Rurakha
Senior Member
- Oct 20, 2019
- 121
- 209
Habari zenu wadau mimi ni muajiriwa sekta binafsi
Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita nilikuwa najishughulisha na ujasiriamali mambo yalikuwa magum sana sikua na mtaji wa kutosha kuhimili soko na ushindani na ilifika wakati hata kodi ilisumbua
Namshukuru mungu nilipata ajira kwa mkataba wa miaka miwili
Nilifanya kazi na kujibana huku kiasi kilichopatikana nikiwekeza katika biashara yangu
Hatimae baada ya mwaka mmoja biashara ikakua ikawa na uwezo wa kunipa faida mpaka ya 2m kwa mwezi na mshahara wangu ni 900k kwa mwezi
Sasa kazini naona mambo haendi vizuri kama mnavyojua kwa wahindi sasa ninafikiria kuacha na nikomae na biashara zangu je uamuzi wangu ni sahihi
Naomba ushauri kwani hata boss wangu hatuelewani
Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita nilikuwa najishughulisha na ujasiriamali mambo yalikuwa magum sana sikua na mtaji wa kutosha kuhimili soko na ushindani na ilifika wakati hata kodi ilisumbua
Namshukuru mungu nilipata ajira kwa mkataba wa miaka miwili
Nilifanya kazi na kujibana huku kiasi kilichopatikana nikiwekeza katika biashara yangu
Hatimae baada ya mwaka mmoja biashara ikakua ikawa na uwezo wa kunipa faida mpaka ya 2m kwa mwezi na mshahara wangu ni 900k kwa mwezi
Sasa kazini naona mambo haendi vizuri kama mnavyojua kwa wahindi sasa ninafikiria kuacha na nikomae na biashara zangu je uamuzi wangu ni sahihi
Naomba ushauri kwani hata boss wangu hatuelewani