Uarabuni hamna demokrasia, hamna umaskini

Uarabuni hamna demokrasia, hamna umaskini

Qatar wana-host World Cup 2022 bila demokrasia, ndugu zetu Kenya na Katiba mpya juu Ila ufisadi na wizi wa Kura Kama wote. Slums za kutosha Nairobi, KIBERA, MATHARE, UTAWALA
 
Amesema Uarabuni, soma kichwa cha habari, isitoshe Wasomali siyo Waarabu!
domokarasia ni uhuru wa kusema na kukosoa waarabu hawa uhuru wa kusema wala kukosoa lakini raiya wao wanakula keki ya taifa lao bora yao
 
Juzi juzi wanawake wa Saudia kwa Kashogi ndo wamepata ruhusa kuendesha magari. Ni afadhali umasikini ukiwa huru kuliko kuwa na mali ila mtumwa wa fikra.
azikutoshi tangu lini masikini akawa huru?
 
Back
Top Bottom