Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Status
Not open for further replies.
..wahenga walipata kunena..,mtu mzima akivuliwa nguo huchutama..!
...chutama binti.,ujipange upya..!

Nina amini kwa 100% huyo Binti hawezi kuomba Msamaha kwani hata mama yake mwenyewe huwa hamheshimu kivilee, ni Binti fulani Mjeuri sana hapendi kusikia mtu anapewa kitu na mama yake ana viajo Hatari, mama yake mwenyewe huwa anamkwepa pindi akitaka kwenda kutoa msaada kwa ndugu na jamaa zake,
 
Wahenga walisema jiti kubwa fiko la ndenge kama hela ni zake na mama yake ila atambue iko siku
 
Msamaha hajaomba na sidhani Kama ataomba kwani Binti mwenyewe ni much know sana huwa anajiona anajua kila kitu hata huyo mama yake mwenyewe huwa hafurukuti mbele yake ana uwezo wa kumwambia hata akachukue ile pesa yoote amletee pale pale kwake aipangie matumizi, Mama Tibaijuka anamwogopa sana huyo Binti, hata haya matusi nina imani mama yake hatathubutu kumuuliza au kumkanya sana sana ataishia kusonononeka tu huku JF wakimsaidia kumunyoosha Tabia mwanae. Kwa kweli bila JF huyo Binti watu wasingejua Tabia zake ( samaki mkunje angali mbichi) mama alijuwa busy na kazi za UN akasahau kumlea vyema akiwa Mdogo sasa amekuwa sugu kazi anayo. Pole sana .
 
Mwambie kuwa tayari yupo front pages za magazeti ya shigongo...Kuchomoka humo ni kiama!!
 
Kaacheni sasa,imetosha. Msikasulubu.

Kagem ehhh, ntakutauta kwa simu maana nimesoma kumbe wewe ni konsulutanți wa biashara.

blogger-image--1593854567.jpg
 
Kwasababu binti alitambua alipo kosea,na pengine ilikua uchungu kwa mama yake kama inavyoweza kumkuta mtu yoyote jamani,na binti mwenyewe kumbe aliomba msamaha lakini wanafiki hawakuleta hilo wakaleta baya tu,basi mimi naomba watanzania ,wazalendo ,wazazi ,vijana wote wenye uelewa tumsamehee binti yetu huyu.

Kwani kakiri kosa na kaona wapi kakosea na kukubali makosa yake.


Risen; Umgambire stupid infront of my waifu. Bora ungeniretea news za katerero!!
 
[QUOTEkamane;11495280]Kaacheni sasa,imetosha. Msikasulubu.

Kagem ehhh, ntakutauta kwa simu maana nimesoma kumbe wewe ni konsulutanți wa biashara.

blogger-image--1593854567.jpg
[/QUOTE]
Miguu kama ya mama
 
Amefanana na mama kama kamtapika safisana
copyright resvd
 
Last edited by a moderator:
Kaacheni singimetosha. Msikasulubu.

Kagem ehhh, ntakutauta kwa simu maana nimesoma kumbe wewe ni konsulutanți wa biashara.

blogger-image--1593854567.jpg
Inaonekana ana kabesela cha nguvu ingawa kakificha kwa nyuma
 
Kwasababu binti alitambua alipo kosea,na pengine ilikua uchungu kwa mama yake kama inavyoweza kumkuta mtu yoyote jamani,na binti mwenyewe kumbe aliomba msamaha lakini wanafiki hawakuleta hilo wakaleta baya tu,basi mimi naomba watanzania ,wazalendo ,wazazi ,vijana wote wenye uelewa tumsamehee binti yetu huyu.

Kwani kakiri kosa na kaona wapi kakosea na kukubali makosa yake.

Anaposema Mamaake has nothing to do with her comments /tweets ana maanisha nini?
Huyu mtoto ni juha na Pumbaf kabisa.
Sijaona uombaji msamaha wowote hapo
 
Nimezitazama hizo tweets zake za "msamaha" na nimegundua lengo lake hasa ni kumtoa mama yake ktk kashfa yake yeye kutukana...that's why anasisitiza kwamba mama yake hahusiki na hizo tweets za matusi..
Binafsi sijaona Kama amemaanisha kuomba msamaha kwa kuwatukana watanzania,Bali msamaha kwa kutukana mtandaoni hivyo kupelekea kuchafua jina la mama yakee(ambalo lishachafuka) na jina la Tibaijuka.

