DOKEZO Waziri Angelina Mabula, Wananchi wametapeliwa mradi wa Urasimishaji Makazi holela mitaa ya Dar es Salaam

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Chikuvi2021

JF-Expert Member
Aug 3, 2021
459
516
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2020/2021 ilikuja na wazo zuri la urasimishaji wa Makazi Holela kwenye Majiji na miji mbalimbali. Wananchi wengi walijenga nyumba kwenye mashamba yao au viwanja ambavyo havijapimwa Al maarufu (squarter) Mradi wa MKURABITA.

Kwenye jiji la Dar es Salaam maeneo Kama Vituka, Buza, Vingunguti, Mbagala nk Ni miongoni mwa maeneo hayo.

Madhumuni ya MKURABITA ilikuwa kuwawezesha wananchi kupata hati za umiliki wa makazi yao na hizo hati zinaweza kutumika kama Colleteral (dhamana) ya kuomba mkopo kwenye taasisi za fedha.

Wananchi walitakiwa kulipa shs150,000 kwa ajili ya zoezi la upimaji, uchoraji wa ramani na uwekaji wa Beacon.

Fedha hizo zilitakiwa kulipwa kwa awamu moja au awamu tatu. Baada ya kulipa shs150,000 ilitakiwa makumpuni yalifanya zoezi la urasimishaji, wawasilishe ramani na michoro wizara ya Ardhi nyumba na Makazi kwa ajili ya kuandaa hati za nyumba ( baada ya masharti na vigezo vya kutoa hati kutimizwa, na Wamiliki kulipa gharama za kuandaa hati,kodi ardhi,ushuru nk).

Serikali za mitaa ziliunda kamati za urasimishaji Makazi Holela kwenye mitaa yao. Kamati zilifungua akaunti maalum kwa ajili ya zoezi hilo na wananchi walitakiwa ku-deposit fedha kwenye akaunti hizo na kupeleka stakabadhi kwenye ofisi za Serikali za mitaa kwa ajili ya kupewa stakabadhi na kumbukumbu.

Aidha kamati ziliajiri Makampuni ya watu binafsi kufanya survey na uwekaji wa mawe/beacon.

Mwezi uliopita nilitembelea ndugu zangu Mtaa wa Sigara na Vituka, nikaona wamewekewa mawe(beacon).

Katika kuongea nao, wakasema wao walilipa Shs 150,000 kwenye akaunti ya urasimishaji Makazi Holela Mtaa wa Sigara na Vituka 24/03/2021 na wameshawekewa beacon. Lakini kila wanapofuatilia hati zao, wanaambiwa Wanakamati na Kampuni iliyopewa zabuni ya upimaji na kuweka beaconwameingia mitini.

Hii ni ishara kuwa wananchi hawa wameshatapeliwa na viongozi wao wa Serikali za mitaa kwa kushirikiana na hayo makampuni binafsi.

Wananchi walikuwa wana Imani na Serikali zao za mitaa walipoambiwa kuwa fedha zenu weka kwenye bank account waliona wako salama, kumbe wajanja wamekwenda benki kuchukua fedha zote na kupeleka kwenye matumizi mengine.

Wito kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, Dr Angelina Mabula kufuatilia na kiungulia kati suala hili usisubiri mpaka Rais Dr Samia H.Suluhu atembelee wananchi, ndiyo waibue malalamiko hayo.

Wananchi ambao wamekamilisha malipo yote waandaliwe hati miliki zao, linatia doa wizara yako.

Kwa kufanya hivyo kwanza, Serikali itaongeza mapato ya Kodi ya ardhi ambayo baadhi ya Wamiliki hawalipi kwa hivi sasa.

Pili, kwa wale ambao hawajamaliza kulipa instalments zao,na wao watahamasika kukamilisha malipo ,ili wapatiwe hati.

Tatu, wananchi wengi,watatumia hati hizo kuchukua mikopo kwa ajili ya maendeleo.

Ninawasilisha.
 
