Uamuzi wa kuwaondoa Machinga mitaa ya Dar es Salaam urejewe upya

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,214
3,587
Uamuzi wa kuondoa wafanyabiashara wadogowadogo almaarufu Machinga 18 Oktoba, kwa maoni yangu una gharama kubwa kuliko faida/manufaa na kwamba unastahili kupitiwa/kudurusiwa upya.

Gharama ziko kiuchumi, kijamii, kiusalama na kisiasa. Sipingani na uamuzi huo, ni mzuri tu, isipokuwa nadhani maandalizi zaidi yanahitajika ili zoezi liwe na tija kwa pande zote husika.
 
Huu ni ulimbukeni wa kisiasa, tusiweke siasa kwenye vitu vinavyoadhiri uchumi wetu. Machinga lazima waondoke nchi yetu irudi kwenye mstari ulionyooka. Tuache cheap politics we shall never go back to the darkest error. Our cities should not be converted into one big dirty village, they can do it in the villages not in Cities and towns period.
 
Huu ni ulimbukeni wa kisiasa. tusiweke siasa kwenye vitu vinavyoadhiri uchumi wetu. Machinga lazima waondoke nchi yetu irudi kwenye mstari ulionyooka. Tuache cheap politics we shall never go back to the darkest error. Our cities should not be converted into one big dirty village, they can do it in the villages not in Cities and towns period.
Niliposema maandalizi ya kutosha yafuatayo aghalabu ni muhali hadi sasa kujulikana:-

1 Je, nani anajuwa takwimu halisi za idadi ya Wamachinga nchini? Mwaka 1995 wale wanaotembeza bidhaa (acha wanaotandika bidhaa chini idadi yao ilikuwa sawa na idadi ya watu wa Mwanza Mjini, over 8K)

2. Je, kuna sera, mwongozo kuhusu Wamachinga kwa miaka yote 36 tangu 1985? Kama havipo, tunahitaji miongo mingapi mbele kuandaa tools hizo?

3. Je, soko la Machinga Complex limeleta matokeo gani (kabla ya Kariakoo kuungua vizimba vilikuwa wazi kwa miaka nenda).

4. Je, kuna sensa ya Wamachinga imefanyika? Wako wangapi? Wanawake wangapi? Wanaume wangapi? Drop outs wangapi waliojiunga na Umachinga? Idadi kwa kila mji nchi nzima ni ngapi (ili wasije kuelemea Dar)? Graduates wangapi? Watanzania wangapi? Wachina wangapi? idadi kwa makabila ikoje ili tujuwe mkoa upi hauna mikakati ya kuwa-absorb wasije Dar? nk.

5. Je, Umachinga siyo jibu la madai ya taifa ya kutaka watu wajiajiri? Lkn katika mazingira gani?

6. Je, kuna sehemu zimeandaliwa za kuwameza wote waondoke mitaani?

7. Je, after-effects za kuwaondoa kwa dharura tumezipima tukazijuwa ni zipi na namna gani tumejiandaa kuzimitigate?

8. Je, Wamachinga ni matokeo au zao la mfumo wa elimu tulio nao?

9. Je, Wamachinga ni zao la Economic Model inayoongoza nchi/dunia?

10. Je, Mamlaka za Kodi zime-engage vipi Wamachinga kwenye mfumo wa kodi maana wako wengi sana?

11. Je, kwanini hakuna Sheria ya Bunge (Act of Parliament) inayoratibu shughuli za Wamachinga kwa tija ya taifa? Ikumbukwe idadi yao ambayo hatujaijuwa ni kubwa kiasi kwamba taifa halipaswi kukosa sheria ya kuwaratibu zaidi ya ile sheria ya uzururaji inayobana madadapoa na mission-town (wapiga misele).

12. Je, Sheria ya Nguvu Kazi ya 1984 inasema nini kuhusu Wamachinga? Au wakati sheria hiyo inatungwa Wamachinga hawakuwepo lakini kwamba sasa wapo ni kwanini sheria hiyo isifanyiwe marekebisho ili iwaongelee na wao pia?