Hajaomba Msamaha wala hawezi kuomba Msamaha kwani Binti mwenyewe ni Mjeuri sana, huyo mama yake Mzazi anamwogopa hathubutu kumuuliza juu ya hayo matusi, sana sana Mama Tibaijuka anaumia Rohoni kisha kuushukuru mtandao wa JF kwa kumsaidia kumkanya mwanae,
 
Anaposema Mamaake has nothing to do with her comments /tweets ana maanisha nini?
Huyu mtoto ni juha na Pumbaf kabisa.
Sijaona uombaji msamaha wowote hapo

Kwa sisi tunaomjua hawezi kuomba Msamaha hata siku moja ujue huyo Binti ana Tabia za kivyake vyake hafanani kitabia na ndugu zake ni Binti mwenye majivuno na Roho ya chuki kwa yeyote anayehisi atapata chochote toka kwa mama yake, kibaya zaidi hata huyo Mama Tibaijuka huwa anamwogopa ndiyo maana anafanya atakavyo hakuna wa kumuuliza zaidi ya JF mtambo wa kurekebisha Tabia Mbovu mbovu.
 
Nimezitazama hizo tweets zake za "msamaha" na nimegundua lengo lake hasa ni kumtoa mama yake ktk kashfa yake yeye kutukana...that's why anasisitiza kwamba mama yake hahusiki na hizo tweets za matusi..
Binafsi sijaona Kama amemaanisha kuomba msamaha kwa kuwatukana watanzania,Bali msamaha kwa kutukana mtandaoni hivyo kupelekea kuchafua jina la mama yakee(ambalo lishachafuka) na jina la Tibaijuka.

Hajaomba Msamaha wala hawezi kuomba Msamaha kwani Binti mwenyewe ni Mjeuri sana, huyo mama yake Mzazi anamwogopa hathubutu kumuuliza juu ya hayo matusi, sana sana Mama Tibaijuka anaumia Rohoni kisha kuushukuru mtandao wa JF kwa kumsaidia kumkanya mwanae,
 
..wahenga walipata kunena..,mtu mzima akivuliwa nguo huchutama..!
...chutama binti.,ujipange upya..!

Nina amini kwa 100% huyo Binti hawezi kuomba Msamaha kwani hata mama yake mwenyewe huwa hamheshimu kivilee, ni Binti fulani Mjeuri sana hapendi kusikia mtu anapewa kitu na mama yake ana viajo Hatari, mama yake mwenyewe huwa anamkwepa pindi akitaka kwenda kutoa msaada kwa ndugu na jamaa zake,
 
yule binti hawezi kuomba msamaha kwani ni mjeuri sana hata hayo aliyokuwa akifanya hajatumwa na mama yake alijiamulia mwenyewe kwa ujinga wake, wana familia wote wa mama tibaijuka wanamjua kuwa ni binti ambaye huwa hataki ndugu wapewe msaada na mama yake,ilifikia mahala mama yake akitoa msaada anamficha maana akijua inakuwa balaa, wanandugu wote sasa wanaushukuru huu mtandao wa jf kwani umewasaidia kumpaka live na kumchana binti juu ya tabia zake mbovu pengine alikuwa hujitambui sasa atajitambua.
na nyie msiombe sana anahaki kama mama kumsaidia..mi nina jirani alikuwa un ndugu walijazana kama kuna msiba kilasikuyule mama amestaafu leo hii ukipita kwake kama so muwakumbuke nasikuwakitokakwenye ufalme kama mama alivyotolewa mumtembelee kwaupendo tu
 
Nina amini kwa 100% huyo Binti hawezi kuomba Msamaha kwani hata mama yake mwenyewe huwa hamheshimu kivilee, ni Binti fulani Mjeuri sana hapendi kusikia mtu anapewa kitu na mama yake ana viajo Hatari, mama yake mwenyewe huwa anamkwepa pindi akitaka kwenda kutoa msaada kwa ndugu na jamaa zake,
Like DADY like daughter
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom