Uamuzi wa viongozi wa CHADEMA kutohudhuria tena mahakamani una tafsiri gani kisheria?

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,855
401
Ndugu zangu wanaJF,
Kwenye tamko lake kuhusu mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi jijini arusha, chadema inaonyesha kuwa mkutano waliofanya ulikuwa halali kwa mujibu wa katiba ya nchi na kwa hiyo kukamatwa kwao na kusomewa mashtaka mahakamani ilikuwa ni uonevu mkubwa. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.
 
Ndugu zangu wanaJF,
Kwenye tamko lake kuhusu mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi jijini arusha, chadema inaonyesha kuwa mkutano waliofanya ulikuwa halali kwa mujibu wa katiba ya nchi na kwa hiyo kukamatwa kwao na kusomewa mashtaka mahakamani ilikuwa ni uonevu mkubwa. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.

tuseme kushitakiwa kwao ni majungu na fitna za kisiasa.

unadhani watatendewa haki?
 
na kama wanataka mabalaa watoe warrant ya kuwashika leeeeee!! hapo baba watakuwa wanachokoza nyuki
 
Najaribu kuangalia from another angle kwamba chombo kilichowaita wajibu mashtaka siyo jeshi la polisi bali ni mahakama ambayo ni mojawapo ya mihimili mikuu ya nchi. Sasa kutohudhuria mahakamani maana yake ni kuwa wanaigomea mahakama. Je, hiyo inakubalika?? Kwa nini wasiendelee kuhudhuria ili haki itendeke then hukumu ikitolewa ndipo wawasilishe kwenye mahakama hiyo hiyo madai ya hasara watakayoipata in whatever form? Wasiwasi wangu ni cdm wasije wakapoteza credibility yao kwa wasomi na wanazuoni.
 
Ndugu zangu wanaJF,
Kwenye tamko lake kuhusu mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi jijini arusha, chadema inaonyesha kuwa mkutano waliofanya ulikuwa halali kwa mujibu wa katiba ya nchi na kwa hiyo kukamatwa kwao na kusomewa mashtaka mahakamani ilikuwa ni uonevu mkubwa. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.
Serikali (Membe) imeshasema polisi walikosea kwa hiyo hata kukamatwa kwa viongozi wa CDM ni makosa hakuna mashtaka hapo yafutwe.
 
Najaribu kuangalia from another angle kwamba chombo kilichowaita wajibu mashtaka siyo jeshi la polisi bali ni mahakama ambayo ni mojawapo ya mihimili mikuu ya nchi. Sasa kutohudhuria mahakamani maana yake ni kuwa wanaigomea mahakama. Je, hiyo inakubalika?? Kwa nini wasiendelee kuhudhuria ili haki itendeke then hukumu ikitolewa ndipo wawasilishe kwenye mahakama hiyo hiyo madai ya hasara watakayoipata in whatever form? Wasiwasi wangu ni cdm wasije wakapoteza credibility yao kwa wasomi na wanazuoni.
In short it is a planned move hata yale maandamano yalikuwa planned watu walikuwa wanasema kama unavyosema wewe watapoteza credibility lakini leo ni tofauti. Kwanza haki unayosema itolewe na nani mahakama ya Makamba? you must be joking.
 
Serikali (Membe) imeshasema polisi walikosea kwa hiyo hata kukamatwa kwa viongozi wa CDM ni makosa hakuna mashtaka hapo yafutwe.

akibanwa(membe) na mahakama utasikia akisema 'yalikuwa ni maoni yangu binafsi'
 
In short it is a planned move hata yale maandamano yalikuwa planned watu walikuwa wanasema kama unavyosema wewe watapoteza credibility lakini leo ni tofauti. Kwanza haki unayosema itolewe na nani mahakama ya Makamba? you must be joking.

Yes, nikifikiria credibility ya mahakama zetu, napata kizunguzungu. Ngoja tusikie maoni ya wataalam wengine. My opinion is that cdm should at no time lose its high credibility before the public. Ninafurahi ninapoona katika kila issue/game, sisiem ndiyo inakuwa guilty, kama ilivyotokea arusha.
 