Write your reply...ndgu siyo hapo tu kote idara ya serikali imeoza rushwa.watumish wa serikal wanaomba rushwa waziwazi bila kificho.nchi imeoza rushwa tofouti na kipindi cha magufuli.tumekuwa km kipindi kile cha rais mwnyi awamu ya pili nch ilikuwa km haina rais ndvyo ilivyo kwa huyu mama ni km hatuna rais
 
Write your reply...ndgu siyo hapo tu kote idara ya serikali imeoza rushwa.watumish wa serikal wanaomba rushwa waziwazi bila kificho.nchi imeoza rushwa tofouti na kipindi cha magufuli.tumekuwa km kipindi kile cha rais mwnyi awamu ya pili nch ilikuwa km haina rais ndvyo ilivyo kwa huyu mama ni km hatuna rais
Uchunguzi wangu nimegundua kuwa,Haya Makampuni ya urasimishaji aidha yanamilikiwa na watumishi wa wizara ya Ardhi au marafiki au ndugu kwa hiyo hata ukifuatilia wizarani hupati ushirikiano.wenye fedha ndiyo wanachangamkiwa.Hili uongozi wa wizara,unafahamu na hawakemei vitendo hivi.vitendo vya watumishi wa Umma kutoa/kufanya kazi na Kampuni zao binafsi ni kinyume na miongozo ya Utumishi wa Umma.Watumishi wanatakiwa ku-declare interest. CAG na takukuru wafuatilie Makampuni haya
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2020/2021 ilikuja na wazo zuri la urasimishaji wa Makazi Holela kwenye Majiji na miji mbalimbali. Wananchi wengi walijenga nyumba kwenye mashamba yao au viwanja ambavyo havijapimwa Al maarufu (squarter) Mradi wa MKURABITA.

Kwenye jiji la Dar es Salaam maeneo Kama Vituka, Buza, Vingunguti, Mbagala nk Ni miongoni mwa maeneo hayo.

Madhumuni ya MKURABITA ilikuwa kuwawezesha wananchi kupata hati za umiliki wa makazi yao na hizo hati zinaweza kutumika kama Colleteral (dhamana) ya kuomba mkopo kwenye taasisi za fedha.

Wananchi walitakiwa kulipa shs150,000 kwa ajili ya zoezi la upimaji, uchoraji wa ramani na uwekaji wa Beacon.

Fedha hizo zilitakiwa kulipwa kwa awamu moja au awamu tatu. Baada ya kulipa shs150,000 ilitakiwa makumpuni yalifanya zoezi la urasimishaji, wawasilishe ramani na michoro wizara ya Ardhi nyumba na Makazi kwa ajili ya kuandaa hati za nyumba ( baada ya masharti na vigezo vya kutoa hati kutimizwa, na Wamiliki kulipa gharama za kuandaa hati,kodi ardhi,ushuru nk).

Serikali za mitaa ziliunda kamati za urasimishaji Makazi Holela kwenye mitaa yao. Kamati zilifungua akaunti maalum kwa ajili ya zoezi hilo na wananchi walitakiwa ku-deposit fedha kwenye akaunti hizo na kupeleka stakabadhi kwenye ofisi za Serikali za mitaa kwa ajili ya kupewa stakabadhi na kumbukumbu.

Aidha kamati ziliajiri Makampuni ya watu binafsi kufanya survey na uwekaji wa mawe/beacon.

Mwezi uliopita nilitembelea ndugu zangu Mtaa wa Sigara na Vituka, nikaona wamewekewa mawe(beacon).

Katika kuongea nao, wakasema wao walilipa Shs 150,000 kwenye akaunti ya urasimishaji Makazi Holela Mtaa wa Sigara na Vituka 24/03/2021 na wameshawekewa beacon. Lakini kila wanapofuatilia hati zao, wanaambiwa Wanakamati na Kampuni iliyopewa zabuni ya upimaji na kuweka beaconwameingia mitini.

Hii ni ishara kuwa wananchi hawa wameshatapeliwa na viongozi wao wa Serikali za mitaa kwa kushirikiana na hayo makampuni binafsi.

Wananchi walikuwa wana Imani na Serikali zao za mitaa walipoambiwa kuwa fedha zenu weka kwenye bank account waliona wako salama, kumbe wajanja wamekwenda benki kuchukua fedha zote na kupeleka kwenye matumizi mengine.

Wito kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, Dr Angelina Mabula kufuatilia na kiungulia kati suala hili usisubiri mpaka Rais Dr Samia H.Suluhu atembelee wananchi, ndiyo waibue malalamiko hayo.

Wananchi ambao wamekamilisha malipo yote waandaliwe hati miliki zao, linatia doa wizara yako.

