Uamuzi wa viongozi wa CHADEMA kutohudhuria tena mahakamani una tafsiri gani kisheria?

hata kesi ya Mramba imeahirishwa mara nyingi kwa kuwa yeye fisadi hakuwepo mahakamani sasa mahakama imeshajiondolea nguvu yenyewe na precedent za kifisadi tutazitumia na sisi
 
cdm tuna vichwa vya sheria balaaaa hayo tunayajua bana......ccm bila kuwatia jamba jamba hawaendi..mpaka linuke ndo wanashtuka coz they think hii nchi watatawala milele..swain
 
nchi ina taratibu zake na sheria, whether good or bad

CDM wanahitaji kuheshimu hayo, kwani ipo siku wanaweza kuwa madarakani na sijui wanatuonyesha nini kama wanashindwa kuheshimu msingi mmojawapo muhimu wa utawala... kwangu ni maamuzi ya kihuni

two wrongs wont make it right... never!!!

wanatufundisha nini?? kwamba kuna mahakama za watanzania na ni tofauti na za cdm??

maamuzi kama haya huwa yanatolewa na walevi wa pombe, na nikiwa serikali, nitaamuru washughulikiwe kwa mujibu wa sheria
Tanzania kuna sheria?
Wapi kesi ya Andrew Chenge,epa,dowans, ditopile, uchaguzi mkuu, meya arusha,mbunge segerea n.k, Usidanganye jamii(unaongea theory za vitabu tuu hapa) huu ndio muda muafaka wa kujua mambo mengi ambayo yalikuwa yamefichika. Leo hii najua ulikuwa ufahamu kwamba polisi kumbe haruhusiwi hata kuzuia maandamano ya amani bali kulinda. Wacha wagome na ndipo nasi tujifunze sheria nyingine hapo.
Tena kwenye katiba mpya iaanze na sheria ya kushughulikia waoga na vimbelembele kama nyie
 
yes nakubaliana na wewe kaisa, waende mahakamani then walio washtaki wakatoe ushahidi wa madai yao. then wathibitishe hilo but wasiwapotezee muda wao. cdm nendeni tu mahakamani ili wakishindwa kuwasilisha ushaidi wa kiitelijensia walio sema wanao tuwawajibishe wao
 
Kama walio uwa hawajafaywachochote unafikili cdm watawafanya nini? Atawasipoendamahakamani tatizosisheliya niwasimamiaji wa hizo shelia
 
kwa vile mashitaka yao ni ya jinai na wako nje kwa dhamana, hatari iliyopo ni dhamana kufutwa kama masharti yake yataonekana mahakamani kuwa yamekiukwa na hivyo wote kukamatwa tena na kurudishwa rumande...... na wao katika tamko lao naoma wameishalifahamu hilo na wamesema wako tayari........ so i can see that everything is properly culculated na hii ni siasa, kazi iliyopo ni washitaki wao nao ku-culculate the implication ya kuendelea na masitaka dhidi yao ama la, kama wataendelea na mshitaka dhidi yao, hakuna mwanya wa kuepuka kufutiwa dhamana kama kweli watatekeleza azma yao hiyo....................

in my opinion, chandema wanashinikiza kitu amabacho ni obvious kitatokea, yaani kufutiwa mashtaka, labda wanataka tu kuongeza shinikizo la kufutiwa haraka...............serikali kwa kufahamu hisia za jamii na jumuia ya kimataifa, haitakuwa tayari kufanya kosa kama la kuwakamata tena, arusha yaweza kulipuka upya na hata nchi nzima yaweza kulipuka kwa maandamano kuprotest hilo na hata jumuiya ya kimataifa yaweza kuiweka nchi yetu kundi moja na ivry coast............... so i believe, in the end serikali itakuja kiutu uzima na viable solution............

Salute! I wanted to say this exactly ... Ooh no! Possibly in differnt words lakini ukweli ndo huo. Mashtaka yaliyoko mahakamani ni ya kisiasa. Suluhisho ni kuzidisha joto kwa serikali mpaka ishindwe kupumua. Na ndivo CDM wanachokifanya. Nawapongeza kwa uamuzi huo. Hawajakurupuka. Nawaaminia wanasheria wao. Tundu Lisu, Mabere Marando, etc
 
sijui habari zinatoka wapi lakini km ni za kweli basi NAOMBA WAENDELEE KUHUDHURIA ILI TUMWAIBISHE KIKWETE NA MAKAMBA NA SERIKALI YAO YA KIFISADI
 
naona mnatuchanganya mara walisema hawaendi mara walisema wanaenda vyote ni mkanganyiko!,ila nimesoma tanzania daima la leo kuna maelezo kuwa moja ya tamko lao ni kutaka kesi ifutwe bila masharti vinginevyo hawatahudhuria mahakamani na wapo tayari kukamatwa.

maoni yangu:
japokuwa suala ili limekaa kisiasa zaidi ni bora wahudhurie mahakamani kuliko kutokwenda,cdm wamekuwa wakihubiri amani ni bora kuitekeleza kivitendo kwani suala ili linaweza kuibua mgogoro mkubwa sana.