NINADHANI KWA SUALA LA KUTOKUHUDHURIA MAHAKAMANI WAMEKOSEA. NI VIZURI WAKAHUDHURIA MAHAKAMANI ILI KULINDA HESHIMA YA MAHAKAMA. KWA KUWA CHADEMA NI CHAMA MAKINI, Watu wengi watapenda kuiga mfano wao. IT IS HIGHLY IMPORTANT THAT THEY SHOW THEIR RESPECT TO THE RULE OF LAW.
 
kwa vile mashitaka yao ni ya jinai na wako nje kwa dhamana, hatari iliyopo ni dhamana kufutwa kama masharti yake yataonekana mahakamani kuwa yamekiukwa na hivyo wote kukamatwa tena na kurudishwa rumande...... na wao katika tamko lao naoma wameishalifahamu hilo na wamesema wako tayari........ so i can see that everything is properly culculated na hii ni siasa, kazi iliyopo ni washitaki wao nao ku-culculate the implication ya kuendelea na masitaka dhidi yao ama la, kama wataendelea na mshitaka dhidi yao, hakuna mwanya wa kuepuka kufutiwa dhamana kama kweli watatekeleza azma yao hiyo....................

in my opinion, chandema wanashinikiza kitu amabacho ni obvious kitatokea, yaani kufutiwa mashtaka, labda wanataka tu kuongeza shinikizo la kufutiwa haraka...............serikali kwa kufahamu hisia za jamii na jumuia ya kimataifa, haitakuwa tayari kufanya kosa kama la kuwakamata tena, arusha yaweza kulipuka upya na hata nchi nzima yaweza kulipuka kwa maandamano kuprotest hilo na hata jumuiya ya kimataifa yaweza kuiweka nchi yetu kundi moja na ivry coast............... so i believe, in the end serikali itakuja kiutu uzima na viable solution............
 
Ndugu zangu wanaJF,
Kwenye tamko lake kuhusu mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi jijini arusha, chadema inaonyesha kuwa mkutano waliofanya ulikuwa halali kwa mujibu wa katiba ya nchi na kwa hiyo kukamatwa kwao na kusomewa mashtaka mahakamani ilikuwa ni uonevu mkubwa. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.

Kwanini Viongozi CDM Waende Mahakamani? How About Waliopigwa Risasi na Kufa Nao Tuwalete Mahakamani? How About Waliowapiga Risasi Je, Hukumu na Sheria Zao Ziko Wapi? How About JK na Wote Waliohusika Kutoa Orders za Mauaji Wanafikishwa Mahakamani Lini? Hili Swali Hapa Juu Linauliza Only Viongozi wa CDM, Sheria Ipi Walivunja na Hatari Gani Waliisababishia Mkoa wa Arusha na Taifa? "Katiba Hii ya Sasa Haina Meno na Hatutaifuata Kamwe Mpaka Katiba Mpya Ipite?" Wananchi Tusikubali Kamwe Kunyamazishwa na Sera na Taratibu Mpya za CCM.
 
na kama wanataka mabalaa watoe warrant ya kuwashika leeeeee!! hapo baba watakuwa wanachokoza nyuki


Kama wanataka kutawala nchi hii lazima waonyeshe wanavyojua utawala wa sheria, na kuufuata.

Innocent until proven guilt, na hii inapatikana mahakamani, haiwezekani wakamua wenyewe kuwa innocent. Tutaamua.
 
Yes, nikifikiria credibility ya mahakama zetu, napata kizunguzungu. Ngoja tusikie maoni ya wataalam wengine. My opinion is that cdm should at no time lose its high credibility before the public. Ninafurahi ninapoona katika kila issue/game, sisiem ndiyo inakuwa guilty, kama ilivyotokea arusha.

CDM ndo waliomba kupelekwa mahakamani ili sheria ifuatwe. walitaka kuwatema kikudakuda huku weshawadharirisha.
 