13. Je, kwakuwa Umachinga ni zao la mfumo-liberali wa dunia hasa kwenye uchumi ambapo Ujamaa uliokuwa unasisitiza dola kuzalisha na kuwalisha je, ujio wa mfumo mpya uliowazalisha (siyo Ujamaa) unaowataka wale kwa jasho lao umewaandaliaje mazingira wezeshi na jumuishi ili waendelee kula kwa jasho lao wasijekuitegemea dola?

14. Nachelea kuamini kwamba kama sensa ya Wamachinga nchini ikifanyika idadi yao itazidi idadi ya watu wa Zanzibar (1.5ml), watu wa Shelisheli (0.9ml) na huenda ikakaribiana na idadi ya watu wa Lesotho na Eswatini kwa pamoja.


NB.
Fikiria, taifa liwe na kundi dogo la watu wa idadi ya nchi za Eswatini/Lesotho ambao hawalipi kodi kutokana na kwamba hakuna mazingira/mfumo wezeshi yaliyoandaliwa kwa ajili yao kulipa kodi na tozo za serikali? Baghosha!

Wamachinga wako maeneo mengi hata China, Nairobi Kikomba wako tangu enzi za Jomo Kenyatta.

R.e1ec613adc84bf0605423d19b716e466

Taswira kwa hisani ya google
 
Niliposema maandalizi ya kutosha yafuatayo aghalabu ni muhali hadi sasa kujulikana:-

1 Je, nani anajuwa takwimu halisi za idadi ya Wamachinga nchini? Mwaka 1995 wale wanaotembeza bidhaa (acha wanaotandika bidhaa chini idadi yao ilikuwa sawa na idadi ya watu wa Mwanza Mjini, over 8K)

2. Je, kuna sera, mwongozo kuhusu Wamachinga kwa miaka yote 36 tangu 1985? Kama havipo, tunahitaji miongo mingapi mbele kuandaa tools hizo?

3. Je, soko la Machinga Complex limeleta matokeo gani (kabla ya Kariakoo kuungua vizimba vilikuwa wazi kwa miaka nenda).

4. Je, kuna sensa ya Wamachinga imefanyika? Wako wangapi? Wanawake wangapi? Wanaume wangapi? Drop outs wangapi waliojiunga na Umachinga? Idadi kwa kila mji nchi nzima ni ngapi (ili wasije kuelemea Dar)? Graduates wangapi? Watanzania wangapi? Wachina wangapi? idadi kwa makabila ikoje ili tujuwe mkoa upi hauna mikakati ya kuwa-absorb wasije Dar? nk.

5. Je, Umachinga siyo jibu la madai ya taifa ya kutaka watu wajiajiri? Lkn katika mazingira gani?

6. Je, kuna sehemu zimeandaliwa za kuwameza wote waondoke mitaani?

7. Je, after-effects za kuwaondoa kwa dharura tumezipima tukazijuwa ni zipi na namna gani tumejiandaa kuzimitigate?

8. Wamachinga wako maeneo mengi hata China, Nairobi Kikomba wako tangu enzi za Jomo Kenyatta.
Good writtings though, walikuwa wapi waliponza kuingina kidogo kidogo hadi kufikia hivi sasa. Influx kubwa ilikuja Rais aliepita aliposema hoadharani waachwe wafanye biashara zao, madhara yalipimwa?

Je ukusanyaji wa kodi ulikuwaje kwa maduka yenye leceni? kodi zilishuka kwa kiasi kikubwa. Je tuendelee na huu utitiri wa machinga mitaani hadi mfanye research na upate matokeo ndio action ifanyike?

Hiyo ni long route the answer. Tuiache serikali ifanye inachoona kinafaa nawaunga mkono kwa asilimia zote. Umetoa mifano kote nimefika huwezi kuta Nairo city center ipo kama Dar es Salaam no way. Narudia tuache cheap politics.
 
Hakuna madhala yoyote labda kisiasa machinga hawachangii lolote ktk uchumi wa nchi.

Wanasiasa wanawaofia wamachinga km mtaji wa kisiasa lkn ukweli ni kwamba kuendelea kuwabembeleza ni kupoteza nguvu kazi Watanzania umachinga wetu ni kilimo huko ndio kwenye ajira za uwahika km serikali inaamua kuweka mazingira mazuri ya kilimo na masoko hakuna kazi inayoitwa umachinga duniani
 
Niliposema maandalizi ya kutosha yafuatayo aghalabu ni muhali hadi sasa kujulikana:-

1 Je, nani anajuwa takwimu halisi za idadi ya Wamachinga nchini? Mwaka 1995 wale wanaotembeza bidhaa (acha wanaotandika bidhaa chini idadi yao ilikuwa sawa na idadi ya watu wa Mwanza Mjini, over 8K)

2. Je, kuna sera, mwongozo kuhusu Wamachinga kwa miaka yote 36 tangu 1985? Kama havipo, tunahitaji miongo mingapi mbele kuandaa tools hizo?

3. Je, soko la Machinga Complex limeleta matokeo gani (kabla ya Kariakoo kuungua vizimba vilikuwa wazi kwa miaka nenda).

4. Je, kuna sensa ya Wamachinga imefanyika? Wako wangapi? Wanawake wangapi? Wanaume wangapi? Drop outs wangapi waliojiunga na Umachinga? Idadi kwa kila mji nchi nzima ni ngapi (ili wasije kuelemea Dar)? Graduates wangapi? Watanzania wangapi? Wachina wangapi? idadi kwa makabila ikoje ili tujuwe mkoa upi hauna mikakati ya kuwa-absorb wasije Dar? nk.

5. Je, Umachinga siyo jibu la madai ya taifa ya kutaka watu wajiajiri? Lkn katika mazingira gani?

6. Je, kuna sehemu zimeandaliwa za kuwameza wote waondoke mitaani?

7. Je, after-effects za kuwaondoa kwa dharura tumezipima tukazijuwa ni zipi na namna gani tumejiandaa kuzimitigate?

8. Wamachinga wako maeneo mengi hata China, Nairobi Kikomba wako tangu enzi za Jomo Kenyatta.

Mkuu Douglas Majwala hongera kwa Kujenga hoja. Hivi mkuu unafanya PhD mahali fulani? Hivi majuzi niliziona tena hoja zako chokonozi kuhusu "Nani ni Rais bora zaidi ambaye tumeshakuwa naye hapa Tanzania" Niseme tu kwamba uandisi kama huu na hoja fikirishi unazoziibua wewe pamoja na Great Thinker wengine zinaifanya JF iwe pia darasa la baadhi yetu

Tafadhali usiwe na hasira unaposoma hoja za Douglas Majwala
Mkuu Douglas Majwala Hongera sana
 
Postponing kitu kinachokua ni kuhahirisha tatizo i.e. (delaying the inevitable)

Jambo hili lingefanyika miaka kumi iliyopita maumivu yangekuwa madogo zaidi kuliko likifanyika miaka mitano ijayo..., lingefanyika miaka ishirini huenda leo tungekuwa tunaongea mengine huku tunafurahia bidhaa zinazotengezwa na nguvu kazi ya wenzetu na watengenezaji wakifurahia pesa wanayopata kutokana na ununuzi kutoka kwa nguvukazi ya wenzao

Kwahio hata kuwahamisha sio suluhisho (bali angalau ni kuacha kuvunja sheria na kuwaondoa sehemu hatarishi za kufanyia kazi) yaani kurekebisha upande mmoja, kinachofuata na cha muhimu ni kuhakikisha hatuendelei kuzalisha machinga wengine... yaani hayo unayosema yafanyike, yafanywe wakiwa hawapo kwenye road reserves....
 
