Uarabuni hamna demokrasia, hamna umaskini

Uarabuni hamna demokrasia, hamna umaskini

Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana

Heri hao wa upinzani kuliko ya wale wanolipwa posho za kusema ndioooooooooooooooooo
 
Tofauti iliopo walau wao wanazo akili sasa njoo kwetu huku akili hawana, hawana vipaumbele, na demokrasia hawataki na umasikini na ujinga ndo mtaji wao
 
Soma vizuri amekwambia nchi ambazo hazina democrasia na kakutajia majina.sasa wewe unasema yemen lebanoon au syria iraq hizo zito zina democrasia kama tanzania ndio maana wananchi wake maskini
Siyo Uarabuni kote, Yemeni, Lebanon, hata Afrika ya Kaskazini kuna Waarabu pia na masikini sana tu.
 
Kuwa na akili na wewe .amesema nchi za uarabuni hakuishia hapo kazianisha au kazitaja nchi ambazo hazina demokrasi katika nchi za uarabuni kama oman uae saudia kuwait qatar na wanaishi kwa raha sio masikini sasa kuna nchi za uarabuni zenye democrasia wao ni maskini
Kichwa cha habari amesema Arabuni
 
Marekani nchi tajiri wananchi wengi masikini wana lala barabarani nchi za uarabuni kama UAE SAUDIA KUWAIT OMAN QATAR nchi hizi huwezi kukumkuta mwananchi maskini au kalala nje
Pia marekani ni nchi maskini sana sababu kuna demokrasia. Wewe ni idiot
 
Wao hawana demokrasia lakini wanafata Sheria kweli sio kuzugazuga na kulindana kama mtu kaiba,kafanya uzinzi kifo au jela.Huku fisadi Fulani halafu tunawaangalia tu,askofu Fulani kazini na muumini tunashadadia Tu koneksheni.

Siasa ya bongo ni kuwaonesha wazungu Tu maigizo lakini jioni hawa cuf,cdm,act,ccm,nccr na wengine wanakaa meza moja na kujadili jinsi ya kuwaigizia sanaa walipa Kodi wananchi na wazungu vilanja wao.

Kama vyama vya upinzani wanataka uchaguzi huru na haki wapiganie katiba mpya.

Au all in all serikali iwe na msimamo wa kuwa na chama kimoja sio zugaling vyama vingi wakati low key haitaki.
Kuwa na akili na wewe .amesema nchi za uarabuni hakuishia hapo kazianisha au kazitaja nchi ambazo hazina demokrasi katika nchi za uarabuni kama oman uae saudia kuwait qatar na wanaishi kwa raha sio masikini sasa kuna nchi za uarabuni zenye democrasia wao ni maskini
 
Hizi nchi za kiarabu wapo mbali sana kimaisha ndio maana mmarekani anawaonea wivu na kutaka mali zao haishi kuwachonganisha na kuwaletea vita isiokuwa na sababu . utaliikama watalii wakiarabu moja tu anaekuja ngorongoro sawa na watalii wa kimarekani kumi kwa matumizi. Mmarekani ananunua soda moja wanagawana 3 mmarekani wanachanga kwa pamoja watu kumi wanachukua gari kuwatembeza mbuga za wanyama mwarabu anachukua pekee yake nenda kaulize huko serengeti na manyara utaambiwa
 
Back
Top Bottom