Yes, nikifikiria credibility ya mahakama zetu, napata kizunguzungu. Ngoja tusikie maoni ya wataalam wengine. My opinion is that cdm should at no time lose its high credibility before the public. Ninafurahi ninapoona katika kila issue/game, sisiem ndiyo inakuwa guilty, kama ilivyotokea arusha.

NINADHANI KWA SUALA LA KUTOKUHUDHURIA MAHAKAMANI WAMEKOSEA. NI VIZURI WAKAHUDHURIA MAHAKAMANI ILI KULINDA HESHIMA YA MAHAKAMA. KWA KUWA CHADEMA NI CHAMA MAKINI, Watu wengi watapenda kuiga mfano wao. IT IS HIGHLY IMPORTANT THAT THEY SHOW THEIR RESPECT TO THE RULE OF LAW.
Naomba niwajibu nyote kwa pamoja kama ifuatavyo.........nafikiri implications mnazofikiria tayari wenyewe wanazijua angalieni kwenye bold.

"Tunasisitiza katika jambo hili kwamba viongozi, wanachama na wafuasi wetu wote waliokamatwa na kufunguliwa mashtaka haya hawatahudhuria mahakamani tena kuhusiana na kesi iliyofunguliwa dhidi yao, hata kama kwa kufanya hivyo kutafanya wakamatwe na kurudishwa tena gerezani," alisema Mbowe.
 
hili la kutoenda mahakamani ndiyo nimeliona hapa lkn binafsi sikusikia kauli hii sana sana waliwaomba wananchi kufika siku ya kesi yao ambayo itakuwa tarehe 21-01.2011
 
Nilikuwepo uwanjani, nilisikia kwa masikio yangu. Chadema waliagiza polisi wafute kesi mahakamani bila masharti yoyote kwa kuwa serikali na jamii ya kimataifa imeshakubali kuwa ni polisi ndio waliokosea. Lakini Mbowe aliwaomba wakazi wote wa arusha kuhudhuria mahakamani siku ya kesi iwapo polisi watakuwa hawajafuta kesi.

hivi huwa kuna adhabu kwa mtu anayeanzisha uzushi na kuna ushahidi kuwa ananzisha uzushi?
 
Remember,there is no strict separation of power btn the Executive and Judiciary,thats y rule of Law ni mchanga wa macho
 
Ndugu zangu wanaJF,
................. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.

Si vizuri kukurupuka na kuweka uzushi hapa JF kama ulihudhuria mkutano wa NMC jana, Mkt Mbowe alisema kuwa tarehe 21 ndio kesi yao itatajwa na kuwauliza wadau kama watakuwepo mahakamani kuwaunga mkono, kauli ambayo ilioungwa mkono na mkutano wote. Kama hukuwepo ktk mkutano wa NMC na umesikia toka kwa source nyingine na siyo toka kwa aliyezungumza basi fanya utafiti tena.
 
...mahakama itumie maamuzi ya busara,,,,ikijidai kuwa sheria ni msumeno itakula kwao manake its obvious kwamba kukamatwa kwa viongozi wa chadema na mauaji yaliyofanyika yalikuwa ni utekelezaji wa "amri ya mtu fulani".
 
na kama wanataka mabalaa watoe warrant ya kuwashika leeeeee!! hapo baba watakuwa wanachokoza nyuki
nchi ina taratibu zake na sheria, whether good or bad

CDM wanahitaji kuheshimu hayo, kwani ipo siku wanaweza kuwa madarakani na sijui wanatuonyesha nini kama wanashindwa kuheshimu msingi mmojawapo muhimu wa utawala... kwangu ni maamuzi ya kihuni

two wrongs wont make it right... never!!!

wanatufundisha nini?? kwamba kuna mahakama za watanzania na ni tofauti na za cdm??

maamuzi kama haya huwa yanatolewa na walevi wa pombe, na nikiwa serikali, nitaamuru washughulikiwe kwa mujibu wa sheria
 
Back
Top Bottom