Umetawala kidikteta kama Russia ya Putin au North KoreaDemokrasia ni mtego wa umasikini.
We shida yako ni udini, ulivyo mpumbavu unaamini kabisa waarabu ni ndugu zako. Hakuna binadamu katili hapa duniani km waarabu, hiyo dini yenyewe waafrika walisilimishwa kwa jambia.Mtoa mada ametaja kabisa Nchi anazozingumzia Qatar, Kuwait, Oman, Bahrain, Saudi Arabia na UAE wewe umeenda kuongeza Yemen an Afrika Kaskazini. Haya weka na Somalia basi ufurahi maana Wagalatia huoni raha bila kuchomeka maneno ya kero
Hata China na Russia hakuna demokrasia km tunayoitaka watanzania.1. Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE (Dubai, Abu Dhabi na Sharjah), Oman, Kuwait, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini.
2. Hakuna NGO's kama Afrika.
3. Hakuna kinachoitwa "Demokrasia".
Sasa, huku Afrika 24/7 NGOs kila mtaa, vyama vya upinzani kila kukicha kiongozi wa chama cha upinzani ni tajiri ajabu, ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.
View attachment 2168208
View attachment 2168209
View attachment 2202214
View attachment 2202215
View attachment 2213472
Km wananchi hawawataki huwezi kuwalazimishaWalafi wachoyo na waroho wa madaraka ipo siku mtasema Wachina hawana dini siyo wakristu wala waislaam wanaabudu mizimu lakini wana maendeleo na siye tupige marufuku dini! Hao washindani wenu wa kisiasa mnawaita wapinzani wanalipwa kodi siyo za wanachama wenu pekee ni za watz wote! Acheni wananchi wachague viongozi wanaowataka msilete ukiritimba/monopoly ktk siasa
Huwa wanajifanya kujitoa ufahamu ila kiukweli hao waarabu na hao wafrika weusi wanaojidai ndugu zao waarabu hata huko uarabuni hawakutaki wapo radhi waende Uingereza, Marekani au Canada na siyo uarabuni.We shida yako ni udini, ulivyo mpumbavu unaamini kabisa waarabu ni ndugu zako. Hakuna binadamu katili hapa duniani km waarabu, hiyo dini yenyewe waafrika walisilimishwa kwa jambia.
Africa ipi hiyo kuna demokrasia?Afrika tuna demokrasia Ila maskini kuliko umaskini wenyewe
Zambia,Malawi,South Africa,Namibia,Botswana,Kenya,Angola,...Africa ipi hiyo kuna demokrasia?
Hapa labda South Africa na Botswana tu ndio ungezitolea mfano.Zambia,Malawi,South Africa,Namibia,Botswana,Kenya,Angola,...
Sasa na yeye asiseme Uarabuni! Ataje tu hizo nchi maana kuna uarabuni kwingine ambako kuna full NGOs!Mtoa mada ametaja kabisa Nchi anazozingumzia Qatar, Kuwait, Oman, Bahrain, Saudi Arabia na UAE wewe umeenda kuongeza Yemen an Afrika Kaskazini. Haya weka na Somalia basi ufurahi maana Wagalatia huoni raha bila kuchomeka maneno ya kero
1. Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE (Dubai, Abu Dhabi na Sharjah), Oman, Kuwait, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini.
2. Hakuna NGO's kama Afrika.
3. Hakuna kinachoitwa "Demokrasia".
Sasa, huku Afrika 24/7 NGOs kila mtaa, vyama vya upinzani kila kukicha kiongozi wa chama cha upinzani ni tajiri ajabu, ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana.
View attachment 2168208
View attachment 2168209
View attachment 2202214
View attachment 2202215
View attachment 2213472
Chama Ni CCM tuKwahiyo posho anayolipwa kiongozi wa upinzani imekuuma kuliko posho wanazogawana chama tawala na kodi wanazotafuna kwa urefu wa kamba?! UVCCM ni vilaza sana nyie watu[emoji28]
Kibao kimebadilika. Ukitua Doha unakuta Wakenya wanaosha vyoo mwanzo-mwisho.Mzungu asingegundua mafuta Uarabuni wangekua maskini wa kutupwa maana wenyewe wazembe kazi kuvaa mikanzu tu.
Kibao kimebadilika. Ukitua Doha unakuta Wakenya wanaosha vyoo mwanzo-mwisho.
Ni mfano tu nimetoa. Pole SanaWewe hamnazo, Wakenya wapi na wapi kwenye mada ya kuhusu demokrasia ya Waarabu...aisei madrassa inawafanya mnakua kama mazombi vile.