Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ndugu zangu wanaJF,
Kwenye tamko lake kuhusu mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi jijini arusha, chadema inaonyesha kuwa mkutano waliofanya ulikuwa halali kwa mujibu wa katiba ya nchi na kwa hiyo kukamatwa kwao na kusomewa mashtaka mahakamani ilikuwa ni uonevu mkubwa. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.
Kwenye tamko lake kuhusu mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi jijini arusha, chadema inaonyesha kuwa mkutano waliofanya ulikuwa halali kwa mujibu wa katiba ya nchi na kwa hiyo kukamatwa kwao na kusomewa mashtaka mahakamani ilikuwa ni uonevu mkubwa. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.