Kwa kufanya hivyo kwanza, Serikali itaongeza mapato ya Kodi ya ardhi ambayo baadhi ya Wamiliki hawalipi kwa hivi sasa.

Pili, kwa wale ambao hawajamaliza kulipa instalments zao,na wao watahamasika kukamilisha malipo ,ili wapatiwe hati.

Tatu, wananchi wengi,watatumia hati hizo kuchukua mikopo kwa ajili ya maendeleo.

Ninawasilisha.
Hiii wizara tubinafsi tumpe mwarabu kukomesha majizi.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2020/2021 ilikuja na wazo zuri la urasimishaji wa Makazi Holela kwenye Majiji na miji mbalimbali. Wananchi wengi walijenga nyumba kwenye mashamba yao au viwanja ambavyo havijapimwa Al maarufu (squarter) Mradi wa MKURABITA.

Kwenye jiji la Dar es Salaam maeneo Kama Vituka, Buza, Vingunguti, Mbagala nk Ni miongoni mwa maeneo hayo.

Madhumuni ya MKURABITA ilikuwa kuwawezesha wananchi kupata hati za umiliki wa makazi yao na hizo hati zinaweza kutumika kama Colleteral (dhamana) ya kuomba mkopo kwenye taasisi za fedha.

Wananchi walitakiwa kulipa shs150,000 kwa ajili ya zoezi la upimaji, uchoraji wa ramani na uwekaji wa Beacon.

Fedha hizo zilitakiwa kulipwa kwa awamu moja au awamu tatu. Baada ya kulipa shs150,000 ilitakiwa makumpuni yalifanya zoezi la urasimishaji, wawasilishe ramani na michoro wizara ya Ardhi nyumba na Makazi kwa ajili ya kuandaa hati za nyumba ( baada ya masharti na vigezo vya kutoa hati kutimizwa, na Wamiliki kulipa gharama za kuandaa hati,kodi ardhi,ushuru nk).

Serikali za mitaa ziliunda kamati za urasimishaji Makazi Holela kwenye mitaa yao. Kamati zilifungua akaunti maalum kwa ajili ya zoezi hilo na wananchi walitakiwa ku-deposit fedha kwenye akaunti hizo na kupeleka stakabadhi kwenye ofisi za Serikali za mitaa kwa ajili ya kupewa stakabadhi na kumbukumbu.

Aidha kamati ziliajiri Makampuni ya watu binafsi kufanya survey na uwekaji wa mawe/beacon.

Mwezi uliopita nilitembelea ndugu zangu Mtaa wa Sigara na Vituka, nikaona wamewekewa mawe(beacon).

Katika kuongea nao, wakasema wao walilipa Shs 150,000 kwenye akaunti ya urasimishaji Makazi Holela Mtaa wa Sigara na Vituka 24/03/2021 na wameshawekewa beacon. Lakini kila wanapofuatilia hati zao, wanaambiwa Wanakamati na Kampuni iliyopewa zabuni ya upimaji na kuweka beaconwameingia mitini.

Hii ni ishara kuwa wananchi hawa wameshatapeliwa na viongozi wao wa Serikali za mitaa kwa kushirikiana na hayo makampuni binafsi.

Wananchi walikuwa wana Imani na Serikali zao za mitaa walipoambiwa kuwa fedha zenu weka kwenye bank account waliona wako salama, kumbe wajanja wamekwenda benki kuchukua fedha zote na kupeleka kwenye matumizi mengine.

Wito kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, Dr Angelina Mabula kufuatilia na kiungulia kati suala hili usisubiri mpaka Rais Dr Samia H.Suluhu atembelee wananchi, ndiyo waibue malalamiko hayo.

Wananchi ambao wamekamilisha malipo yote waandaliwe hati miliki zao, linatia doa wizara yako.

Kwa kufanya hivyo kwanza, Serikali itaongeza mapato ya Kodi ya ardhi ambayo baadhi ya Wamiliki hawalipi kwa hivi sasa.

Pili, kwa wale ambao hawajamaliza kulipa instalments zao,na wao watahamasika kukamilisha malipo ,ili wapatiwe hati.

Tatu, wananchi wengi,watatumia hati hizo kuchukua mikopo kwa ajili ya maendeleo.

Ninawasilisha.
Asante kwa makala nzuri
 
Back
Top Bottom