Unaongea kwa hofu kutokana na yaliyojitokeza Arusha kuogopa yasitokee tena au?

Chadema wako sahihi. wametafakari na kuona kesi hii ni ya kisiasa na suluhisho lake ni la kisiasa. Hebu tafakari. Ishu ya Umeya hawakwenda mahakamani km CCM na Makamba wao ambavyo wamekuwa wakidai. Wakaamua kuandamana kushinikiza, likawatachi ccm wakakurupuka ... maafa yakatokea, ikala kwao. Hata sasa CCM wangependa chadema wafungwe mdomo wasiendelee kuzungumzia mambo hayo mahali popote kwa vile yako mahakamani.

Wana JF tujue kuwa kesi iliyo mahakamani haizungumzwi popote hadi shauri liishe. CDM wameitisha maandamano nchi nzima, ikiwa wataiheshimu kesi hiyo hawawezi kulisemea suala hilo.
 
hili la kutoenda mahakamani ndiyo nimeliona hapa lkn binafsi sikusikia kauli hii sana sana waliwaomba wananchi kufika siku ya kesi yao ambayo itakuwa tarehe 21-01.2011
Mkuu Crashwise...
Hii ni mpya kwangu!.

Huyu Gosbertgoodluck kapata wapi ya kugomea mahakama?

Jana Mbowe aliwaomba wana-Arusha wote wajitokeze tarehe 21/01/11 bila kukosa kwenye mahakama...ili tuone ni nani kati ya ccm na peoples power mwenye nguvu!..
Hii habari ni ya kutunga, na hatujaelewa ina maana gani kwa jamii!
 
Chadema wanapaswa kuheshimu mahakama. Kwa kesi jinsi ilivyo na umbumbu wa polisi sioni ni vipi wanaweza kutiwa hatiani! Hata kisiasa CDM watanufaika zaidi kama wakiishinda kesi hii mahakamani kuliko kuamua kuabscond.

Kwa ninavyoiona, it is very likely kwamba police wataitoa kesi hii mahakamani ili 'yaishe'!
 
kwa vile mashitaka yao ni ya jinai na wako nje kwa dhamana, hatari iliyopo ni dhamana kufutwa kama masharti yake yataonekana mahakamani kuwa yamekiukwa na hivyo wote kukamatwa tena na kurudishwa rumande...... na wao katika tamko lao naoma wameishalifahamu hilo na wamesema wako tayari........ so i can see that everything is properly culculated na hii ni siasa, kazi iliyopo ni washitaki wao nao ku-culculate the implic
ation ya kuendelea na masitaka dhidi yao ama la, kama wataendelea na mshitaka dhidi yao, hakuna mwanya wa kuepuka kufutiwa dhamana kama kweli watatekeleza azma yao hiyo....................&lt;br /&gt;<br />
in my opinion, chandema wanashinikiza kitu amabacho ni obvious kitatokea, yaani kufutiwa mashtaka, labda wanataka tu kuongeza shinikizo la kufutiwa haraka...............serikali kwa kufahamu hisia za jamii na jumuia ya kimataifa, haitakuwa tayari kufanya kosa kama la kuwakamata tena, arusha yaweza kulipuka upya na hata nchi nzima yaweza kulipuka kwa maandamano kuprotest hilo na hata jumuiya ya kimataifa yaweza kuiweka nchi yetu kundi moja na ivry coast............... so i believe, in the end serikali itakuja kiutu uzima na viable solution............
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;


U TRULY ARE A GREAT THINKER,THUMB UP!!!
 
