Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Status
Not open for further replies.
B1HgTD7IEAA1aKQ.jpg:large

Acha kurusha matusi bhanaaa

We dada KT eti umeweka picha ya thriller kututishia? Siku hz hatuogopi.
 
Stanbic money (viroba, lumbesa) ndio nouma, mpaka watu wa Magogoni wametajwa.
Time will tell indeed.
Nadhani watanzania tu atakiwa tutendewe haki. Haki yenyewe ni kuwafahamu hao wa lumbesa. Nadhani hao wa lumbesa ni wabaya zaidi kwa sababu hata hawakutaka pesa hizo zipite kwenye system ya kibenki wao waliamua kugawana na kuzipeleka majumbani mwao kuzilalia.

kitu kingine, kuna watu wengi wamehusishwa na sakata hili, dola kama dola nilitegemea ichukue hatua kwa wakati mmoja kwa sababu transaction ni moja inayobusika yaani escrow account. Sasa tunaambiwa chenge, ngeleja na mwambalaswa wao wanasubiri haki yao. Mama angewavua tu huo uenyeviti. Maaskofu nao wangesimamishwa na wakuu wao na muhongo na maswi kama ni kuchukuliwa ama kutochukuliwa hatua ieleweke na siyo kuwekana viporo. Jaji mkuu naye angekuwa ameanzisha mchakato ili mkuu wa dola akija kusema anakuwa anasemea dola na siyo aseme kama head of executive tu huku akiwa amevua head of the state
 
hey old lady,last time i checked you said no body is going to step down over the escrow saga,now that tibaijuka is no more,can you refute your words?.shame on you.

Tibaijuka did not step down she was sacked.
 
Tuongee mwakani kabla ya Kilisimasi kuhusu haya maneno yako hapa chini.

Alilewa madaraka.

NI matatizo ya viongozi toka enzi za Nyerere, walikuwa untouchables, Kikwete kayabadili hayo wangesoma kwa yaliyompata Mramba na Yona.
 
.. laki si pesa acha kushobokea mijizi....kuwa na nyumba marekani unaona ni wao tu ndy wanayo.....kunawabongo kibao wanazo na wamenunua kwa nguvu zao syo hao ccm mpaka watuibie ndy wapate mali

Hivi unajua tibaijuka alikuwa analipwa sh. ngapi UN HABITAT? alikuwa na mshahara mkubwa kupita watanzania wote, huo uwaziri ni kama alikuwa anajitolea tu.Ana nyumba nyingi tu Marekani.
 
Last edited by a moderator:
Huyu ana jeuri ya ujinga. UN walimpiga mama yake chini akiwa na tuhuma, JK amempiga Tibaijuka chini kwa tuhuma. Huyu mtoto haoni kama mama yake ana sheeeedaa ??????????
 
wewe unajibu nini hapa wakati ulianzisha uzi wa kusema sakata la Escrow Hawajibishwi mtuuu???????


Muongo.

Weka ushahidi halafu tofautisha kuwachia mtu ngazi na kuwajibishwa.

Hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
INSHA:
Ni nini nafasi ya (Salva) Salvatory Rweyemamu wa Ikulu katika sakata la Escrow Tanzania?? Ni nini nafasi yake kwenye mtandao wa ukabila???? Jadili
 
Tibaijuka did not step down she was sacked.

jk said they asked her to step aside/down.....asking someone to remove herself/himself from a public office cant be viewed as such.that's resigning.
 
kwa comment za huyu mtoto inaonyesha fika kwamba mama jibaijuka hawezi kuongoza ishu yeyote

mfano mzuri kabisa ni comment ambazo mtoto wake amezitoa kwenye media inaonyesha mzazi wake ajamfundisha displine.
 
Kwasababu binti alitambua alipo kosea,na pengine ilikua uchungu kwa mama yake kama inavyoweza kumkuta mtu yoyote jamani,na binti mwenyewe kumbe aliomba msamaha lakini wanafiki hawakuleta hilo wakaleta baya tu,basi mimi naomba watanzania ,wazalendo ,wazazi ,vijana wote wenye uelewa tumsamehee binti yetu huyu.

Kwani kakiri kosa na kaona wapi kakosea na kukubali makosa yake.
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    25.9 KB · Views: 2,179
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom