acheni wananchi wachague viongozi wanaowataka msilete ukiritimba/monopoly ktk siasa
hahahahahaBongo NGOs zinagawa vilainishi watu wapasuane madivi bila kuchubuana