Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
wasiwasi wangu ni kuwa mbali na yaliyotokea arusha, ccm inataka kuonyesha kuwa upinzani ni vurugu kama jinsi ambavyo wamekuwa wakiropoka wao wapo tayari kuona hata watu wanakufa ili kukamilisha malengo yao ya kisiasa kisha kuanza kunyooshea kidole wengine,mfano angalia ya arusha licha ya uzembe wao bado wanadiriki kufungua mdomo kutetea mauaji!la kushangaza licha ya kuwa hakuna hata taasisi moja isiyo ya kiserikali na watu wenye uelewa kuwaunga mkono bado wamesimamia kuwa kama cdm wasingekaidi amri ya polisi yasingetokea!
la kujiuliza ni kwamba kwanini wao watumie polisi kuua demokrasia?,ni kwanini polisi ikitumika vibaya bado tu watu watii?
Kishe,
Nafikiri nafikiri tunazungumza lugha moja sasa. Ni vyema ccm wakaendelea kuonekana wajinga. Serikali yao kupitia waziri Mende ... oops ... Membe, ndio wametamka kuwa Polisi walikurupuka. Na kama ni hivyo basi wafute kesi. Kama watu wao ndio waliokurupuka kwa nini mtu mwingine aendelee kufuatilia kesi hewa?