Tatizo hapa si Chadema na tatizo ni legal system ya Tanzania. Tanzania hakuna haki, mahakama hazitoi haki zimejaa wala rushwa. Mahakimu wanapokea directives from politicians kama ilivyo kwa polisi. CHADEMA wana haki ya kutohudhuria Kangaroo court zilizojaa wanasiasa wenye majoho ya kihakimu. Mfano mzuri tuliuona kwenye kesi ya Mtikila v mgombea binafsi unafiki uliofanywa na mahakama ya juu kabisa. Mfano mwingine tunauona kwenye kesi za uchaguzi ambazo kwa makusudi na maelezo ya Makamba watazichelewesha mpaka 2015 ndiyo wazitolee maamuzi. Katika nchi zinazijali demokrasia kesi hizi zingekuwa zimeisha by end of January 2011. TUNAHITAJI KATIBA MPYA YA WATANZANIA SIYO YA CCM Kama ambavyo tume ya CCM itakayochaguliwa na Mwenyekiti wa CCM Itakavyofanya kutudanganya.

Kama mahakama inaona CHADEMA wana kesi ya kujibu wawawekee wakili wa serikali halafu waendelee na Drama yao ya ama kuwa-convict ama kuwa evict au ku-dismiss case kabisa.
 
shitaka ni la kisiasa,ugomvi ni wa kisiasa,maamuzi yaende kisiasa pia.........nobroblem sir......this is Tanzania,the country which nobody knows behind the scene,every move is planned and strategies are of most intelectuals guys....be prepared for actions....
 
Kwa wale ambao hawaliona tamko la chadema: Ni kweli Mbowe alisema hawatahudhuria mahakamani.

See an extact ya tamko
  • Mashtaka ya uongo ya jinai yaliyofunguliwa dhidi ya viongozi wa ngazi zote wa CHADEMA, wanachama, wafuasi na wananchi wengine wote waliokumbwa na kumba kumba ya Jeshi la Polisi la Tanzania yafutwe bila masharti yoyote kwa sababu maandamano na mkutano wa hadhara uliozuiliwa yalikuwa halali kwa mujibu wa sheria husika za nchi yetu. Tunasisitiza katika jambo hili kwamba viongozi, wanachama na wafuasi wetu wote waliokamatwa na kufunguliwa mashtaka haya hawatahudhuria mahakamani tena kuhusiana kesi iliyofunguliwa dhidi yao hata kama kwa kufanya hivyo kutafanya wakamatwe na kurudishwa tena gerezani;
 
Unaongea kwa hofu kutokana na yaliyojitokeza Arusha kuogopa yasitokee tena au?

Chadema wako sahihi. wametafakari na kuona kesi hii ni ya kisiasa na suluhisho lake ni la kisiasa. Hebu tafakari. Ishu ya Umeya hawakwenda mahakamani km CCM na Makamba wao ambavyo wamekuwa wakidai. Wakaamua kuandamana kushinikiza, likawatachi ccm wakakurupuka ... maafa yakatokea, ikala kwao. Hata sasa CCM wangependa chadema wafungwe mdomo wasiendelee kuzungumzia mambo hayo mahali popote kwa vile yako mahakamani.

Wana JF tujue kuwa kesi iliyo mahakamani haizungumzwi popote hadi shauri liishe. CDM wameitisha maandamano nchi nzima, ikiwa wataiheshimu kesi hiyo hawawezi kulisemea suala hilo.

wasiwasi wangu ni kuwa mbali na yaliyotokea arusha, ccm inataka kuonyesha kuwa upinzani ni vurugu kama jinsi ambavyo wamekuwa wakiropoka wao wapo tayari kuona hata watu wanakufa ili kukamilisha malengo yao ya kisiasa kisha kuanza kunyooshea kidole wengine,mfano angalia ya arusha licha ya uzembe wao bado wanadiriki kufungua mdomo kutetea mauaji!la kushangaza licha ya kuwa hakuna hata taasisi moja isiyo ya kiserikali na watu wenye uelewa kuwaunga mkono bado wamesimamia kuwa kama cdm wasingekaidi amri ya polisi yasingetokea!

la kujiuliza ni kwamba kwanini wao watumie polisi kuua demokrasia?,ni kwanini polisi ikitumika vibaya bado tu watu watii?
 
Kama sijakosea, CDM walitangaza kuwa serikali ifute kesi inayowakabili. Hii ikiwa ni sehemu ya tamko lao kama chama. Na waliwaomba wananchi wajitokeze kwa wingi mahakamani hapo trh 21 Jan 2011, ambayo ni siku iliyopangwa na mahakama kwa ajili ya hii kesi inayowakabili. Hili la kutohudhuria mahakamani ambao ni muhimili mwingine tofauti kabisa na polisi wanaotuhumiwa kusababisha hayo mauaji; mi naona kama haijatylia kabisa
 
watakwenda mahakamani. Nayo itaamua kama wana kesi ya kujib au la.huo ni utaratib wa dunia nzima kuwa ukishtakiwa. You cant declare your self innocent. Only the court of law do that
 
Back
Top Bottom