Unataka uamuzi gani? Hata wao wanajua wanafanya makosa na wanaondolewa muda wowote.
Mwendazake aliiharibu sana Nchi hii! Sidhani kama angeendelea kuwa Waziri wa Ujenzi badala ya kuwa Rais, hali ingekuwa hivi. Hakuna ambaye angethubutu kuvamia mabarabarani na kuweka biashara. Lakini, kwa ajili ya UBINAFSI, SIFA BINAFSI, na kutaka kupata mtaji wa kisiasa, akairuhusu hiyo hali, pamoja na kuwa alikuwa anajua ni kuvunja sheria.

Hata huku kulega lega kwenye chanjo ya Korona, ni yeye, kutokana na kuwaaminisha watu kuwa CHANJO HAZIFAI!

Na angekuwepo mpaka leo, sijui hali ingekuwaje!
 
Niliposema maandalizi ya kutosha yafuatayo aghalabu ni muhali hadi sasa kujulikana:-

1 Je, nani anajuwa takwimu halisi za idadi ya Wamachinga nchini? Mwaka 1995 wale wanaotembeza bidhaa (acha wanaotandika bidhaa chini idadi yao ilikuwa sawa na idadi ya watu wa Mwanza Mjini, over 8K)

2. Je, kuna sera, mwongozo kuhusu Wamachinga kwa miaka yote 36 tangu 1985? Kama havipo, tunahitaji miongo mingapi mbele kuandaa tools hizo?

3. Je, soko la Machinga Complex limeleta matokeo gani (kabla ya Kariakoo kuungua vizimba vilikuwa wazi kwa miaka nenda).

4. Je, kuna sensa ya Wamachinga imefanyika? Wako wangapi? Wanawake wangapi? Wanaume wangapi? Drop outs wangapi waliojiunga na Umachinga? Idadi kwa kila mji nchi nzima ni ngapi (ili wasije kuelemea Dar)? Graduates wangapi? Watanzania wangapi? Wachina wangapi? idadi kwa makabila ikoje ili tujuwe mkoa upi hauna mikakati ya kuwa-absorb wasije Dar? nk.

5. Je, Umachinga siyo jibu la madai ya taifa ya kutaka watu wajiajiri? Lkn katika mazingira gani?

6. Je, kuna sehemu zimeandaliwa za kuwameza wote waondoke mitaani?

7. Je, after-effects za kuwaondoa kwa dharura tumezipima tukazijuwa ni zipi na namna gani tumejiandaa kuzimitigate?

8. Wamachinga wako maeneo mengi hata China, Nairobi Kikomba wako tangu enzi za Jomo Kenyatta.
Maswali fikirishi mazuri sana
 
Mwendazake aliiharibu sana Nchi hii! Sidhani kama angeendelea kuwa Waziri wa Ujenzi badala ya kuwa Rais, hali ingekuwa hivi. Hakuna ambaye angethubutu kuvamia mabarabarani na kuweka biashara. Lakini, kwa ajili ya UBINAFSI, SIFA BINAFSI, na kutaka kupata mtaji wa kisiasa, akairuhusu hiyo hali, pamoja na kuwa alikuwa anajua ni kuvunja sheria.
Hata huku kulega lega kwenye chanjo ya Korona, ni yeye, kutokana na kuwaaminisha watu kuwa CHANJO HAZIFAI!
Na angekuwepo mpaka leo, sijui hali ingekuwaje!
Kwahiyo wewe unaona chanjo ya korona ni sahihi.. Na kama ni sahihi kwanini unasaini nakuambiwa et madhara ni juu yako? Acha bangi kabisa... Chanjo ya korona haina uhakika duniani kote.. Hii ni vita ya uchumi
 
Kila utakapochelewa kuwaondoa ndio hali inavyozidi kuwa ghali na mbaya zaidi.

Wamachinga bado wanazalishwa kila siku na maeneo ya kuwapeleka sio mengi.

Walipaswa kuondolewa juzi sio tarehe 18 October
 
Back
Top Bottom